以赛亚书 35 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以赛亚书 35:1-10

圣洁之路

1沙漠和干旱之地必欢喜;

旷野必快乐,开满鲜花,

2姹紫嫣红,

喜乐漫溢,发出欢呼,

散发着黎巴嫩的荣耀、

迦密沙仑的荣美。

人们必看见耶和华的荣耀,

我们上帝的光辉。

3你们要使软弱的人强壮,

使双腿无力的人站稳。

4要对胆怯的人说:

“你们要刚强,不要惧怕。

看啊,你们的上帝必来拯救你们,为你们复仇,

施行报应。”

5那时,瞎子的眼必看见,

聋子的耳必听见,

6瘸子必跳跃如鹿,

哑巴必欢呼歌唱;

旷野上泉水涌流,

沙漠里河川奔腾;

7炙热的沙漠变成池塘,

旱地涌出甘泉;

豺狼的巢穴长出青草、

芦苇和蒲草。

8那里必有一条大路,

被称为“圣洁之路”,

专供蒙救赎的人行走。

污秽的人都不能走这条路,

愚昧的人也不能踏在上面。

9那里必没有狮子,

也没有恶兽,

没有它们的踪影,

只有蒙救赎的人行走。

10耶和华救赎的子民必欢唱着回到锡安

洋溢着永远的快乐。

他们必欢喜快乐,

忧愁和叹息都消失无踪。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 35:1-10

Furaha Ya Waliokombolewa

135:1 Isa 27:10; 41:18-19; 51:3; 32:15-16; 27:6Jangwa na nchi kame vitafurahi;

nyika itashangilia na kuchanua maua.

Kama waridi, 235:2 Wim 7:5; Mwa 21:6; Ezr 3:7; Za 105:43; Isa 32:15; 12:6; 25:9; 1Nya 27:29litachanua maua,

litashangilia sana na kupaza sauti kwa furaha.

Litapewa utukufu wa Lebanoni,

fahari ya Karmeli na Sharoni;

wataona utukufu wa Bwana,

fahari ya Mungu wetu.

335:3 Ay 4:3-4; Ebr 12:12Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu,

yafanyeni imara magoti yaliyolegea,

435:4 Isa 40:2; 2Nya 32:6; Zek 1:13; Kum 20:3; Isa 21:4; Yos 1:9; Isa 7:4; 1:24; 34:8; 25:9; 40:1; 10:9, 10-11; 51:5; 62:11; Dan 10:19; Ufu 22:12waambieni wale wenye mioyo ya hofu,

“Kuweni hodari, msiogope;

tazama, Mungu wenu atakuja,

pamoja na malipo ya Mungu,

atakuja na kuwaokoa ninyi.”

535:5 Mt 9:27; 11:5; Isa 42:18; 29:18; 2Nya 32:6; Isa 40:2; Zek 1:13; Isa 21:4; Ufu 22:12Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa

na masikio ya viziwi yatazibuliwa.

635:6 Lk 7:22; Yn 5:8-9; Mk 7:35; Kut 17:6; Yn 7:38; Mdo 3:2; Mt 15:30; Mdo 3:8Ndipo kilema atarukaruka kama kulungu,

nao ulimi wa aliye bubu utapaza sauti kwa shangwe.

Maji yatatiririka kwa kasi katika nyika,

na vijito katika jangwa.

735:7 Za 68:6; Isa 41:17; 44:3; 55:1; 49:10; 58:11; 13:22; Za 107:35; Ay 8:11; 40:21Mchanga wa moto utakuwa bwawa la maji,

ardhi yenye kiu itabubujika chemchemi.

Maskani ya mbweha walikolala hapo awali

patamea majani, matete na mafunjo.

835:8 Yer 31:21; Yoe 3:17; Mt 7:13-14; 1Pet 1:15; Isa 52:1; 33:8Nako kutakuwa na njia kuu,

nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.

Wasio safi hawatapita juu yake;

itakuwa ya wale watembeao katika Njia ile;

yeye asafiriye juu yake,

ajapokuwa mjinga, hatapotea.

935:9 Isa 30:9; 11:6-9; Law 25:47-55; Kut 6:6; Isa 13:22; 62:12Huko hakutakuwepo na simba,

wala mnyama mkali hatapita njia hiyo,

wala hawatapatikana humo.

Ila waliokombolewa tu ndio watakaopita huko,

1035:10 Yn 16:22; Isa 51:11; 30:29; Ufu 21:4; Ay 19:25; Za 51:8waliokombolewa na Bwana watarudi.

Wataingia Sayuni wakiimba;

furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao.

Watapata furaha na shangwe;

huzuni na majonzi vitakimbia.