以赛亚书 4 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以赛亚书 4:1-6

1那时,七个女人将拉着一个男人,说:“我们会负责自己的吃穿,只求你娶我们,让我们归在你名下,好除掉我们嫁不出去的羞辱。”

耶路撒冷的复兴

2到那日,耶和华的苗必长得茂盛华美,这地方的出产必成为以色列幸存者的骄傲和光荣。 3-4主必以公义的灵和焚烧的灵洗净锡安的污秽,清除耶路撒冷的血迹。所有锡安剩余的人,即留在耶路撒冷、名字记录在生命册上的人都将被称为圣洁之民。 5耶和华必在日间用烟云遮蔽整个锡安山和那里的会众,在夜间用火光照亮他们。祂的荣耀必遮盖一切, 6是白日避暑的亭子,是躲避狂风暴雨的避难所和藏身处。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 4:1-6

14:1 Mwa 30:23; 2The 3:12; Isa 13:12; 32:9; 2:11Katika siku ile wanawake saba

watamshika mwanaume mmoja

wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe

na kuvaa nguo zetu wenyewe,

ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako.

Utuondolee aibu yetu!”

Tawi La Bwana

24:2 Zek 6:12; Yer 23:5; Eze 36:8; 17:22; Za 72:16; Isa 11:1-5; 52:13; Yer 33:15-16; Isa 2:11; Yer 23:6; Zek 3:8Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika. 34:3 Mao 1:17; Sef 3:13; Rum 11:5; Za 56:8; Lk 10:20; Isa 1:26; Kut 19:6; Yoe 3:1-7Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu. 44:4 Zek 13:9; Isa 3:24; 28:6; 30:30; Mt 3:11; Ufu 7:15Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto. 54:5 Isa 58:8; Kut 13:21-22; Isa 41:20; 65:18; Ufu 14:1; Isa 35:2; Za 18:11; Ufu 7:15Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi. 64:6 Law 23:34-43; Isa 25:4; 30:2; 57:13; 8:14; Za 27:5; 55:8; Eze 11:16; Isa 14:32Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.