Езекиил 40 – CARSA & NEN

Священное Писание (Восточный перевод), версия с «Аллахом»

Езекиил 40:1-49

Видение нового храма

1В десятый день месяца, в двадцать пятом году нашего изгнания, в начале года, в четырнадцатом году после падения нашего города (28 апреля 573 г. до н. э.), – в тот день рука Вечного была на мне, и Он перенёс меня в Исраил. 2В видениях Аллах перенёс меня в землю Исраила и поставил на очень высокой горе, на южном склоне которой располагался ряд зданий, похожий на город. 3Он привёл меня туда, и я увидел человека, который выглядел так, словно был из бронзы. Он стоял в воротах с льняной верёвкой и тростью для измерения в руках. 4Он сказал мне:

– Смертный, внимательно смотри и слушай. Будь внимателен к тому, что я покажу тебе, потому что для этого тебя сюда и привели. Расскажи народу Исраила обо всём, что увидишь.

Восточные ворота во внешний двор

5Я увидел стену, окружавшую территорию храма. Измерительная трость в руках у того человека была длиной три метра40:5 Букв.: «шесть долгих локтей (простой локоть с ладонью в каждом)».. Он измерил стену; она была в одну трость толщиной и в одну высотой.

6Потом он пошёл к воротам, которые смотрят на восток. Он поднялся к ним по ступеням и измерил порог; он равнялся трём метрам40:6 Букв.: «одной трости»; также в ст. 7. в ширину, так же как и второй порог. 7Ниши для стражи, сделанные в стенах пассажа, равнялись трём метрам в длину и трём в ширину; между нишами были стены в два с половиной метра40:7 Букв.: «пять локтей». толщиной. Порог с внутренней стороны пассажа, за которым начинался притвор, был три метра в ширину.

8Он измерил притвор у ворот; 9тот равнялся четырём метрам в ширину, а его опоры были по одному метру40:9 Букв.: «восьми… два локтя». в толщину. Притвор прилегал к воротам со стороны храма.

10В пассаже восточных ворот с каждой стороны располагалось по три ниши для стражи; все три были одного размера, и расстояние между ними было одинаковым. 11Он измерил проём ворот; тот равнялся пяти метрам в ширину и шести с половиной метрам40:11 Букв.: «десяти… тринадцати локтям». в длину. 12Перед каждой нишей для стражи была загородка в полметра высотой, а сами ниши были по три метра40:12 Букв.: «один… шесть локтей». с каждой стороны. 13Он измерил ширину пассажа от задней стенки одной ниши до задней стенки другой; ширина составляла двенадцать с половиной метров40:13 Букв.: «двадцать пять локтей». от стены до стены40:13 Букв.: «проём напротив проёма».. 14Он измерил40:14 Букв.: «сделал». стены между нишами по всей длине пассажа до притвора перед двором40:14 Или: «до опоры двора». – получилось тридцать метров40:14 Букв.: «шестьдесят локтей».. 15Расстояние от проёма ворот до дальнего конца притвора было двадцать пять метров40:15 Букв.: «пятьдесят локтей».. 16Во внешних стенах ниш для стражи, в стенах между ними и в самом притворе со всех сторон были окна со ставнями. Стены между нишами, которые выходили в пассаж, были украшены изображениями пальм.

Внешний двор

17Он привёл меня во внешний двор. Здесь были комнаты и каменный помост, окружавший двор. На помосте располагалось тридцать комнат. 18Он примыкал к воротам с обеих сторон; его ширина была равна длине ворот. Весь внешний двор был ниже, чем внутренний. 19Затем он измерил расстояние между выходом во внешний двор и входом во внутренний; оно равнялось пятидесяти метрам40:19 Букв.: «сто локтей»; также в ст. 23, 27 и 47..

Северные ворота

20Он измерил длину и ширину ворот на северной стороне, которые вели во внешний двор. 21Их ниши для стражи, по три с каждой стороны, стены между ними и притвор были такими же, как у первых ворот. Их пассаж равнялся двадцати пяти метрам в длину и двенадцати с половиной метрам40:21 Букв.: «пятьдесят… двадцать пять»; также в ст. 25, 29, 33 и 36. в ширину. 22Их окна, притвор и изображения пальм были такими же, как у ворот на восточной стороне. К ним вели семь ступеней, а за ними находился притвор. 23Напротив северных ворот, как и напротив восточных, располагались ворота, которые вели во внутренний двор. Он измерил расстояние от одних ворот до противоположных; оно составляло пятьдесят метров.

Южные ворота

24Он повёл меня к южной стороне, и я увидел южные ворота. Он измерил их опоры и притвор; они были такими же, как и прочие. 25В пассаже ворот и в притворе со всех сторон были такие же окна, как и в других воротах. Пассаж был длиной в двадцать пять метров и шириной в двенадцать с половиной метров. 26К нему вели семь ступеней, а за ним был притвор. Стены пассажа были украшены изображениями пальм. 27С южной стороны внутреннего двора тоже были ворота, и он измерил расстояние от них до внешних ворот на южной стороне; оно равнялось пятидесяти метрам.

Ворота во внутренний двор

28Он провёл меня во внутренний двор через южные ворота и измерил их; они были такими же, как и прочие. 29Их ниши для стражи, стены между ними и притвор были такими же, как и прочие. В пассаже и притворе со всех сторон были окна. Пассаж был двадцать пять метров в длину и двенадцать с половиной метров в ширину. 30Притворы у пассажей ворот во внутренний двор равнялись двенадцати с половиной метрам в ширину и двум с половиной метрам40:30 Букв.: «двадцать пять… пять локтей». в длину. 31Притвор этих ворот выходил во внешний двор. Изображения пальм украшали стены пассажа. К нему вели восемь ступеней.

32Затем он провёл меня во внутренний двор через пассаж восточных ворот и измерил его; он был таким же, как и прочие. 33Его ниши для стражи, стены между ними и притвор были такими же, как и прочие. В пассаже и в притворе со всех сторон были окна. Пассаж имел двадцать пять метров в длину и двенадцать с половиной метров в ширину. 34Его притвор выходил во внешний двор, а стены были украшены изображениями пальм. К нему вели восемь ступеней.

35Потом он привёл меня к северным воротам и измерил их. Они были такими же, как остальные. 36Такими же были их ниши для стражи, стены между ними, притвор и окна вокруг. Их пассаж был двадцать пять метров в длину и двенадцать с половиной метров в ширину. 37Их притвор выходил40:37 Или: «Их опоры выходили». во внешний двор, а стены были украшены изображениями пальм. К нему вели восемь ступеней.

Комнаты внутреннего двора

38Была также комната с дверью, выходящей в притвор у ворот, в которой мыли жертвы для всесожжения. 39В притворе у ворот с двух сторон стояли два стола, на которых закалывали жертвы всесожжения, жертвы за грех и жертвы повинности. 40У внешнего входа в северные ворота, по бокам ступеней, стояло по два стола. 41Так на одной стороне пассажа ворот было четыре стола и на другой стороне – четыре: всего восемь столов, на которых закалывали жертвы. 42Ещё стояли четыре стола из тёсаного камня для жертв всесожжения: каждый по семьдесят пять сантиметров в длину, семьдесят пять в ширину и полметра40:42 Букв.: «полтора… полтора… один локоть». в высоту. На них клали орудия, чтобы закалывать жертвы для всесожжения и прочие жертвы. 43К стенам вокруг были приделаны двузубые крюки, каждый по восемь сантиметров40:43 Букв.: «в одну ладонь». в длину, а на столы клали жертвенное мясо.

44За внутренними воротами, во внутреннем дворе, были две комнаты40:44 Или: «были комнаты для певцов».: одна находилась у северных ворот и смотрела на юг, другая была у южных и смотрела на север. 45И он сказал мне:

– Комната, что смотрит на юг, предназначена для священнослужителей, которые служат при храме, 46а комната, что смотрит на север, – для священнослужителей, которые служат у жертвенника. Все они потомки Цадока40:46 Цадок был священнослужителем при царях Давуде и Сулеймане и отличался своей верностью (см. 2 Цар. 8:17; 15:24-29; 3 Цар. 1:8; 2:35)., единственные из левитов, которым дозволено приближаться к Вечному, чтобы служить Ему.

47Он измерил двор, который был квадратным: пятьдесят метров в длину и пятьдесят в ширину. Жертвенник был перед храмом.

Храм

48Он привёл меня в храмовый притвор и измерил его опоры; они были в толщину по два с половиной метра и в ширину по полтора метра. Ширина входа равнялась семи метрам40:48 Букв.: «пять… три… четырнадцать локтей».. 49Притвор был десять метров в ширину и шесть метров40:49 Букв.: «двадцать… двенадцать локтей». в глубину. К нему вели десять ступеней, и с каждой стороны перед опорами стояло по одной колонне.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 40:1-49

Eneo La Hekalu Jipya

140:1 2Fal 25:7; Yer 52:4-11; Eze 29:17; Yer 39:1-10Katika mwaka wa ishirini na tano wa uhamisho wetu, mwanzoni mwa huo mwaka, siku ya kumi ya mwezi, katika mwaka wa kumi na nne baada ya kuanguka kwa mji, siku hiyo hiyo mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanipeleka huko. 240:2 Kut 24:10; Dan 7:7; Yer 31:12; Ufu 21:10Nikiwa katika maono ya Mungu alinichukua mpaka nchi ya Israeli, naye akaniweka kwenye mlima mrefu sana, ambako upande wa kusini kulikuwepo baadhi ya majengo ambayo yalionekana kama mji. 340:3 Dan 10:6; Ufu 1:15; Zek 2:1-2; Ufu 11:1; Eze 47:3Akanipeleka huko, nami nikamwona mtu ambaye kuonekana kwake kulikuwa kama kuonekana kwa shaba. Alikuwa amesimama kwenye lango akiwa na kamba ya kitani na ufito wa kupimia mkononi mwake. 440:4 Yer 26:1; Eze 44:5; Kum 6:6Mtu huyo akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa macho yako na usikie kwa masikio yako nawe uzingatie kitu nitakachokuonyesha, kwa kuwa ndiyo sababu umeletwa hapa. Iambie nyumba ya Israeli kila kitu utakachoona.”

Lango La Mashariki Kuelekea Ukumbi Wa Nje

540:5 Isa 26:1; Eze 42:20Nikaona ukuta uliozunguka eneo lote la Hekalu. Ule ufito wa kupimia uliokuwa mkononi mwa yule mtu ulikuwa na urefu wa dhiraa ndefu sita,40:5 Dhiraa ndefu 6 ni sawa na mita 3.18. yaani, dhiraa ndefu ni sawa na dhiraa na nyanda nne, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na unene wa dhiraa ndefu sita na kimo cha dhiraa ndefu sita.

640:6 Eze 8:16Kisha akaenda kwenye lango linaloelekea mashariki. Akapanda ngazi zake akapima kizingiti cha lango, nacho kilikuwa na kina cha huo ufito. 7Vyumba vya kupumzikia vya walinzi vilikuwa na urefu wa huo ufito mmoja na upana wa huo ufito, kuta zilizogawa vyumba hivyo vya mapumziko zilikuwa na unene wa dhiraa tano.40:7 Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25. Nacho kizingiti cha lango lililokuwa karibu na ukumbi unaoelekea hekaluni ulikuwa na kina cha huo ufito.

8Kisha akapima baraza ya njia ya lango, 9ambayo ilikuwa na kina cha dhiraa nane40:9 Dhiraa 8 ni sawa na mita 3.6. na miimo yake ilikuwa na unene wa dhiraa mbili.40:9 Dhiraa 2 ni sawa na sentimita 90. Baraza ya lango ilielekea Hekalu.

10Ndani ya lango la mashariki kulikuwepo vyumba vitatu vya kupumzikia kila upande, vyote vitatu vilikuwa na vipimo vilivyo sawa, nazo nyuso za kuta zilizotenganisha kila upande zilikuwa na vipimo vilivyo sawa. 11Kisha akapima upana wa ingilio la lango, ilikuwa dhiraa kumi na urefu wake ulikuwa dhiraa kumi na tatu. 12Mbele ya kila chumba cha kupumzikia kulikuwepo ukuta uliokuwa na kimo cha dhiraa moja40:12 Dhiraa 1 ni sawa na sentimita 45. kwenda juu, navyo hivyo vyumba vilikuwa dhiraa sita mraba. 13Kisha akapima njia ya lango kuanzia juu ya ukuta wa nyuma wa chumba kimoja cha kupumzikia hadi juu ya ukuta wa nyuma wa chumba upande wa pili; kukawa na nafasi ya dhiraa ishirini na tano kuanzia lango la ukuta mmoja hadi lango la ukuta uliokuwa upande mwingine. 1440:14 Kut 27:9; Isa 62:9Akapima pia ukumbi, urefu wa dhiraa ishirini40:14 Dhiraa 20 ni sawa na mita 9. na lango linalofuatia hiyo nguzo kila upande wa huo ukumbi. 15Umbali kuanzia ingilio la njia ya lango hadi mwisho kabisa wa baraza yake ulikuwa dhiraa hamsini.40:15 Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5. 1640:16 2Nya 3:5; Eze 41:6; 42:1; 1Fal 6:4; Eze 41:26Kulikuwa na vidirisha kwenye hivyo vyumba vya walinzi na nguzo za hivyo vyumba zilikuwa kwenye mzunguko wa hilo lango, vivyo hivyo kulikuwa na madirisha yaliyozunguka kuelekeana na ua na juu ya kila nguzo kulikuwa na mapambo ya miti ya mitende.

Ukumbi Wa Nje

17Kisha akanileta katika ukumbi wa nje. Huko nikaona vyumba vingine pamoja na njia iliyokuwa imejengwa kuzunguka ukumbi wote, kulikuwa na vyumba thelathini vimepangana kando ya hiyo njia. 18Njia hii iliyojengwa iliambaa na lango, ikiwa na urefu sawa na lango, hii ilikuwa ni njia ya chini. 1940:19 Eze 40:23, 27; 46:1Kisha akapima umbali kutoka ndani ya lango la chini mpaka nje ya ukumbi wa ndani, nao ulikuwa dhiraa mia moja40:19 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. upande wa mashariki na dhiraa mia moja upande wa kaskazini.

Lango La Kaskazini

20Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje. 2140:21 Eze 40:7Vyumba vyake vilikuwa vitatu kila upande, kuta zilizogawanya vyumba na baraza ilikuwa na vipimo sawa na zile kuta za lango la kwanza. Zilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano.40:21 Dhiraa 25 ni sawa na mita 11.25. 2240:22 Eze 40:16, 26, 49Madirisha yake, baraza yake na nakshi yake ya miti ya mitende vilikuwa na vipimo sawasawa na vile vya lango linaloelekea mashariki. Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. 2340:23 Eze 40:19Kulikuwa na lango kwenye ukumbi wa ndani lililoelekea lile lango la kaskazini, kama vile ilivyokuwa ule upande wa mashariki. Akapima kutoka lango moja hadi lile lililo mkabala nalo, lilikuwa dhiraa mia moja.

Lango La Kusini

2440:24 Eze 40:32, 35Ndipo akaniongoza mpaka upande wa kusini, nami nikaona lango linaloelekea kusini. Akaipima miimo yake na baraza yake, navyo vilikuwa na vipimo sawa kama hivyo vingine. 2540:25 Eze 40:33Lango na baraza yake vilikuwa na madirisha membamba pande zote, kama madirisha ya huko kwingine. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano. 2640:26 Eze 40:22Kulikuwa na ngazi saba za kupandia huko, pamoja na baraza yake mkabala nazo. Ilikuwa na nakshi za miti ya mitende kwenye kuta zilizogawanya vyumba kila upande. 2740:27 Eze 40:19, 32Ukumbi wa ndani pia ulikuwa na lango lililoelekea kusini. Naye akapima kutoka lango hili mpaka kwenye lango la nje upande wa kusini; ilikuwa dhiraa mia moja.

Malango Ya Kuelekea Ukumbi Wa Ndani

2840:28 Eze 40:35Kisha akanileta mpaka ukumbi wa ndani kwa kupitia lango la kusini, naye akapima lango la kusini, ambalo lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine. 2940:29 1Fal 6:5-10; 1Nya 28:11-12; Neh 10:38-39Vyumba vyake, kuta zilizogawanya vyumba na ukumbi wake zilikuwa na vipimo sawasawa na zile nyingine. Hilo lango na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Navyo vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wa dhiraa ishirini na tano. 3040:30 Eze 40:21(Baraza za malango zilizozunguka ukumbi wa ndani zilikuwa na upana wa dhiraa ishirini na tano na kina cha dhiraa tano.) 3140:31 Eze 40:22, 34, 37Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.

32Kisha akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani ulioko upande wa mashariki, naye akalipima lango hilo, lilikuwa na vipimo vilivyo sawasawa na yale mengine. 3340:33 Eze 40:7Vyumba vyake, kuta zake na baraza yake vilikuwa na vipimo vilivyo sawa na vile vingine. Lile lango pamoja na baraza yake vilikuwa na madirisha pande zote. Urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano. 3440:34 Eze 40:22Baraza yake ilielekea ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote. Kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.

3540:35 Eze 44:4; 47:2Kisha akanileta mpaka kwenye lango la kaskazini na kulipima. Lilikuwa na vipimo sawa na yale mengine, 3640:36 Eze 40:7kama vile ilivyokuwa kwa vyumba, kuta zake na baraza yake, tena kulikuwa na madirisha pande zote. Ilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini na upana wake dhiraa ishirini na tano. 3740:37 Eze 40:22, 34Baraza yake ilielekeana na ukumbi wa nje, miimo yake ilinakshiwa miti ya mitende pande zote, kulikuwa na ngazi nane za kupandia huko.

Vyumba Vya Kutayarishia Dhabihu

3840:38 2Nya 4:6; Eze 42:13; Ebr 9:14Kulikuwa na chumba na mlango karibu na baraza katika kila njia ya ndani ya lango ambamo sadaka za kuteketezwa zilioshwa. 3940:39 Eze 46:2; Law 4:28; Hes 6:12; Ebr 10:12-14; 2Kor 5:21Kwenye baraza ya lile lango kulikuwepo meza mbili kila upande, ambako sadaka za kuteketezwa, sadaka za dhambi na sadaka za hatia zilichinjiwa. 40Karibu na ukuta wa nje wa baraza ya lile lango karibu na ngazi kwenye ingilio kuelekea kaskazini kulikuwa na meza mbili, nako upande mwingine wa ngazi kulikuwepo na meza mbili. 41Kwa hiyo kulikuwa na meza nne upande mmoja wa lango na nyingine nne upande mwingine, zote zilikuwa meza nane, ambapo dhabihu zilichinjiwa. 4240:42 Kut 20:25Pia kulikuwa na meza nne za mawe yaliyochongwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, kila meza ilikuwa na urefu wa dhiraa moja na nusu,40:42 Dhiraa 1.5 ni sawa na sentimita 67.5. upana wake dhiraa moja na nusu na kimo cha dhiraa moja. Juu ya meza hizo viliwekwa vyombo vya kuchinjia sadaka za kuteketezwa na dhabihu nyingine mbalimbali. 43Kulikuwa na kulabu, urefu wake nyanda nne,40:43 Nyanda 4 ni sawa na sentimita 8. zilikuwa zimeshikizwa ukutani pande zote. Meza zilikuwa kwa ajili ya nyama za sadaka.

Vyumba Kwa Ajili Ya Makuhani

4440:44 1Nya 6:31; Kol 3:16; Efe 5:19Nje ya lango la ndani, kwenye ukumbi wa ndani, kulikuwa na vyumba viwili, kimoja upande wa lango la kaskazini nacho kilielekea kusini, kingine upande wa lango la kusini nacho kilielekea kaskazini. 4540:45 1Nya 9:23; Law 8:35Akaniambia, “Chumba kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani ambao wana usimamizi wa hekaluni, 4640:46 Hes 18:5; 16:5; 2Sam 8:17; Eze 48:11; 42:13; Kol 4:12; Eze 43:19; Ezr 7:2; Eze 44:15nacho chumba kinachoelekea upande wa kaskazini ni kwa ajili ya makuhani wenye usimamizi wa madhabahuni. Hawa ni wana wa Sadoki, ambao ndio Walawi pekee wanaoweza kumkaribia Bwana ili kuhudumu mbele zake.”

4740:47 Eze 41:13-14Ndipo alipopima ukumbi: nao ulikuwa mraba wa dhiraa mia moja urefu na upana. Madhabahu yalikuwa mbele ya Hekalu.

Hekalu

4840:48 1Fal 6:2Akanileta mpaka kwenye baraza ya Hekalu naye akaipima miimo ya hiyo baraza, nayo ilikuwa na upana wa dhiraa tatu40:48 Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35. kila upande. Upana wa ingilio ulikuwa dhiraa kumi na nne40:48 Dhiraa 14 ni sawa na mita 6.3. na kuta zake zilikuwa na upana wa dhiraa tatu kila upande. 4940:49 1Fal 6:3; 7:15Baraza ilikuwa na dhiraa ishirini kwenda juu na dhiraa kumi na mbili40:49 Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4. kuanzia mbele hadi nyuma. Kulikuwa na ngazi kumi za kupandia huko, pia kulikuwa na nguzo kwa kila upande wa miimo.