Забур 25 – CARSA & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Забур 25:1-12

Песнь 25

Песнь Давуда.

1Вечный, оправдай меня,

ведь я жил непорочной жизнью.

Я уповал на Вечного,

не колеблясь.

2Проверь меня, Вечный, испытай меня,

исследуй сердце моё и разум.

3Ведь Твоя милость всегда предо мной;

я всегда пребываю в Твоей истине.

4Я не сижу с людьми лживыми

и с коварными не хожу.

5Я ненавижу сборище грешников

и с нечестивыми не сажусь.

6Буду омывать свои руки в невинности

и кругом обходить Твой жертвенник, о Вечный,

7вознося Тебе хвалу

и говоря о всех чудесах Твоих.

8Вечный, я люблю дом, в котором Ты обитаешь,

место, где слава Твоя живёт.

9Не погуби души моей с грешными,

жизни моей с кровожадными,

10которые творят злодеяния,

чьи правые руки полны взяток.

11А я живу беспорочно.

Избавь меня и помилуй!

12Ноги мои стоят на ровной земле;

в большом собрании восхвалю я Вечного.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 25:1-22

Zaburi 2525 Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.

Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi

Zaburi ya Daudi.

125:1 Za 86:4; 143:8Kwako wewe, Ee Bwana,

nainua nafsi yangu,

225:2 Za 31:6; 143:8ni wewe ninayekutumainia,

Ee Mungu wangu.

Usiniache niaibike,

wala usiache adui zangu wakanishinda.

325:3 Za 22:5; 2Tim 3:4; Isa 29:22; 24:16; Hab 1:13; Sef 3:4Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea

atakayeaibishwa,

bali wataaibishwa

wafanyao hila bila sababu.

425:4 Ay 34:32Nionyeshe njia zako, Ee Bwana,

nifundishe mapito yako,

525:5 Za 31:3; 43:3; Yn 16:13niongoze katika kweli yako na kunifundisha,

kwa maana wewe ni Mungu Mwokozi wangu,

nalo tumaini langu liko kwako wakati wote.

625:6 Za 5:7; 98:3; Isa 63:7, 15; Yer 31:20; Hos 11:8Kumbuka, Ee Bwana, rehema zako kuu na upendo,

kwa maana zimekuwepo tangu zamani.

725:7 Ay 13:26; Isa 54:4; Yer 3:25; 31:19; 32:30; 2Tim 2:22; Eze 16:22, 60; 23:3; Za 34:8; 83:1; 107:17; 6:4; 51:1; 69:16; 109:26; 119:124; Kut 3:21; 1Nya 16:34Usizikumbuke dhambi za ujana wangu

wala njia zangu za uasi,

sawasawa na upendo wako unikumbuke,

kwa maana wewe ni mwema, Ee Bwana.

825:8 Za 32:8; 92:15; Isa 26:7; 28:26Bwana ni mwema na mwenye adili,

kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.

925:9 Za 23:3, 4; 18:25; 103:18; 132:12Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,

naye huwafundisha njia yake.

1025:10 Za 18:25; 103:18; 132:12Njia zote za Bwana ni za upendo na uaminifu

kwa wale wanaoshika shuhuda za agano lake.

1125:11 Kut 9:16; Za 31:3; 79:9; 34:9; Kut 32:30; Za 78:38; Yer 14:7Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako,

unisamehe uovu wangu, ijapokuwa ni mwingi.

1225:12 Ay 1:8Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana?

Atamfundisha katika njia

atakayoichagua kwa ajili yake.

1325:13 Kum 30:15; Mt 5:5; Ay 8:7; 1Fal 3:14; Hes 14:24Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake,

nao wazao wake watairithi nchi.

1425:14 Mit 3:32; Yn 7:17; Mwa 17:2Siri ya Bwana iko kwa wale wamchao,

yeye huwajulisha agano lake.

1525:15 2Nya 20:12; Za 119:110; 123:2; Ebr 12:2; Ay 34:30Macho yangu humwelekea Bwana daima,

kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa

miguu yangu kutoka mtego.

1625:16 Hes 6:25; Za 6:4; 68:6Nigeukie na unihurumie,

kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.

1725:17 1Fal 1:29; Za 6:3; 39:2; 34:6, 17; 40:12; 54:7; 116:3Shida za moyo wangu zimeongezeka,

niokoe katika dhiki yangu.

1825:18 Za 13:3; Rum 12:12; 2Sam 16:12Uangalie mateso na shida zangu

na uniondolee dhambi zangu zote.

1925:19 Za 3:1; 9:13; 69:4; 35:19Tazama adui zangu walivyo wengi,

pia uone jinsi wanavyonichukia vikali!

2025:20 Za 2:12; 86:2; 17:13; 22:21; 43:1; 71:2; 116:4; 140:1; 142:6; 144:11Uyalinde maisha yangu na uniokoe,

usiniache niaibike,

kwa maana nimekukimbilia wewe.

2125:21 Mwa 20:5; Mal 2:6; Mit 10:9; 1Fal 9:4; Za 88:10; 111:8; Isa 60:17Uadilifu na uaminifu vinilinde,

kwa sababu tumaini langu ni kwako.

2225:22 Za 103:8; Lk 24:21Ee Mungu, wakomboe Israeli,

katika shida zao zote!