Откровение 7 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Откровение 7:1-17

Сто сорок четыре тысячи человек, отмеченных печатью Всевышнего

1Потом я увидел четырёх ангелов: они стояли на четырёх углах земли и удерживали четыре ветра земли, чтобы те не дули ни на землю, ни на море, ни на какое дерево. 2Я увидел ещё одного ангела: он поднимался с востока и держал печать живого Бога. Он громко крикнул четырём ангелам, которым было дано право причинять вред земле и морю:

3– Не причиняйте вреда ни земле, ни морю, ни деревьям, пока мы не отметим рабов нашего Бога, поставив печать им на лоб7:3 Ср. Езек. 9:1-6..

4Я услышал число отмеченных печатью. Было отмечено 144 000 человек, и это были люди из всех родов Исроила:

5из рода Иуды были отмечены печатью 12 000,

из рода Рувима – 12 000,

из рода Гада – 12 000,

6из рода Ошера – 12 000,

из рода Неффалима – 12 000,

из рода Манассы – 12 000,

7из рода Шимона – 12 000,

из рода Леви – 12 000,

из рода Иссокора – 12 000,

8из рода Завулона – 12 000,

из рода Юсуфа – 12 000,

и из рода Вениамина – 12 000 отмеченных печатью.

Множество народа в белых одеждах

9Потом я увидел огромное, неисчислимое множество народа. Там были люди из каждого рода, каждого племени, каждого народа и каждого языка. Они стояли перед троном и перед Ягнёнком. На них были белые одежды, и в руках они держали пальмовые ветви7:9 Пальмовые ветви символизируют радость победы.. 10Они громко восклицали:

– Спасение дают нам наш Бог,

сидящий на троне,

и Ягнёнок!

11Все ангелы стояли вокруг трона, старцев и четырёх живых существ. Они пали перед троном на свои лица и поклонились Всевышнему. 12Они говорили:

– Аминь!

Хвала и слава,

мудрость и благодарность,

честь, власть и сила

принадлежат нашему Богу вовеки!

Аминь.

13Затем один из старцев спросил меня:

– Знаешь ли ты, кто эти люди, одетые в белые одежды? Откуда они пришли?

14Я ответил:

– Нет, господин мой, но ты это знаешь.

Он тогда сказал:

– Это те, кто пришёл от великой скорби. Они омыли свою одежду и отбелили её в крови Ягнёнка.

15Поэтому они стоят перед троном Всевышнего

и служат день и ночь в Его храме,

и Сидящий на троне будет жить среди них

и раскинет над ними Свой шатёр.

16Они больше не будут голодать

и томиться от жажды,

их больше не будет палить солнце

и никакая жара.

17Ягнёнок, находящийся возле трона, будет пасти их

и поведёт их к источникам живой воды,

и Сам Всевышний сотрёт всякую слезу с их глаз7:16-17 См. Заб. 22:1-2; Ис. 25:8; 49:10; Иер. 2:13; Езек. 34:23..

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ufunuo 7:1-17

Waisraeli 144,000 Watiwa Muhuri

17:1 Yer 49:36; Mt 24:31Baada ya hili nikaona malaika wanne wakiwa wamesimama katika pembe nne za dunia, wakizuia hizo pepo nne za dunia, ili kwamba pasiwe na upepo utakaovuma juu ya nchi au juu ya bahari au juu ya mti wowote. 27:2 Ufu 9:4; Mt 16:16Nikaona malaika mwingine akipanda kutoka mawio ya jua akiwa na muhuri wa Mungu aliye hai. Akawaita kwa sauti kubwa wale malaika wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya kuidhuru nchi na bahari, akisema, 37:3 Ufu 6:6; Eze 9:4; Ufu 22:4“Msiidhuru nchi wala bahari, wala miti, hadi tuwe tumetia muhuri kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa Mungu wetu.” 47:4 Ufu 9:16; 14:1-3Ndipo nikasikia idadi ya wale waliotiwa muhuri: yaani 144,000 kutoka makabila yote ya Israeli.

5Kutoka kabila la Yuda 12,000 walitiwa muhuri,

kutoka kabila la Reubeni 12,000,

kutoka kabila la Gadi 12,000,

6kutoka kabila la Asheri 12,000,

kutoka kabila la Naftali 12,000,

kutoka kabila la Manase 12,000,

7kutoka kabila la Simeoni 12,000,

kutoka kabila la Lawi 12,000,

kutoka kabila la Isakari 12,000,

8kutoka kabila la Zabuloni 12,000,

kutoka kabila la Yosefu 12,000,

na kutoka kabila la Benyamini 12,000.

Umati Mkubwa Wa Watu Kutoka Mataifa Yote

97:9 Ufu 5:9; 13:7; 7:15; Rum 11:25; Ufu 3:5; 6:11; 7:4Baada ya hili nikatazama na hapo mbele yangu palikuwa na umati mkubwa wa watu ambao hakuna yeyote awezaye kuuhesabu, kutoka kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wamevaa mavazi meupe na wakiwa wameshika matawi ya mitende mikononi mwao. 107:10 Za 3:8; Ufu 19:1Nao walikuwa wakipiga kelele kwa sauti kubwa wakisema:

“Wokovu una Mungu wetu,

yeye aketiye kwenye kiti cha enzi,

na Mwana-Kondoo!”

117:11 Ufu 4:4-10Malaika wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha enzi na wale wazee ishirini na wanne na wale viumbe wanne wenye uhai. Wakaanguka kifudifudi mbele ya hicho kiti cha enzi na kumwabudu Mungu, 127:12 Rum 11:36; Ufu 5:12-14wakisema:

“Amen!

Sifa na utukufu

na hekima na shukrani na heshima

na uweza na nguvu

viwe kwa Mungu wetu milele na milele.

Amen!”

137:13 Ufu 3:4; 7:9Kisha mmoja wa wale wazee ishirini na wanne akaniuliza, “Ni nani hawa waliovaa mavazi meupe, nao wametoka wapi?”

147:14 Ufu 22:14; Ebr 9:14; 1Yn 1:7Nikamjibu, “Bwana, wewe wajua.”

Naye akasema, “Hawa ni wale waliotoka katika ile dhiki kuu, nao wamefua mavazi yao katika damu ya Mwana-Kondoo na kuyafanya meupe kabisa. 157:15 Ufu 22:3; 11:19; Isa 4:5-6Kwa hiyo,

“Wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu

na kumtumikia usiku na mchana

katika hekalu lake;

naye aketiye katika kile kiti cha enzi

atatanda hema yake juu yao.

167:16 Isa 49:10Kamwe hawataona njaa

wala kiu tena.

Jua halitawapiga

wala joto lolote liunguzalo.

177:17 Za 23:1; Yn 10:11; Isa 51:11; Ufu 21:3Kwa maana Mwana-Kondoo

aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi

atakuwa Mchungaji wao;

naye atawaongoza kwenda

kwenye chemchemi za maji yaliyo hai.

Naye Mungu atafuta kila chozi

kutoka macho yao.”