Езекиил 39 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Езекиил 39:1-29

1– Смертный, пророчествуй против Гога и скажи: Так говорит Владыка Вечный: «Я твой враг, Гог, верховный правитель Мешеха и Тувала. 2Я поверну тебя обратно и поволоку. Я выведу тебя с окраин севера и пошлю против гор Исроила. 3Я выбью у тебя лук из левой руки и рассыплю стрелы из правой. 4Ты падёшь в горах Исроила со своими воинами и народами. Я отдам тебя в пищу разным хищным птицам и диким зверям. 5Ты падёшь в открытом поле, потому что Я так сказал, – возвещает Владыка Вечный. – 6Я пошлю огонь на Магог и на тех, кто живёт в безопасности на побережье. Тогда они узнают, что Я – Вечный.

7Я возвещу Моё святое имя Моему народу Исроилу. Я не позволю впредь бесславить Моё святое имя, и народы узнают, что Я, Вечный, Святой в Исроиле. 8Он близится! Он непременно настанет, – возвещает Владыка Вечный, – день, о котором Я говорил.

9Жители исроильских городов выйдут собирать брошенное оружие, чтобы отправить его на топливо. Они будут разводить огонь из малых и больших щитов, луков и стрел, палиц и копий. Топлива им хватит на семь лет. 10Им не придётся собирать дрова в поле или рубить их в лесу: топливом у них будет оружие. Они оберут тех, кто их обирал, и ограбят тех, кто их грабил, – возвещает Владыка Вечный.

11В тот день Я дам Гогу место для погребения в Исроиле, в долине Аварим39:11 Или: «в долине Путешественников»., к востоку от моря39:11 То есть Мёртвого или Средиземного моря.. Оно преградит дорогу путешественникам, потому что там будут похоронены Гог и его полчища. Поэтому это место будет названо долиной Гамон-Гог («полчище Гога»).

12Семь месяцев исроильтяне будут хоронить их, чтобы очистить землю. 13Весь народ страны будет хоронить их и прославится этим в тот день, когда Я одержу победу, – возвещает Владыка Вечный.

14Будут назначены люди, чтобы всё время обходить землю, хоронить оставшихся на поверхности земли и очищать её. Они начнут поиски через семь месяцев. 15Люди будут обходить землю, и когда кто-нибудь из них увидит человеческую кость, он будет ставить рядом с ней знак, чтобы могильщики пришли и похоронили её в долине Гамон-Гог. 16(Там будет и город Гамона.) Так они очистят землю».

17А тебе, смертный, так говорит Владыка Вечный: Скажи разным птицам и диким зверям: «Собирайтесь отовсюду и отправляйтесь на жертвенный пир, который Я готовлю для вас, на великий жертвенный пир в горах Исроила. Вы будете есть мясо и пить кровь. 18Вы будете есть мясо могучих ратников и пить кровь правителей земли, словно бы они были баранами и ягнятами, козлами и молодыми быками – упитанной скотиной с плодородной Бошонской земли. 19На жертвенном пире, который Я готовлю для вас, вы досыта наедитесь жира и напьётесь крови. 20За Моим столом вы насытитесь мясом коней и колесничих, могучих ратников и разных военных людей», – возвещает Владыка Вечный.

21Я явлю народам Мою славу. Все народы увидят суд, который Я произвёл, и руку, которую Я на них опустил. 22С этого дня и впредь исроильтяне будут знать, что Я – Вечный, их Бог. 23Народы узнают, что исроильтяне отправились в плен за грехи, за то, что они были Мне неверны. За это Я скрыл от них лицо, отдал их во власть врагов, и все они пали от меча. 24Я поступил с ними по их нечистоте и преступлениям; Я скрыл от них Своё лицо.

25Поэтому так говорит Владыка Вечный:

– Теперь Я восстановлю потомков Якуба и помилую весь народ Исроила. Я возревную о Моём святом имени. 26Они смогут забыть о своём позоре и о неверности39:26 Или: «понесут бремя позора и неверности». Мне, когда будут снова жить в безопасности на своей земле, и никто не будет им угрожать. 27Вернув их из других народов и возвратив из вражеских стран, Я явлю через них Мою святость на глазах у многих народов. 28Они узнают, что Я – Вечный, их Бог, потому что, хотя Я и отправил их в плен к чужим народам, Я соберу их в их собственной стране, никого не забыв. 29Я больше не стану скрывать от них Своё лицо, когда изолью Моего Духа на народ Исроила, – возвещает Владыка Вечный.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 39:1-29

Majeshi Ya Gogu Yataangamizwa

139:1 Eze 27:13; 38:2; Ufu 20:6“Mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee Gogu mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali. 239:2 Eze 32:30; 38:4, 15Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukuburuta. Nitakuleta kutoka kaskazini ya mbali na kukupeleka wewe dhidi ya milima ya Israeli. 339:3 Amo 2:15; Za 76:3Kisha nitaupiga upinde wako kutoka mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale ianguke kutoka mkono wako wa kuume. 439:4 Yer 25:33; Eze 29:5; Mwa 40:19; Isa 34:2-8Utaanguka kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa aina zote walao nyama na cha wanyama wa mwituni. 539:5 Eze 32:4Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema Bwana Mwenyezi. 639:6 Ufu 20:9; Yer 25:22; Eze 30:8; Kut 6:7Nitatuma moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi ndimi Bwana.

739:7 Kut 20:7; Eze 13:19; Isa 12:6; 54:5; Eze 20:9; 36:23; Isa 49:26“ ‘Nitalifanya Jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha tena Jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mataifa watajua kuwa Mimi Bwana ndimi Aliye Mtakatifu wa Israeli. 839:8 Eze 7:3-8; 38:17Hili jambo linakuja! Hakika litatokea, asema Bwana Mwenyezi. Hii ndiyo siku ile niliyosema habari zake.

939:9 Za 46:9; 76:3“ ‘Ndipo wale wanaoishi katika miji ya Israeli watakapotoka na kutumia hizo silaha kuwashia moto na kuziteketeza, yaani, kigao na ngao, pinde na mishale, rungu za vita na mikuki. Kwa miaka saba watavitumia kama kuni. 1039:10 Isa 33:1; Hab 2:8; Isa 14:2; Kut 3:22Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka mashambani wala kukata kuni kutoka kwenye misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. Nao watawateka mateka wale waliowateka na kuchukua nyara mali za wale waliochukua mali zao nyara, asema Bwana Mwenyezi.

1139:11 Eze 38:2; Isa 34:3“ ‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio upande wa mashariki kuelekea baharini. Jambo hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na makundi yake yote ya wajeuri watazikwa huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu.39:11 Hamon-Gogu maana yake Makundi ya wajeuri wa Gogu.

1239:12 Kum 21:23“ ‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi. 1339:13 Eze 28:22; Za 126:2Watu wote wa nchi watawazika, nayo siku nitakayotukuzwa itakuwa siku ya kumbukumbu kwa ajili yao, asema Bwana Mwenyezi.

1439:14 Eze 39:12“ ‘Watu wataajiriwa mara kwa mara kuisafisha nchi. Baadhi yao watapita nchini kote na zaidi yao hao wengine, watawazika wale waliosalia juu ya uso wa nchi. Mwisho wa hiyo miezi saba wataanza upekuzi wao. 15Wakati wanapopita nchini kote na mmoja wao akaona mfupa wa mwanadamu, ataweka alama kando yake mpaka wachimba kaburi wawe wameuzika katika Bonde la Hamon-Gogu. 1639:16 Eze 39:12(Pia mji uitwao Hamona39:16 Hamona maana yake Kundi (la wajeuri). utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’

1739:17 Isa 18:6; Ay 15:23; Ufu 19:17; Eze 32:4“Mwanadamu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ita kila aina ya ndege na wanyama wote wa mwituni, waambie: ‘Kusanyikeni mje pamoja kutoka pande zote kwa ajili ya dhabihu ninayowaandalia, dhabihu kuu katika milima ya Israeli. Huko mtakula nyama na kunywa damu. 1839:18 Za 22:12; Yer 51:40Mtakula nyama za watu mashujaa na kunywa damu za wakuu wa dunia kana kwamba ni za kondoo dume na kondoo wake, mbuzi na mafahali, wote walionona kutoka Bashani. 1939:19 Law 3:9Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe. 2039:20 Yer 12:9; Ufu 19:17-18; Eze 38:4; Isa 56:9Kwenye meza yangu watajishibisha kwa farasi na wapanda farasi, watu mashujaa na askari wa kila aina,’ asema Bwana Mwenyezi.

2139:21 Kut 9:16; Isa 37:20; Eze 38:16“Nitauonyesha utukufu wangu miongoni mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona adhabu nitakayotoa na mkono wangu nitakaouweka juu yao. 22Kuanzia siku ile na kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wao. 2339:23 Isa 1:15; Kum 31:17; Yer 22:8-9; Isa 59:2; Yer 44:23Na mataifa watajua kuwa nyumba ya Israeli walikwenda utumwani kwa ajili ya dhambi yao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu. Hivyo niliwaficha uso wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao, nao wote wakaanguka kwa upanga. 2439:24 2Fal 17:23; Dan 9:7; Eze 36:19; 16:53; Yer 4:18Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.

2539:25 Eze 34:13; Yer 30:18; Isa 27:12-13; Eze 16:53; Yer 33:7“Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya Jina langu takatifu. 2639:26 1Fal 4:25; Yer 32:37; Isa 17:2; Mik 4:4; Dan 9:16; Eze 38:8Wataisahau aibu yao na jinsi walivyoonyesha kutokuwa waaminifu kwangu mimi wakati waliishi salama katika nchi yao, bila kuwa na mtu yeyote wa kuwatia hofu. 2739:27 Eze 37:21; 38:16; 36:23Nitakapokuwa nimewarudisha kutoka mataifa na kuwakusanya kutoka nchi za adui zao, mimi nitajionyesha kuwa mtakatifu kwa kupitia kwao machoni mwa mataifa mengi. 2839:28 Za 147:2; Eze 36:23, 36Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, Mungu wao, ingawa niliwapeleka uhamishoni miongoni mwa mataifa, nitawakusanya tena katika nchi yao wenyewe, bila kumwacha yeyote nyuma. 2939:29 Isa 11:2; Mdo 2:27; Hos 2:20; Yoe 2:28; Kum 31:17; Eze 37:9; 16:42Sitawaficha tena uso wangu, kwa maana nitamimina Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli, asema Bwana Mwenyezi.”