Забур 19 – CARSA & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Забур 19:1-10

Песнь 19

1Дирижёру хора. Песнь Давуда.

2Да ответит Вечный тебе в день печали;

да хранит тебя имя Бога Якуба.

3Да пошлёт Он помощь тебе из святилища

и поддержит тебя с Сиона.

4Да вспомнит Он все жертвы твои

и всесожжения твои примет. Пауза

5Да даст Он тебе то, чего ты желаешь,

и исполнит все твои намерения.

6Мы будем кричать от радости о твоей победе

и поднимем знамёна во имя нашего Бога.

Да исполнит Вечный все твои просьбы.

7Теперь я знаю: Вечный спасает Своего помазанника,

отвечает ему со святых небес Своих

спасающей силой Своей правой руки.

8Кто хвалится колесницами, а кто конями,

мы же хвалимся именем Вечного, нашего Бога.

9Они ослабели и падают,

а мы поднимаемся и стоим твёрдо.

10Вечный, даруй царю победу!

Ответь нам19:10 Или: «…даруй победу! Царь, ответь нам»., когда мы взываем!

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 19:1-14

Zaburi 19

Utukufu Wa Mungu Katika Uumbaji

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

119:1 Isa 6:3; 40:22; Za 4:2; 97:6; 89:5; 50:6; 8:1, 6; 148:3; 103:22; Rum 1:19; Mwa 1:8Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu,

anga zahubiri kazi ya mikono yake.

219:2 Za 74:16Siku baada ya siku zinatoa habari,

usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.

3Hakuna msemo wala lugha,

ambapo sauti zao hazisikiki.

419:4 Rum 10:18; Za 104:2; Ay 36:29; Amu 5:31Sauti yao imeenea duniani pote,

nayo maneno yao yameenea

hadi miisho ya ulimwengu.

Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,

519:5 1Sam 17:4; Mhu 11:7; Yoe 2:16; Ay 36:29linafanana na bwana arusi

akitoka chumbani mwake,

kama shujaa afurahiavyo

kukamilisha kushindana kwake.

619:6 Kum 30:4; Za 11:3; Mhu 1:5Huchomoza upande mmoja wa mbingu,

na kufanya mzunguko wake

hadi upande mwingine.

Hakuna kilichojificha joto lake.

719:7 Yak 1:25; Kum 4:6; Za 1:2; 23:3; 93:5; 119:130, 138, 142, 144; 11:7Sheria ya Bwana ni kamilifu,

ikihuisha nafsi.

Shuhuda za Bwana ni za kuaminika,

zikimpa mjinga hekima.

819:8 Za 33:4; 38:10; 119:14, 128; Ezr 9:7; Neh 9:13; Rum 7:12Maagizo ya Bwana ni kamili,

nayo hufurahisha moyo.

Amri za Bwana huangaza,

zatia nuru machoni.

919:9 Mhu 12:13; Isa 33:6; Za 34:11; 111:10; 119:138; Mit 1:7Kumcha Bwana ni utakatifu,

nako kwadumu milele.

Amri za Bwana ni za hakika,

nazo zina haki.

1019:10 Ay 22:24; Eze 3:3; Mit 8:10; 1Sam 14:27; Za 119:72, 103Ni za thamani kuliko dhahabu,

kuliko dhahabu iliyo safi sana,

ni tamu kuliko asali,

kuliko asali kutoka kwenye sega.

1119:11 Mit 6:22Kwa hizo mtumishi wako anaonywa,

katika kuzishika kuna thawabu kubwa.

1219:12 Za 51:2; 90:8; Mhu 12:14Ni nani awezaye kutambua makosa yake?

Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.

1319:13 Hes 15:30; Mwa 6:9; Za 18:32; 119:133Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi,

nazo zisinitawale.

Ndipo nitakapokuwa sina lawama,

wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.

1419:14 Za 104:34; 18:31; Kut 6:6; Isa 44:6; Ay 19:25Maneno ya kinywa changu

na mawazo ya moyo wangu,

yapate kibali mbele zako, Ee Bwana,

Mwamba wangu na Mkombozi wangu.