Аюб 28 – CARST & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия для Таджикистана

Аюб 28:1-28

Песнь о мудрости

1– Есть рудник для серебра,

и для золота есть горн плавильный.

2Из земли добывают железо,

и плавят медь из руды.

3Рудокоп освещает тьму,

ищет он в отдалённых пределах

руду в непроглядной мгле.

4Далеко от жилья он роет колодец,

в местах, позабытых человеком;

вдали от всех висит он, покачиваясь.

5Земля, которая произращает хлеб,

изнутри изрыта, будто огнём.

6Сапфиров россыпь в её камнях,

и в ней – золотой песок.

7Пути к ним не знает хищная птица,

соколиный глаз их не видел.

8Дикие звери их не топтали,

и лев по ним не ходил.

9Человек на гранит поднимает руку

и с корнем вырывает горы.

10Он прорубает проходы в скалах,

и глаза его видят все их сокровища.

11Он ищет28:11 Или: «останавливает». истоки рек

и сокровенное выносит на свет.

12Но где можно найти мудрость?

Где обитает разум?

13Не знает смертный её дома28:13 Или: «ей цены».;

на земле живых её не найти.

14Пучина скажет: «Во мне её нет»,

и молвит море: «Не у меня она».

15Её не купить за червонное золото,

не отвесить цену её серебром.

16Не купить её ни за золото из Офира,

ни за драгоценный оникс или сапфир.

17Не сравнить её с золотом и кристаллом,

на утварь из чистого золота не обменять.

18А о кораллах и яшме нечего и говорить;

стоит мудрость дороже рубинов.

19Не сравнить с ней топазы из Эфиопии,

не купить её за отменное золото.

20Откуда приходит мудрость?

Где обитает разум?

21Скрыта она от глаз всех живущих

и от птиц небесных утаена.

22Мир мёртвых и царство смерти говорят:

«Мы слышали только слух о ней».

23Только Всевышнему ведом к ней путь,

Он знает её жилище,

24ведь Он озирает края земли

и видит всё, что под небесами.

25Когда Он давал ветру силу

и водам ставил пределы,

26когда Он дождю предписал устав

и путь проложил для молний,

27Он увидел мудрость и восхвалил её,

утвердил её, испытал

28и сказал человеку:

«Воистину, страх перед Владыкой – вот мудрость,

сторониться зла – это разум».

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 28:1-28

Mapumziko: Imani Inakopatikana

128:1 Za 12:6; 66:10; Yer 9:7; Mal 3:3; Dan 11:35“Kuna machimbo ya fedha,

na mahali dhahabu isafishwapo.

228:2 Kum 8:9Chuma hupatikana ardhini,

nayo shaba huyeyushwa kutoka mawe ya madini.

328:3 Mhu 7:25; 8:17; Mit 2:4Mwanadamu hukomesha giza;

huyatafuta hadi sehemu iliyo mbali,

kwa ajili ya kuchimbua mawe yenye madini

katika giza jeusi sana.

428:4 2Sam 5:8Huchimba shimo jembamba mbali na makao ya watu,

mahali paliposahaulika na nyayo za wanadamu;

mbali na wanadamu huningʼinia na kupembea kwa kamba.

528:5 Mwa 1:29; Za 145:15Ardhi, ambako chakula hutoka,

chini hugeuzwa kwa moto;

628:6 Isa 54:11; Wim 5:14; Ay 22:24yakuti samawi hutoka katika miamba yake,

nalo vumbi lake lina vipande vya dhahabu.

728:7 Ay 28:21Hakuna ndege awindaye aijuaye njia ile iliyofichika,

wala hakuna jicho la mwewe lililoiona.

828:8 Ay 41:34; Isa 35:9Wanyama wa porini wanaotamba hawajawahi kupakanyaga,

wala simba azungukaye huko.

928:9 Kum 8:15; Yn 2:6Mikono ya mwanadamu hushambulia miamba migumu sana,

na kuiacha wazi mizizi ya milima.

1028:10 Mit 2:4; Ay 28:4Hutoboa shimo refu la kupenya chini kwa chini kwenye miamba;

macho yake huona hazina zake zote.

1128:11 Mwa 7:11; Isa 48:6; Yer 33:3Hutafuta vyanzo vya mito

na kuvileta vitu vilivyofichika katika nuru.

1228:12 Mit 1:20; Mhu 7:24“Lakini hekima inaweza kupatikana wapi?

Ufahamu unakaa wapi?

1328:13 Mit 3:15; Mt 13:44-46Mwanadamu hatambui thamani yake;

haiwezi kupatikana katika nchi ya walio hai.

14Kilindi husema, ‘Haiko ndani yangu’;

bahari nayo husema, ‘Haiko pamoja nami.’

1528:15 Mit 16:16; Mdo 8:20Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi kuliko zote,

wala thamani yake haiwezi kupimwa kwa fedha.

16Haiwezi kununuliwa kwa dhahabu ya Ofiri,

kwa shohamu ya thamani kubwa au yakuti samawi ya thamani kubwa.

1728:17 Za 119:72; Mit 8:10; Ay 28:15Dhahabu wala mawe maangavu haviwezi kulinganishwa nayo,

wala haiwezi hubadilishwa na vito vya dhahabu.

18Marijani na yaspi hazistahili kutajwa;

thamani ya hekima ni zaidi ya akiki nyekundu.

1928:19 Mit 3:14-15; 8:10-19Yakuti manjano ipatikanayo Kushi haiwezi kulinganishwa nayo,

wala haiwezi kununuliwa kwa dhahabu safi.

20“Ni wapi basi hekima itokako?

Ufahamu hukaa wapi?

2128:21 Ay 28:7Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai,

imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.

2228:22 Ay 26:6Uharibifu na Mauti husema,

‘Ni uvumi wake tu uliotufikia masikioni mwetu.’

2328:23 Mdo 15:18; Ay 22:22; Mit 8:22-31Mungu anaifahamu njia ya kuiendea hekima

na ndiye peke yake anayefahamu inakokaa,

2428:24 Isa 11:12; Yos 3:11; Ebr 4:13; Za 66:7kwa maana yeye huitazama miisho ya dunia

na huona kila kitu chini ya mbingu.

2528:25 Ay 38:8-11; Za 135:7Alipofanyiza nguvu za upepo

na kuyapima maji,

2628:26 Ay 38:25-27; Isa 35:7; Yer 14:22alipofanya maagizo kwa ajili ya mvua

na njia kwa ajili ya umeme wa radi,

27ndipo alipoitazama hekima na kuikadiria thamani yake,

akaithibitisha na kuihakikisha.

2828:28 Kut 20:20; Kum 4:6Naye Mungu akamwambia mwanadamu,

‘Kumcha Bwana: hiyo ndiyo hekima,

nako kujitenga na uovu ndio ufahamu.’ ”