Начало 39 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Начало 39:1-23

Юсуф в доме Потифара

1Юсуфа привели в Египет, и египтянин Потифар, сановник фараона и начальник его стражи, купил Юсуфа у исмоильтян, которые его туда привели.

2Вечный был с Юсуфом, и он преуспевал, живя в доме у своего египетского господина. 3Его господин увидел, что Вечный с Юсуфом и что Он даёт ему успех во всём, что он делает. 4Юсуф нашёл расположение в его глазах и стал его личным слугой. Потифар поставил его над своим домом и доверил ему все свои владения. 5И с тех пор как он поставил его над своим домом и всеми владениями, Вечный благословил дом египтянина ради Юсуфа. Благословение Вечного было на всём, что было у Потифара, – и в доме, и в поле. 6Поэтому он доверил Юсуфу всё, что у него было; благодаря Юсуфу он мог ни о чём не заботиться, кроме того, чтобы поесть.

Юсуф же был хорошо сложён и красив, 7и через некоторое время жена его господина стала заглядываться на него и сказала:

– Ложись со мной!

8Но он отказался, сказав:

– При мне мой господин может ни о чём не заботиться в доме; всё, чем он владеет, он доверил мне. 9В этом доме я самый главный; мой господин не отказал мне ни в чём, кроме тебя, потому что ты – его жена. Как же я могу совершить такое великое зло и грех против Всевышнего?

10И хотя она уговаривала его каждый день, он отказывался лечь с ней и даже быть с ней.

11Однажды он вошёл в дом по своим делам, когда никого из домашних не было в доме. 12Она схватила его за одежду и сказала:

– Ложись со мной!

Но он вырвался и убежал, оставив верхнюю одежду у неё в руках. 13Увидев, что он убежал и оставил одежду у неё в руках, 14она позвала домашнюю прислугу и сказала им:

– Смотрите, этого еврея привели к нам в дом, а он оскорбляет нас! Он пришёл сюда и хотел лечь со мной, но я стала кричать, 15а он от моего крика оставил свою одежду и убежал.

16Она держала одежду Юсуфа у себя, пока не пришёл домой его хозяин. 17Она рассказала ему ту же историю:

– Этот раб-еврей, которого ты к нам привёл, пришёл ко мне и хотел надо мной надругаться, 18но я стала кричать, и он, оставив у меня свою одежду, убежал.

Заключение Юсуфа в темницу

19Когда его господин выслушал рассказ жены, которая сказала: «Вот как твой раб обошёлся со мной», он сильно разгневался. 20Он взял Юсуфа и посадил его в темницу, где были заключены царские узники; и так Юсуф оказался в темнице.

21Но и там Вечный был с ним; Он явил ему милость и даровал ему расположение в глазах главного надзирателя. 22Главный надзиратель поставил Юсуфа над всеми узниками, и он отвечал за все дела в темнице. 23Главный надзиратель мог не заботиться о том, что было вверено Юсуфу, потому что Вечный был с Юсуфом и давал ему успех во всех делах.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 39:1-23

Yosefu Na Mke Wa Potifa

139:1 Mwa 37:36Wakati huu Yosefu alikuwa amechukuliwa mpaka Misri. Mmisri aliyeitwa Potifa aliyekuwa mmojawapo wa maafisa wa Farao, mkuu wa ulinzi, akamnunua Yosefu kutoka kwa Waishmaeli waliomleta Misri.

2Bwana alikuwa pamoja na Yosefu, naye akastawi, Yosefu akaishi nyumbani kwa bwana wake Mmisri. 339:3 Mwa 21:22; Za 1:3Potifa alipoona kuwa Bwana alikuwa pamoja na Yosefu na kwamba Bwana alimfanikisha kwa kila kitu alichokifanya, 439:4 1Fal 11:28Yosefu alipata kibali machoni pa Potifa, akamfanya mhudumu wake. Potifa akamweka kuwa msimamizi wa nyumba yake, naye akamkabidhi kuwa mwangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho. 539:5 2Sam 6:11; Za 128:4Kuanzia wakati huo Potifa alipomweka Yosefu kuwa msimamizi wa nyumba na mali zake zote alizokuwa nazo, Bwana aliibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu. Baraka ya Bwana ilikuwa juu ya kila kitu alichokuwa nacho Potifa, nyumbani na shambani. 6Kwa hiyo Potifa akamwachia Yosefu uangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho, Yosefu alipokuwa katika uongozi, Potifa hakuwa na sababu ya kujishughulisha na kitu chochote isipokuwa chakula alichokula.

Yosefu alikuwa mwenye umbo zuri na sura ya kuvutia; 7baada ya kitambo mke wa Potifa akamtamani Yosefu, akamwambia, “Njoo, ukutane nami kimwili!”

839:8 Mit 6:23-24Lakini Yosefu akakataa. Akamwambia yule mwanamke, “Mimi nikiwa katika uongozi, bwana wangu hahusiki na kitu chochote katika nyumba hii, kila kitu alicho nacho amenikabidhi. 939:9 Hes 22:34Hapa nyumbani hakuna aliye mkuu kuliko mimi. Bwana wangu hakunizuilia kitu chochote isipokuwa wewe, kwa kuwa wewe ni mke wake. Nitawezaje basi kufanya uovu huu na kutenda dhambi dhidi ya Mungu?” 10Ingawa yule mwanamke aliendelea kumshawishi Yosefu siku baada ya siku, Yosefu alikataa kukutana naye kimwili wala kukaa karibu naye.

1139:11 Kut 18:20Siku moja Yosefu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi zake, wala hapakuwepo na mfanyakazi yeyote ndani ya nyumba. 1239:12 Mit 7:13; 2Tim 2:22Mke wa Potifa akashika vazi Yosefu alilokuwa amevaa, akamwambia, “Njoo tukutane kimwili!” Lakini Yosefu akaacha vazi lake mkononi mwa huyo mwanamke, akatoka nje ya nyumba akikimbia.

13Yule mwanamke alipoona kwamba Yosefu amemwachia vazi lake mkononi na kukimbilia nje ya nyumba, 1439:14 Kum 22:24, 27akawaita watumishi wake wa nyumbani, akawaambia, “Tazameni! Huyu Mwebrania ameletwa hapa kutudhihaki! Aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili, lakini nikapiga kelele. 15Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”

16Yule mwanamke akaliweka lile vazi karibu naye mpaka Potifa aliporudi nyumbani. 1739:17 Kut 20:16; Mwa 14:13Ndipo akamweleza kisa hiki, akisema: “Yule mtumwa wa Kiebrania uliyetuletea alinijia ili kunidhihaki. 18Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia nje ya nyumba.”

19Potifa aliposikia kisa hiki mkewe alichomweleza, akisema, “Hivi ndivyo mtumwa wako alivyonitenda.” Hasira ya Potifa ikawaka. 2039:20 Za 105:18Potifa akamchukua Yosefu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa.

Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko gerezani, 2139:21 Kut 3:21; Mit 16:7Bwana alikuwa pamoja naye, akamhurumia na kumpa kibali mbele ya msimamizi wa gereza. 22Kwa hiyo msimamizi wa gereza akamweka Yosefu awe mkuu wa wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo yalitendeka mle gerezani. 2339:23 Mwa 21:20; Hes 14:43Msimamizi wa gereza hakujishughulisha tena na kitu chochote kilichokuwa chini ya uangalizi wa Yosefu, kwa sababu Bwana alikuwa pamoja na Yosefu akimfanikisha kwa kila alichofanya.