Езекиил 47 – CARSA & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Езекиил 47:1-23

Река, текущая из храма

1Затем провожатый привёл меня обратно к входу в храм, и я увидел воду, текущую из-под храмового порога к востоку (фасад храма был обращён на восток). Вода текла из-под южной части храма, южнее жертвенника. 2Он вывел меня через северные ворота и провёл меня снаружи к внешним воротам, что смотрят на восток, а вода текла с южной стороны.

3Затем он пошёл на восток с измерительной верёвкой в руках и отмерил пятьсот метров47:3 Букв.: «тысяча локтей»; также в ст. 4-5., а потом перевёл меня через воду, которая была мне по лодыжки. 4Отмерив ещё пятьсот метров, он перевёл меня через воду, которая была мне по колено. Отмерив ещё пятьсот метров, он перевёл меня через воду, которая была мне по пояс. 5Он отмерил ещё пятьсот метров, но теперь это была река, которую я не мог перейти, потому что вода поднялась так высоко, что нужно было плыть; вброд эту реку не перейти.

6Он спросил меня:

– Смертный, видишь это?

Он привёл меня назад на берег. 7Придя туда, я увидел великое множество деревьев на обоих берегах.

8Он сказал мне:

– Эта вода течёт к восточным землям и нисходит в Иорданскую долину, где впадает в Мёртвое море. Она впадает в море, и морская вода становится пресной. 9Там, где течёт река, будет кишеть всякая живность. Там будет много рыбы, потому что воды реки делают солёную воду пресной: где течёт река, там будет жизнь. 10На побережье появятся рыбаки. От Ен-Геди до Ен-Эглаима будут места для закидывания сетей. Там будет обитать великое множество всевозможных видов рыб, как и в Средиземном море47:10 Букв.: «в Великом море»; также в ст. 15, 19, 20 и 48:28.. 11Но болота и лужи не станут пресными. Они останутся источниками соли. 12На обоих берегах реки будут расти плодовые деревья разных видов. Листья на них не будут вянуть, а плоды – падать. Каждый месяц они будут плодоносить, ведь к ним течёт вода из святилища. Их плоды будут пригодны в пищу, а листья будут целебными.

Новые границы страны

13Так говорит Владыка Вечный:

– Вот границы, по которым вы разделите землю в наследие двенадцати родам Исраила. Юсуф получит двойную часть. 14Разделите её между родами поровну. Так как Я поклялся с поднятой рукой отдать её вашим предкам, эта земля будет вашей.

15Вот границы страны:

На севере она протянется от Средиземного моря по Хетлонской дороге мимо Лево-Хамата47:15 Или: «перевала в Хамат»; также в ст. 20 и 48:1. к Цедаду, 16Бероте и Сивраиму47:15-16 Или: «по Хетлонской дороге в Цедад, Хамат, 16 Бероту и Сивраим». (он лежит на границе между Дамаском и Хаматом) до самого Хацер-Тихона, что на границе с Хаураном. 17Граница протянется от моря к Хацар-Енану, по северной границе Дамаска, с границей Хамата к северу. Такова северная граница.

18На востоке граница протянется между Хаураном и Дамаском, по Иордану между Галаадом и землёй Исраила, к Мёртвому морю47:18 Букв.: «к восточному морю». и до самого Тамара47:18 Или: «…Исраила. Вы будете мерить до Мёртвого моря».. Такова восточная граница.

19На юге она протянется от Тамара до самых вод Меривы-Кадеша, а оттуда по руслу речки на границе Египта к Средиземному морю. Такова южная граница.

20На западе Средиземное море будет границей до места напротив Лево-Хамата. Такова западная граница.

21– Разделите землю между собой по родам Исраила. 22Определите наделы себе и чужеземцам, которые поселились у вас и имеют детей. Относитесь к ним как к уроженцам Исраила: пусть им выделят в наследие наделы среди родов Исраила наравне с вами. 23В каком бы роду чужеземец ни поселился, там и дайте ему наследие, – возвещает Владыка Вечный.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 47:1-23

Mto Kutoka Hekaluni

147:1 Za 46:4; Ufu 22:1; Yoe 3:18; Isa 55:1Yule mtu akanirudisha mpaka kwenye ingilio la Hekalu, nami nikaona maji yakitoka chini ya kizingiti cha Hekalu yakitiririkia upande wa mashariki (kwa maana upande wa mbele wa Hekalu ulielekea mashariki). Maji yalikuwa yakitoka chini upande wa kusini wa Hekalu, kusini mwa madhabahu. 247:2 Eze 40:35Ndipo akanitoa nje kupitia lango la kaskazini na kunizungusha mpaka kwenye lango la nje linaloelekea mashariki, nayo maji yalikuwa yakitiririka kutoka upande wa kusini.

347:3 Eze 40:3; Ufu 11:1Mtu yule alipokwenda upande wa mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake, akapima dhiraa 1,00047:3 Dhiraa 1,000 ni sawa na mita 450. kisha akanipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kwenye vifundo vya miguu. 4Akapima dhiraa 1,000 nyingine na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika magotini. Akapima dhiraa nyingine 1,000 na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kiunoni. 547:5 Isa 11:9; Hab 2:14; Mwa 2:10Akapima tena dhiraa 1,000 nyingine, lakini wakati huu yalikuwa mto ambao sikuweza kuvuka, kwa kuwa maji yalikuwa na kina kirefu ambacho ni cha kuogelea, mto ambao hakuna mtu yeyote ambaye angeweza kuvuka. 647:6 Ufu 22:2; Isa 41:19Akaniuliza, “Je, mwanadamu, unaona hili?”

Kisha akanirudisha mpaka kwenye ukingo wa huo mto. 747:7 Eze 47:12; Ufu 22:2; Za 1:3; 92:12Nilipofika pale, nikaona idadi kubwa ya miti kila upande wa ule mto.

847:8 Ufu 17:15; Yos 3:16; Isa 41:18; Kum 3:17Akaniambia, “Haya maji yanatiririka kuelekea nchi ya mashariki na kushuka mpaka Araba,47:8 Araba hapa ina maana ya Bonde la Yordani. ambapo huingia Baharini. Yanapomwagikia kwenye hiyo Bahari,47:8 Bahari hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi. maji yaliyoko humo huponywa na kuwa safi. 947:9 Isa 12:3; Yn 4:14; 1Kor 15:45; Yn 7:37-38Popote mto huu uendapo kila kiumbe hai kinachoyaparamia hayo maji kitaishi, nako kutakuwa na samaki wengi mno, mara maji haya yafikapo huko. Maji hayo yatakuwa hai na kila kitu kitakachoishi kule mto uendako. 1047:10 Isa 19:8; Mt 4:19; Yos 15:62; Eze 26:5; Mt 13:47; Hes 34:6Wavuvi watasimama kando ya bahari, kuanzia En-Gedi hadi En-Eglaimu huko patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki. Samaki watakuwa wa aina nyingi, kama samaki wa Bahari Kuu47:10 Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania. 1147:11 Kum 29:23Lakini madimbwi yake na mabwawa yake hayatakuwa na maji yanayofaa kunywa, bali yatabakia kuwa maji ya chumvi. 1247:12 Mwa 2:9; Ufu 22:2; Yer 17:8; Ay 18:6; Eze 36:8Miti ya matunda ya kila aina itaota kwenye kingo zote mbili za mto huu. Majani yake hayatanyauka wala haitaacha kuwa na matunda katika matawi yake. Kila mwezi kutakuwa na matunda, kwa sababu maji yatokayo patakatifu yanaitiririkia. Matunda yake yatakuwa chakula na majani yake yatakuwa dawa.”

Mipaka Mipya Ya Nchi

1347:13 Hes 34:2-12; Yer 3:18; Mwa 48:5-16; 49:26Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “Hii ndiyo mipaka ambayo kwayo mtagawanya hiyo nchi kuwa urithi miongoni mwa hayo makabila kumi na mawili ya Israeli, pamoja na mafungu mawili ya Yosefu. 1447:14 Kum 1:8; Mwa 12:7; Eze 36:12Mtagawa kwa usawa miongoni mwao. Kwa sababu niliapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu, nchi hii itakuwa urithi wenu.

1547:15 Eze 48:1; Hes 34:2-8“Huu ndio utakuwa mpaka wa hiyo nchi:

“Upande wa kaskazini utaanzia Bahari Kuu kwa njia ya Hethloni kupitia Lebo-Hamathi hadi maingilio ya Sedadi. 1647:16 2Sam 8:8; Hes 13:21; Yer 49:23; Amo 6:2Berotha na Sibraimu (ambao uko kwenye mpaka kati ya Dameski na Hamathi), hadi kufikia Haser-Hatikoni, ambao uko katika mpaka wa Haurani. 1747:17 Hes 34:9; Eze 48:1Hivyo mpaka utaendelea kuanzia Baharini hadi Hasar-Enoni, ukiambaa na mpaka wa kaskazini wa Dameski, pamoja na mpaka wa Hamathi upande wa kaskazini. Huu utakuwa ndio mpaka wa kaskazini.

1847:18 Eze 27:18Upande wa mashariki mpaka utapita kati ya Haurani na Dameski, kuambaa Yordani na kati ya Gileadi na nchi ya Israeli, hadi bahari ya mashariki47:18 Bahari ya mashariki hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi. na kufika Tamari. Huu utakuwa ndio mpaka wa mashariki.

1947:19 Mwa 15:18; Kum 32:51; Isa 27:12; Eze 48:28Upande wa kusini utaanzia Tamari hadi kufikia maji ya Meriba-Kadeshi, kisha utaambaa na Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu. Huu utakuwa ndio mpaka wa kusini.

2047:20 Hes 13:21; 34:6; Eze 48:1Upande wa magharibi, Bahari Kuu itakuwa ndio mpaka hadi kwenye sehemu mkabala na Lebo-Hamathi. Huu utakuwa ndio mpaka wa magharibi.

2147:21 Kum 24:19; Efe 2:19-22; Rum 10:12; Law 24:22; Mal 3:5; Efe 3:6; Isa 56:6-7“Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu kufuatana na makabila ya Israeli. 2247:22 Mdo 2:5; Efe 2:19-22; Rum 10:12; Efe 3:6; Ufu 7:9-10; Gal 3:28; Kol 3:11Mtaigawanya kuwa urithi kwa ajili yenu na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwenu na ambao wana watoto. Wao watakuwa kwenu kama wenyeji wazawa wa Israeli, pamoja na ninyi watagawiwa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli. 2347:23 Kum 10:19Katika kabila lolote mgeni atakapoishi hapo ndipo mtakapompatia urithi wake,” asema Bwana Mwenyezi.