以赛亚书 23 – CCB & NEN

Chinese Contemporary Bible (Simplified)

以赛亚书 23:1-18

关于泰尔的预言

1以下是关于泰尔的预言:

他施的船只哀号吧!

因为从基提23:1 基提”就是现在的塞浦路斯。传来消息,

泰尔已被毁灭,

房屋和港口都荡然无存。

2海边的居民,西顿23:2 先知在本预言中提到西顿,是因为泰尔和西顿都在同一地区,都属于腓尼基人。的商贾啊,

要静默无言。

你们的商人飘洋过海,

3西曷的粮食、尼罗河流域的农产都运到泰尔

泰尔成为列国的商埠。

4西顿啊,你要羞愧!

你这海上的堡垒啊,

大海否认你,说:

“我没有经历过产痛,

没有生过孩子,

也未曾养育过儿女。”

5埃及人听见泰尔的消息,

都感到伤痛。

6海边的居民啊,你们要去他施

你们要哀号!

7这就是你们那历史悠久、

充满欢乐的城吗?

她曾经派人到远方居住。

8泰尔曾是封王之地,

她的商贾是王侯,

她的商人名闻天下。

但她如今的遭遇是谁定的?

9是万军之耶和华定的,

为要摧毁因荣耀而生的骄傲,

羞辱世上的尊贵者。

10他施的人民啊,

要像尼罗河一样穿行在自己的土地上,

因为再没有人压制你们。

11耶和华已经在大海之上伸出惩罚之手,

使列国震动。

祂已下令毁灭迦南的堡垒。

12祂说:“受欺压的西顿人啊,

你们再也不能欢乐了!

你们就是逃到基提

也得不到安宁。”

13看看迦勒底人的土地,那里已杳无人烟!亚述人使它成为野兽出没之地,他们筑起围城的高台,摧毁它的宫殿,使它沦为废墟。

14他施的船只都哀号吧!

因为你们的堡垒已被摧毁。

15到那日,泰尔必被遗忘七十年,正好一个王的寿数。七十年之后,泰尔必如歌中所描述的妓女:

16“被遗忘的妓女啊,

拿起琴,走遍全城。

要弹得美妙,要多唱几首歌,

好使人再记起你。”

17那时,耶和华必眷顾泰尔。她必重操旧业,与天下万国交易。 18但她得到的利润和收入不会被积攒或储存起来,而是要被献给耶和华,用来供应那些事奉耶和华的人,使他们吃得饱足,穿得精美。

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 23:1-18

Unabii Kuhusu Tiro

123:1 Zek 9:2-4; Amo 1:9-10; Eze 26:1-21; Mwa 10:4; 1Fal 10:22; Yos 19:29; Yer 47:4Neno kuhusu Tiro:

Ombolezeni, enyi meli za Tarshishi!

Kwa kuwa Tiro imeangamizwa,

imeachwa bila nyumba wala bandari.

Kuanzia nchi ya Kitimu23:1 Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.

neno limewajia.

223:2 Ay 2:13; Eze 27:1-24; Amu 1:31Nyamazeni kimya, enyi watu wa kisiwani,

pia ninyi wafanyabiashara wa Sidoni,

ambao mabaharia wamewatajirisha.

323:3 Isa 19:7; Za 83:7; Eze 27:3; Mwa 41:5Kwenye maji makuu

nafaka za Shihori zilikuja;

mavuno ya Naili yalikuwa mapato ya Tiro,

naye akawa soko la mataifa.

423:4 Mwa 10:15, 19Uaibishwe ee Sidoni, nawe ee ngome la bahari,

kwa kuwa bahari imesema:

“Sijapata kuwa na uchungu wa kuzaa wala sijapata kuzaa,

wala sijapata kulea wana wala kutunza mabinti.”

523:5 Eze 30:9; 26:17-18Habari ifikapo Misri,

watakuwa katika maumivu makuu kwa ajili ya taarifa kutoka Tiro.

623:6 Mwa 10:4Vukeni mpaka Tarshishi,

ombolezeni, enyi watu wa kisiwani.

723:7 Isa 5:14; 32:13; 22:2; Eze 26:13; Isa 23:12Je, huu ndio mji wenu uliojaa sherehe,

mji wa zamani, zamani kabisa

ambao miguu yake imeuchukua

kufanya makao nchi za mbali sana?

823:8 Isa 2:12; Eze 28:2; 1Tim 3:4; Nah 3:16; Eze 28:5; Ufu 18:23Ni nani amepanga hili dhidi ya Tiro,

mji utoao mataji,

ambao wafanyabiashara wake ni wana wa mfalme

na wachuuzi wake ni watu mashuhuri wa dunia?

923:9 Ay 40:11; Isa 13:11; 5:13; Eze 27:3; Isa 14:24; 9:15Bwana Mwenye Nguvu Zote ndiye alipanga jambo hili,

ili kukishusha kiburi cha utukufu wote

na kuwanyenyekesha wale wote

ambao ni mashuhuri duniani.

10Ee Binti Tarshishi,

pita katika nchi yako kama vile Mto Naili

kwa kuwa huna tena bandari.

1123:11 Kut 14:21; Eze 26:4; Zek 9:3-4; Za 46:6Bwana amenyoosha mkono wake juu ya bahari

na kuzifanya falme zake zitetemeke.

Ametoa amri kuhusu Kanaani

kwamba ngome zake ziangamizwe.

1223:12 Ufu 18:22; Sef 3:14; Zek 2:10; Isa 37:22; Yer 14:17; Mao 2:13; Mwa 10:4Alisema, “Usizidi kufurahi,

ee Bikira Binti Sidoni, sasa umepondwa!

“Simama, vuka uende Kitimu;

hata huko hutapata pumziko.”

1323:13 Isa 43:14; Yer 51:12; Za 74:14; Isa 18:6Tazama katika nchi ya Wakaldayo,

watu hawa ambao sasa hawaonekani kama wapo!

Waashuru wameifanya nchi hiyo

kuwa mahali pa viumbe wa jangwani.

Wamesimamisha minara yao ya vita kuuzunguka,

wameziteka ngome zake na kuziacha tupu

na kuufanya kuwa magofu.

1423:14 Mwa 10:4; Isa 2:16; Eze 27:25; 1Fal 10:22Ombolezeni, enyi meli za Tarshishi;

ngome yenu imeangamizwa!

1523:15 Yer 25:22; Za 90:10Wakati huo Tiro utasahauliwa kwa miaka sabini, muda wa maisha ya mfalme. Lakini mwisho wa miaka hiyo sabini, itakuwa kwa Tiro kama ilivyo katika wimbo wa kahaba:

1623:16 Mit 7:10“Twaa kinubi, tembea mjini kote,

ewe kahaba uliyesahauliwa;

piga kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi,

ili upate kukumbukwa.”

1723:17 Kum 23:17-18; Mwa 10:15-19; Ufu 17:1; 18:3-9; Eze 16:26; Yer 25:26; Nah 3:4Mwishoni mwa miaka sabini, Bwana atashughulika na Tiro. Naye atarudia ajira yake ya ukahaba, na atafanya biashara yake na falme zote juu ya uso wa dunia. 1823:18 Yos 6:17-19; Za 72:10; Zek 14:20-21; Isa 61:6; Mik 4:13; Kut 28:36; Isa 18:7; 60:5-9; Amo 1:9-10Lakini faida na mapato yake yatawekwa wakfu kwa Bwana; hayatahifadhiwa wala kufichwa. Faida zake zitakwenda kwa wale wakaao mbele za Bwana kwa ajili ya chakula tele na mavazi mazuri.