Езекиил 34 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Езекиил 34:1-31

Пастухи и овцы

1Было ко мне слово Вечного:

2– Смертный, пророчествуй против пастухов Исроила. Пророчествуй и скажи им: Так говорит Владыка Вечный: «Горе пастухам Исроила, которые заботятся о самих себе! Разве не об отаре должны заботиться пастухи? 3Вы едите жир, одеваетесь в шерсть и режете отборных животных, но об отаре не заботитесь. 4Вы не укрепляли слабых, не лечили больных и не перевязывали израненных. Вы не приводили назад заблудившихся и не искали пропавших. Вы обходились с ними грубо и жестоко. 5И они разбежались без пастуха, а рассеявшись, стали пищей диким зверям. 6Мои овцы скитались по горам и высоким холмам. Они были рассеяны по всей земле, и никто не искал их, не старался найти.

7Поэтому, пастухи, слушайте слово Вечного: 8Верно, как и то, что Я живу, – возвещает Владыка Вечный, – за то, что у Моей отары не было пастуха, так что она превратилась в добычу, стала пищей для диких зверей, и за то, что Мои пастухи не разыскивали Мою отару, но заботились лишь о самих себе, а не об отаре, – 9за это, пастухи, слушайте слово Вечного; 10так говорит Владыка Вечный: Я – враг этим пастухам, и Я потребую с них ответа за Мою отару. Я не позволю им больше пасти овец, чтобы они не заботились впредь только о себе. Я спасу Мою отару из их голодных челюстей. Она не будет больше им пищей.

11Ведь так говорит Владыка Вечный: Я Сам буду искать Моих овец и смотреть за ними. 12Как пастух присматривает за рассеянной отарой, когда она с ним, так и Я буду смотреть за Моими овцами. Я выведу их из всех мест, по которым они рассеялись в облачный и ненастный день. 13Я выведу их из народов, соберу из стран и приведу в их собственную землю. Я буду пасти их на горах Исроила, в лощинах и во всех селениях страны. 14Я буду водить их на хорошие пастбища; горные вершины Исроила будут их выгоном. Они будут отдыхать там на хорошем выгоне и пастись на богатых пастбищах в горах Исроила. 15Я Сам буду пасти Моих овец и останавливать их для отдыха, – возвещает Владыка Вечный. – 16Я буду искать пропавших и приводить назад заблудившихся. Я буду перевязывать израненных и укреплять слабых, а разжиревших и крепких истреблять. Я буду пасти отару по справедливости.

17Тебе, Моя отара, так говорит Владыка Вечный: Я буду судить между овцами и между баранами и козлами. 18Разве мало вам пастись на хорошем пастбище? Зачем вы вытаптываете ногами остальное? Разве мало вам пить чистую воду? Зачем вы мутите ногами оставшуюся? 19Неужели Моя отара будет пастись там, где вы топтали, и пить там, где вы замутили воду?

20Поэтому так говорит им Владыка Вечный: Смотрите, Я Сам буду судить между жирными и худыми овцами. 21Так как вы толкаетесь боками и плечами, бодая слабых овец рогами, пока не прогоните, 22Я спасу Мою отару, и она больше не будет добычей. Я буду судить между овцами. 23Я поставлю над ними одного пастуха, Моего раба Довуда34:23 Довуд – имеется в виду Масех, обещанный Царь по линии Довуда (см. 2 Цар. 7:12-14; Иер. 23:5-6; Рим. 1:3-4)., и он будет пасти их: он будет пасти их и будет их пастухом. 24Я, Вечный, буду их Богом, а Мой раб Довуд будет среди них вождём. Так сказал Я, Вечный.

25Я заключу с ним соглашение мира и прогоню из этой земли хищных зверей, чтобы овцы могли безопасно жить в диких местах и спать в лесу. 26Я благословлю их и окрестности Моей храмовой горы34:26 Или: «Я сделаю их и окрестности Моей храмовой горы благословением».. Я буду вовремя посылать дождь – это будут дожди благословения. 27Деревья в поле будут приносить плоды, и земля будет приносить урожай; народ будет в безопасности на своей земле. Они узнают, что Я – Вечный, когда Я сломаю запоры их ярма и спасу их из рук поработителей. 28Впредь народы не будут грабить их, а дикие звери не будут их пожирать. Они будут жить в безопасности, и никто не будет их устрашать. 29Я дам им землю, которая прославится плодородием, и они не будут больше умирать от голода в стране и терпеть оскорбления от народов. 30Они узнают, что Я, Вечный, их Бог, – с ними, а они, исроильтяне, – Мой народ, – возвещает Владыка Вечный. – 31Вы – Мои овцы, овцы Моего пастбища – это народ, а Я – ваш Бог», – возвещает Владыка Вечный.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 34:1-31

Wachungaji Na Kondoo

1Neno la Bwana likanijia kusema: 234:2 Mik 3:11; Yud 12; Yer 3:15; Isa 40:11; Za 78:70-72; Yn 21:15-17“Mwanadamu, tabiri juu ya wachungaji wa Israeli, tabiri na uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wa wachungaji wa Israeli ambao hujitunza wenyewe tu! Je, haiwapasi wachungaji kutunza kundi la kondoo? 334:3 Amo 6:4; Zek 11:5; Eze 22:27; Isa 56:11Mnakula mafuta ya wanyama, mnavaa mavazi ya sufu na kuchinja kondoo walionona, lakini hamlitunzi kundi. 434:4 Law 25:43; Mik 3:3; 2Tim 2:24; Mdo 9:36; Isa 3:7; Zek 11:15-17Hamkuwatia nguvu walio dhaifu wala hamkuwaganga wenye maradhi wala kuwafunga waliojeruhiwa. Hamkuwarudisha waliotangatanga wala kuwatafuta wale waliopotea. Badala yake mmewatawala kwa ukali na kwa ukatili. 534:5 Hes 27:17; Isa 56:9; Mdo 20:29Hivyo walitawanyika kwa sababu hapakuwepo mchungaji, nao walipotawanyika, wakawa chakula cha wanyama wa mwitu wote. 634:6 Yer 50:6; Law 26:33; Za 95:10; Yer 10:21; 2Nya 18:16; Za 142:4; Hos 7:13; Mt 9:36; 18:12-13Kondoo wangu walitawanyika, wakatangatanga kwenye milima yote na kwenye kila kilima kirefu. Kondoo wangu walitawanyika juu ya uso wa dunia yote bila kuwa na yeyote wa kuwaulizia wala wa kuwatafuta.

7“ ‘Kwa hiyo, ninyi wachungaji, lisikieni neno la Bwana: 834:8 2Nya 18:16; 1Pet 2:25; Yer 50:6; Za 95:10; Yer 10:21; Hos 7:13; Za 42:4; Mt 18:12-13Kwa hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, kwa sababu kondoo zangu wamekosa mchungaji na hivyo wametekwa nyara na kuwa chakula cha wanyama wote wa mwituni na kwa sababu wachungaji wangu, hawakuwatafuta kondoo zangu, bali wachungaji wamejitunza wenyewe, nao hawakuwalisha kondoo zangu, 934:9 Amu 2:14; Isa 59:6; Yud 12kwa hiyo enyi wachungaji, sikieni neno la Bwana: 1034:10 Yer 21:13; Za 72:14; Yer 23:2; Zek 10:3; 1Sam 2:29-30Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na wachungaji nami nitawadai kondoo zangu mikononi mwao. Nitawafukuza kutoka kwenye kuchunga kundi langu, ili wachungaji wasiendelee kujitunza wenyewe. Nitaokoa kondoo zangu kutoka kwenye vinywa vyao, nao kondoo hawatakuwa tena chakula chao.

1134:11 Za 119:176“ ‘Kwa kuwa hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitawaulizia kondoo wangu na kuwatafuta. 1234:12 Zek 10:3; Lk 19:10; Eze 30:3; 32:7; Mdo 2:19-21; Isa 40:11Kama vile mchungaji atafutavyo kundi lake lililotawanyika wakati akiwa pamoja nalo, hivyo ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu. Nitawaokoa kutoka mahali pote walipokuwa wametawanyikia katika siku ya mawingu na giza nene. 1334:13 Mwa 48:21; Yer 23:3, 8; 50:19; Kum 30:4; Eze 11:17Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mbalimbali, nami nitawaleta katika nchi yao wenyewe. Nitawalisha kwenye milima ya Israeli, katika mabonde na mahali pote panapokalika katika nchi. 1434:14 Eze 20:40; 37:22; Za 23:2; 37:3; Isa 65:10; Amo 9:14; Eze 36:29-30Nitawachunga kwenye malisho mazuri na miinuko ya mlima wa Israeli patakuwa mahali pao pa malisho. Huko watajipumzisha kwa amani katika nchi ya malisho mazuri, nao watajilisha huko katika malisho tele katika milima ya Israeli. 1534:15 Sef 3:13; Mik 5:4; Za 23:1-2; Yer 33:12Mimi mwenyewe nitawachunga kondoo zangu na kuwafanya wapumzike, asema Bwana Mwenyezi. 1634:16 Isa 61:1-2; Mik 4:6; Sef 3:19; Yer 31:8; Lk 5:32; Mt 2:17; 15:24Nitawaulizia kondoo waliopotea na kuwaleta waliotangatanga. Nitawafunga waliojeruhiwa na kuwatia nguvu walio dhaifu lakini wale waliojikinai na wenye nguvu nitawaangamiza. Nitalichunga kundi kwa haki.

1734:17 Mt 25:32-33; Eze 20:37“ ‘Kwa habari yenu, enyi kundi langu, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo dume na mbuzi. 1834:18 Mwa 30:15; Eze 32:2Je, haiwatoshi ninyi kujilisha kwenye malisho mazuri? Je, ni lazima ninyi kuyakanyaga pia malisho yenu yaliyobaki kwa miguu yenu? Je, haiwatoshi ninyi kunywa maji safi? Je, ni lazima kuyachafua maji mengine kwa miguu yenu? 19Je, ni lazima kundi langu wajilishe kwa yale mliyoyakanyaga na kunywa maji mliyoyachafua kwa miguu yenu?

2034:20 Eze 34:17“ ‘Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenyezi awaambialo: Tazama, mimi mwenyewe nitahukumu kati ya kondoo wanono na waliokonda. 2134:21 Kum 33:17Kwa sababu mmewapiga kikumbo na kuwapiga kwa pembe zenu kondoo wote walio dhaifu mpaka wakawafukuza, 2234:22 Za 72:12-14; Yer 23:2-3; Eze 20:37-38nitaliokoa kundi langu na hawatatekwa nyara tena. Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo. 2334:23 Ebr 13:20; Isa 40:11; Eze 37:24; Isa 31:4; Mik 5:4Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi, naye atawachunga, atawachunga na kuwa mchungaji wao. 2434:24 Eze 36:28; Yer 33:14; 30:4; Yn 10:16; Kut 29:45; Za 89:49; Isa 53:4; Ufu 7:17Mimi Bwana nitakuwa Mungu wao, naye mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu miongoni mwao. Mimi Bwana nimenena.

2534:25 Law 26:6; 25:18; Hos 2:18; Yer 23:6; Isa 11:6-9; Hes 25:12; Eze 16:62“ ‘Nitafanya nao Agano la amani na kuwaondoa wanyama wa mwitu kutoka nchi yao ili kondoo wangu waweze kupumzika nyikani na msituni kwa salama. 2634:26 Mwa 12:2; Za 68:9; Yoe 2:23; Kum 28:12; 11:13-15Nitawabariki wao pamoja na maeneo yanayozunguka kilima changu. Nitawanyeshea mvua kwa majira yake, kutakuwepo mvua za baraka. 2734:27 Yer 2:20; Law 26:13; Yer 30:8; Eze 20:42; Yer 25:14; Za 72:16; Ay 14:9Miti ya shambani itatoa matunda yake na ardhi itatoa mazao yake, watu watakaa salama katika nchi yao. Watajua kuwa Mimi ndimi Bwana, nitakapovunja vifungo vya nira zao na kuwaokoa kutoka mikono ya wale waliowafanya watumwa. 2834:28 Hos 11:11; Zek 14:11; Amo 9:15; Yer 30:10; 32:37; Eze 28:26; 39:26Hawatatekwa tena nyara na mataifa, wala wanyama pori hawatawala tena. Wataishi kwa salama, wala hakuna yeyote atakayewatia hofu. 2934:29 Isa 4:2; Yoe 2:19; Eze 36:15, 29; Za 137:3Nitawapa nchi yenye sifa kutokana na mazao yake, hawatapatwa na njaa katika nchi tena wala hawatadharauliwa na mataifa. 3034:30 Eze 14:11; 37:27; 2Tim 1:12Ndipo watakapojua kuwa Mimi, Bwana, Mungu wao, niko pamoja nao, na kwamba wao, nyumba ya Israeli, ni watu wangu, asema Bwana Mwenyezi. 3134:31 Za 100:3; Yer 23:1; Za 28:9Ninyi ni kondoo wangu, kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wangu, nami ni Mungu wenu, asema Bwana Mwenyezi.’ ”