Числа 27 – CARSA & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Числа 27:1-23

Дочери Целофхада

(Чис. 36:1-12)

1У Целофхада, сына Хефера, сына Галаада, сына Махира, сына родоначальника Манассы, сына Юсуфа, было пять дочерей: Махла, Ноа, Хогла, Милка и Тирца. Они пришли 2к входу шатра встречи, предстали перед Мусой, священнослужителем Элеазаром, вождями и всем обществом и сказали:

3– Наш отец умер в пустыне. Он не был среди сторонников Кораха, которые собрались против Вечного. Он умер за свой грех и не оставил сыновей. 4Почему имя нашего отца должно быть забыто его кланом из-за того, что у него не было сыновей? Дай нам надел наравне с братьями отца.

5Муса представил их дело Вечному, 6и Вечный сказал ему:

7– Дочери Целофхада говорят правду. Непременно дай им наследственный надел среди братьев их отца и передай им надел их отца. 8Скажи исраильтянам: «Если человек умрёт и не оставит сына, передавайте его надел дочери. 9Если у него нет дочери, отдавайте надел его братьям. 10Если у него нет братьев, отдавайте его надел братьям его отца. 11Если у его отца не было братьев, отдавайте его надел во владение ближайшему родственнику в его клане. Это будет для исраильтян установленным законом, как повелел Мусе Вечный».

Иешуа – преемник Мусы

12Затем Вечный сказал Мусе:

– Поднимись на эту гору в нагорье Аварим и посмотри на землю, которую Я даю исраильтянам. 13Увидев её, ты также отойдёшь к своему народу, вслед за твоим братом Харуном, 14потому что вы восстали против Моего повеления и не явили Мою святость мятежному народу у вод в пустыне Цин. (Это были воды Меривы-Кадеша, что в пустыне Цин.)27:14 См. 20:1-13.

15Муса сказал Вечному:

16– Пусть Вечный, Бог духов всякой плоти, поставит над народом человека, 17который сможет идти перед ними и вести их, чтобы народ Вечного не уподобился отаре без пастуха.

18Вечный сказал Мусе:

– Возьми Иешуа, сына Нуна, человека, в котором есть Дух, и возложи на него руку. 19Поставь его перед священнослужителем Элеазаром и всем обществом и назначь его своим преемником. 20Передай ему часть своей власти, чтобы народ Исраила слушался его. 21Но пусть он ищет совет у священнослужителя Элеазара, который будет добывать для него решения, вопрошая перед Вечным священный жребий27:21 Букв.: «урим («свет»)». С помощью этого предмета определяли волю Аллаха, но как именно, сегодня не известно.. Его слово будет направлять Иешуа и народ Исраила во всех их делах.

22Муса сделал, как повелел ему Вечный. Он поставил Иешуа перед священнослужителем Элеазаром и обществом, 23возложил на него руки и назначил его своим преемником, как Вечный и повелел Мусе.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Hesabu 27:1-23

Binti Wa Selofehadi

127:1 Hes 26:33; Yos 17:2, 3; Hes 26:30; Mwa 50:23; 1Nya 2:21Binti za Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, walikuwa wa koo za Manase mwana wa Yosefu. Majina ya hao binti yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa. Walikaribia 227:2 Kut 40:2; Hes 9:6; 1:16; 31:13; 32:2; 36:1ingilio la Hema la Kukutania na kusimama mbele ya Mose, kuhani Eleazari, viongozi na kusanyiko lote, wakasema, 327:3 Hes 26:65; 16:2; 26:33“Baba yetu alikufa jangwani. Hakuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora, ambao walifungamana pamoja dhidi ya Bwana, lakini alikufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe na hakuacha wana. 4Kwa nini jina la baba yetu lifutike kutoka ukoo wake kwa sababu hakuwa na mwana? Tupatie milki miongoni mwa ndugu za baba yetu.”

527:5 Mwa 25:22; Kut 18:19; Hes 9:8; Kut 25:22; Law 24:12-13; Mit 3:5-6Kwa hiyo Mose akalileta shauri lao mbele za Bwana, 6naye Bwana akamwambia Mose, 727:7 Ay 42:15; 17:4; Hes 36:2“Wanachosema binti za Selofehadi ni sawa. Ni lazima kwa hakika uwape milki kama urithi miongoni mwa ndugu za baba yao, na kubadili urithi wa baba yao uwe wao.

8“Waambie Waisraeli, ‘Ikiwa mtu atakufa naye hakuacha mwana, utampa binti yake urithi wake. 9Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa kiume urithi wake. 10Ikiwa hana ndugu wa kiume toa urithi wake kwa ndugu za baba yake. 1127:11 Hes 35:29Ikiwa baba yake hakuwa na ndugu wa kiume, toa urithi wake kwa ndugu wa karibu katika ukoo wake, ili aumiliki. Hili litakuwa dai la sheria kwa Waisraeli, kama Bwana alivyomwamuru Mose.’ ”

Yoshua Kuchukua Nafasi Ya Mose

(Kumbukumbu 31:1-8)

1227:12 Hes 23:14; 33:47; Yer 22:20; Kum 3:23; 32:48-52; Law 14:34Kisha Bwana akamwambia Mose, “Panda juu ya mlima huu katika kilele cha Abarimu uione nchi ambayo nimewapa Waisraeli. 1327:13 Hes 20:12; 31:2; Kum 4:22; 31:14; 32:50; 1Fal 2:1; Hes 20:28Baada ya kuiona, wewe pia utakusanywa pamoja na watu wako kama ndugu yako Aroni alivyokusanywa, 1427:14 Hes 20:1; 20:12; Kut 17:7; Kum 1:37; 32:51; Za 106:32kwa kuwa jumuiya ilipoasi amri yangu kwenye maji katika Jangwa la Sini, wakati jumuiya ilipogombana nami, nyote wawili mliacha kuitii amri yangu ya kuniheshimu kama mtakatifu mbele ya macho yao.” (Haya yalikuwa maji ya Meriba huko Kadeshi, katika Jangwa la Sini.)

15Mose akamwambia Bwana, 1627:16 Hes 16:22; Ay 21:10; Ebr 12:9; Zek 12:1Bwana, Mungu wa roho zote za wanadamu, na amteue mtu juu ya jumuiya hii 1727:17 1Fal 22:17; 2Nya 18:16; Eze 34:5; Zek 10:2; Mt 9:36; Kum 31:2; 1Sam 8:20; 18:13; 2Nya 1:10; 18:16; Amu 3:10ili atoke na kuingia mbele yao, atakayewaongoza katika kutoka kwao na kuingia kwao, ili watu wa Bwana wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”

1827:18 Mwa 41:38; Hes 11:25; Kum 34:9; Mdo 6:6; Amu 3:10Kwa hiyo Bwana akamwambia Mose, “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yuko ndani yake, uweke mkono juu yake. 1927:19 Kum 3:28; 31:14; 31:7Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao. 2027:20 Ay 1:16; Hes 11:17; 1Sam 10:6; 2Fal 2:15Mpe sehemu ya mamlaka yako ili jumuiya yote ya Waisraeli ipate kumtii. 2127:21 Mwa 25:22; Ay 9:14; Za 106:13; Isa 8:19; 1:13; Mal 2:7; 3:1; Kut 28:30; Yos 9:14; Amu 1:1; 20:18; Law 8:8; Kum 33:8; 1Sam 28:6Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atapokea maamuzi kwa ajili yake, kwa kuuliza mbele za Bwana kwa ile Urimu.27:21 Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha. Kwa amri yake, yeye na jumuiya yote ya Waisraeli watatoka, na kwa amri yake, wataingia.”

22Mose akafanya kama Bwana alivyomwagiza. Akamtwaa Yoshua na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na kusanyiko lote. 2327:23 Kum 3:28; Isa 55:4Kisha akaweka mikono yake juu ya kichwa cha Yoshua na kumpa maagizo, kama vile Bwana alivyoelekeza kupitia kwa Mose.