Песнь 60
1Дирижёру хора. На струнных инструментах. Песнь Давуда.
2Аллах, услышь мой крик,
внемли молитве моей!
3С края земли я к Тебе взываю;
сердце моё в унынии.
Возведи меня на скалу, которая мне недоступна,
4ведь Ты – прибежище моё,
крепкая башня от врага.
5Да живу я вечно в храме Твоём
и под кровом крыльев Твоих покоюсь. Пауза
6Аллах, Ты услышал мои обеты;
Ты дал мне наследие тех, кто боится Твоего имени.
7Умножь дни жизни царя,
продли его годы из поколения в поколение.
8Да восседает он вечно перед Аллахом;
сохрани его Своей милостью и истиной.
9И буду я Твоё имя воспевать всегда,
день за днём исполняя мои обеты.
Zaburi 60
Kuomba Kuokolewa
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.
160:1 2Sam 5:20; Za 18:7; 44:9; 79:5; 80:3; 60:2; 2Nya 7:14Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,
umekasirika: sasa turejeshe upya!
2Umetetemesha nchi na kuipasua;
uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
360:3 Za 71:20; 75:8; Isa 29:9; 51:17; 63:6; Yer 25:16; Zek 12:2; Ufu 14:10Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;
umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
460:4 Isa 5:26; 11:10, 12; 18:3Kwa wale wanaokucha wewe,
umewainulia bendera,
ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
560:5 Ay 40:14; Kum 33:12; Za 108:6Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,
ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
660:6 Mwa 12:6; 33:17; Za 89:35; Yos 13:27Mungu amenena kutoka patakatifu pake:
“Nitaigawa Shekemu kwa ushindi
na kulipima Bonde la Sukothi.
760:7 Yos 13:31; Hes 34:19; Mwa 41:52; 49:10; Kum 33:17Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;
Efraimu ni kofia yangu ya chuma,
nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
860:8 2Sam 8:1Moabu ni sinia langu la kunawia,
juu ya Edomu natupa kiatu changu;
nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
9Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?
Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
1060:10 Yos 7:12; Za 44:9Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,
na hutoki tena na majeshi yetu?
1160:11 Za 146:3; Mit 3:5Tuletee msaada dhidi ya adui,
kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
1260:12 1Nya 19:13; Ay 40:12; Za 44:5Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,
naye atawaponda adui zetu.