3 Царств 7 – CARS & NEN

Священное Писание

3 Царств 7:1-51

Дворец Сулеймана

1Но на то, чтобы завершить строительство своего дворца, у Сулеймана ушло тринадцать лет. 2Он построил дворец, который назывался дворцом Ливанского леса, – пятьдесят метров в длину, двадцать пять метров в ширину и пятнадцать метров7:2 Букв.: «сто… пятьдесят… тридцать локтей». в высоту, с четырьмя рядами кедровых колонн, поддерживающих кедровые балки. 3Его крыша была обшита кедром по балкам, которые располагались на колоннах, – сорок пять балок, по пятнадцать в каждом ряду. 4Окна его были поставлены высоко, по три окна в ряду, друг напротив друга. 5В дверных проёмах и в окнах7:5 Или: «косяках». были четырёхугольные рамы, и три ряда окон находились напротив трёх рядов на противоположной стене.

6Он сделал колонный зал – двадцать пять метров в длину и пятнадцать метров7:6 Букв.: «пятьдесят… тридцать локтей». в ширину. Там был притвор, крыша которого также поддерживалась колоннами.

7Он построил тронный зал для суда, называемый Зал правосудия, и покрыл его кедром от пола до потолка. 8А его дом, где он должен был жить, был в другом дворе, позади зала, такой же по замыслу. Ещё Сулейман сделал дворец, подобный этому залу, для дочери фараона, на которой женился.

9Все эти сооружения – от внешней стороны до большого двора и от основания до карнизов – были сделаны из дорогих камней, обтёсанных по размеру и обрезанных пилами с внешней и с внутренней стороны. 10В основания были заложены большие дорогие камни четырёх-пяти метров7:10 Букв.: «восьми-десяти локтей».. 11Сверху были дорогие камни, обтёсанные по размеру, и кедровые балки. 12Большой двор был обнесён стеной из трёх рядов обтёсанного камня и ряда кедровых брусьев, как внутренний двор храма Вечного с его притвором.

Хурам – бронзовых дел мастер

13Царь Сулейман пригласил и принял Хурама из Тира, 14сына вдовы из рода Неффалима. Его отцом был тирянин, бронзовых дел мастер. Хурам был очень искусен и имел большой навык во всех видах работы с бронзой. Он пришёл к царю Сулейману и сделал всю работу, которая была ему поручена.

Две бронзовые колонны

(2 Лет. 3:15-17)

15Хурам отлил две бронзовые колонны. Одна из них была девять метров высотой, и шнур длиной в шесть метров7:15 Букв.: «восемнадцать… двенадцать локтей». обвивал её по окружности. Вторая колонна была такой же. 16Ещё он сделал две капители колонн из литой бронзы, чтобы поставить их на колоннах. Капители на каждой из колонн были по два с половиной метра7:16 Букв.: «пять локтей». высотой. 17Верхние части колонн украшала сетка из переплетённых цепей, по семь на каждой колонне. 18Он сделал два ряда гранатовых плодов, окружавших каждую сетку, чтобы украсить капители колонн. Обе капители он сделал одинаковыми. 19На капителях колонн притвора были вырезаны лилии в два метра7:19 Букв.: «четыре локтя». высотой. 20На капителях обеих колонн, над чашеобразной частью рядом с сеткой, были сделаны кругом рядами двести гранатовых плодов.

21Хурам установил колонны у притвора храма. Ту колонну, что с южной стороны, он назвал Иахин («Он утвердит»), а ту, что с северной, – Боаз («в Нём сила»). 22Капители колонн были сделаны в виде лилий. На этом была завершена работа над колоннами.

Бронзовый бассейн

(2 Лет. 4:2-5)

23Хурам вылил из бронзы большой круглый бассейн, названный «морем», который был пяти метров в диаметре, двух с половиной метров высотой и пятнадцати метров7:23 Букв.: «десять… пять… тридцать локтей». в окружности. 24Снизу его окружали два ряда подобия тыкв – по десять на каждые полметра7:24 Букв.: «на локоть».. Тыквы были отлиты с бассейном одним литьём.

25Бассейн стоял на двенадцати быках, три из которых смотрели на север, три на запад, три на юг и три на восток. Бассейн покоился на них, а их зады были обращены внутрь, к центру. 26Его стенки были восемь сантиметров толщиной, а его край был как край чаши, как цветок лилии. Бассейн вмещал в себя сорок четыре тысячи литров7:26 Букв.: «одна ладонь… две тысячи батов». воды.

Бронзовые подставки

27Ещё Хурам сделал десять передвижных подставок из бронзы. Каждая была два метра длиной, два шириной и полтора метра7:27 Букв.: «четыре… четыре… три локтя». высотой. 28Вот как были устроены подставки: у них были боковые панели, находящиеся внутри рамок. 29На панелях внутри рамок, как и на самих рамках, были изображены львы, быки и херувимы. Над львами и быками и под ними были кованые венки. 30У каждой подставки было по четыре бронзовых колеса с бронзовыми осями, и у каждой была умывальница, которая покоилась на четырёх опорах, отлитых с венками на каждой стороне. 31На верху каждой подставки была круглая рама для умывальницы, служившая ей опорой. Эта рама была высотой в полметра, а её отверстие было семидесяти пяти сантиметров7:31 Букв.: «один… полтора локтя». шириной. Снаружи на ней были резные украшения. Панели подставок были квадратные, а не круглые. 32Под панелями находилось четыре колеса, и их оси крепились к подставке. Диаметр каждого колеса был равен семидесяти пяти сантиметрам7:32 Букв.: «полтора локтя».. 33Колёса были сделаны как для колесниц: оси, ободья, спицы и ступицы – все были литые.

34У каждой подставки было четыре рукоятки, по одной на каждом углу, которые выдавались из подставки. 35На верху подставки был круглый обод высотой в четверть метра7:35 Букв.: «пол-локтя».. Опоры и панели крепились к верхушке подставки. 36На подставках и панелях, где только было место, Хурам вырезал херувимов, львов и пальмы, а вокруг – венки. 37Так он сделал десять подставок. Все они были отлиты одинаково и были одного размера и формы.

38Затем Хурам сделал десять бронзовых умывальниц, каждая из которых вмещала восемьсот восемьдесят литров воды и была два метра7:38 Букв.: «сорок батов… четыре локтя». в диаметре, по одной умывальнице на каждую из десяти подставок. 39Он поставил пять подставок на южной стороне храма и пять на северной, а «море» поставил на юго-восточном углу храма.

40Ещё Хурам сделал горшки, лопатки и кропильные чаши.

Список утвари храма

(2 Лет. 4:11–5:1)

На этом Хурам завершил всю работу, которую выполнял для царя Сулеймана в храме Вечного. Он сделал

41две колонны,

две чашеобразные капители для колонн,

две сетки, украшавшие чашеобразные капители,

42четыреста плодов гранатового дерева для двух сеток (два ряда гранатов для каждой сетки, украшавшей чашеобразные капители),

43десять подставок с умывальницами,

44«море» и двенадцать быков под ним,

45горшки, лопатки и кропильные чаши.

Вся утварь, которую Хурам сделал царю Сулейману для храма Вечного, была из полированной бронзы. 46Царь велел отлить её в глиняных формах в долине Иордана между Суккотом и Цартаном. 47Сулейман не взвешивал всех этих вещей, потому что их было слишком много. Вес бронзы остался неизвестным.

48Ещё Сулейман сделал всю утварь для храма Вечного:

золотой жертвенник,

золотой стол для священного хлеба,

49подсвечники из чистого золота (пять на правую и пять на левую сторону перед внутренним святилищем),

золотые цветы, светильники и щипцы,

50кубки, ножницы для фитилей, кропильные чаши, блюда и сосуды для возжигания благовоний – всё из чистого золота,

золотые петли для дверей внутренней комнаты, Святая Святых, а также для внешних дверей храма.

51Когда вся работа, которую царь Сулейман делал для храма Вечного, была завершена, он принёс те вещи, которые посвятил Вечному его отец Давуд, – серебро, золото и утварь – и положил их в сокровищницы храма Вечного.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Wafalme 7:1-51

Solomoni Ajenga Jumba Lake La Kifalme

17:1 Ezr 4:7; Neh 2:1; 1Nya 6:14Ilimchukua Solomoni miaka kumi na mitatu kukamilisha ujenzi wa Jumba lake la kifalme. 27:2 1Fal 2:35; Neh 11:11Alijenga Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni, urefu wake ulikuwa dhiraa 100,7:2 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. upana wake dhiraa hamsini na kimo chake dhiraa thelathini,7:2 Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5. likiwa na safu nne za nguzo za mierezi zikishikilia boriti za mierezi zilizorembwa. 3Ilipauliwa kwa mierezi juu ya boriti zile zilizolala juu ya nguzo arobaini na tano, kumi na tano kwa kila safu. 4Madirisha yake yaliwekwa juu kwa safu tatu, yakielekeana. 5Milango yote ilikuwa na miimo ya mstatili, ilikuwa upande wa mbele katika safu tatu, ikielekeana.

67:6 Neh 12:36; Ezr 5:5; Isa 41:20; Mwa 32:28; Neh 1:10-11Akajenga ukumbi wa nguzo, ambao urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini7:6 Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5. na upana wake dhiraa thelathini. Mbele ya jengo hilo kulikuwepo baraza. Mbele ya baraza kulikuwepo na nguzo na paa lililoningʼinia.

77:7 Ezr 8:1; 2:43Akajenga ukumbi wa kiti cha enzi, Ukumbi wa Hukumu, mahali ambapo angelitolea hukumu, akaufunika kwa mierezi kutoka sakafuni hadi darini. 8Kwenye jumba la kifalme ambamo angeliishi, aliiweka nyuma zaidi, ikiwa na mjengo wa aina moja na hiyo nyingine. Pia Solomoni akajenga jumba la kifalme linalofanana na huo ukumbi mkubwa kwa ajili ya binti Farao, aliyekuwa amemwoa.

97:9 Neh 2:8Ujenzi huu wote, kuanzia nje mpaka kwenye ua mkuu na kuanzia kwenye msingi hadi upenuni, ulifanywa kwa mawe ya ubora wa hali ya juu yaliyokuwa yamechongwa kwa vipimo na kusawazishwa kwa msumeno nyuso zake za ndani na za nje. 107:10 Kum 33:10; Neh 8:1-8; 2Tim 4:2; 1Sam 7:3; 2Nya 12:14; Za 10:18; 119:45; Mal 2:7Misingi iliwekwa kwa mawe makubwa yaliyo bora, yenye urefu wa dhiraa kumi7:10 Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5. na mengine yenye urefu wa dhiraa nane7:10 Dhiraa nane ni sawa na mita 3.6. 11Sehemu za juu kulikuwepo na mawe yenye ubora wa hali ya juu, yaliyokatwa kwa vipimo na boriti za mierezi. 127:12 Dan 2:37; Ezr 4:10Ule ua mkuu ulizungukwa na ukuta wa safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa, kama ulivyokuwa ua wa ndani wa Hekalu la Bwana na baraza yake.

Samani Za Hekalu

(2 Nyakati 4)

13Mfalme Solomoni akatuma watu Tiro kumleta Hiramu, 147:14 Es 1:14ambaye mama yake alikuwa mjane kutoka kabila la Naftali na baba yake alikuwa mtu wa Tiro tena fundi wa shaba. Hiramu alikuwa na ustadi wa hali ya juu na mzoefu katika aina zote za kazi ya shaba. Alikuja kwa Mfalme Solomoni na kufanya kazi zake zote alizopangiwa.

157:15 Kum 12:5; 1Nya 29:6; 2Nya 6:2; Za 135:21Hiramu akasubu nguzo mbili za shaba, kila moja ikiwa na urefu wa dhiraa kumi na nane,7:15 Dhiraa 18 ni sawa na mita 8.1. kila nguzo ikiwa na mzingo wa dhiraa kumi na mbili7:15 Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4. kwa mstari. 167:16 Kut 3:22; Ezr 8:25; Zek 6:10; 1Nya 29:6Pia alitengeneza mataji mawili ya shaba ya kusubu ili kuyaweka juu ya hizo nguzo; kila taji lilikuwa na kimo cha dhiraa tano7:16 Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25. kwenda juu. 177:17 2Fal 3:5; Hes 15:5-12Wavu wa mikufu iliyosokotewa kwenye zile taji juu ya zile nguzo, saba kwa kila taji. 18Akatengeneza makomamanga katika safu mbili kuzunguka kila wavu kuremba mataji yaliyo juu ya nguzo. Alifanya hivyo kwa kila nguzo. 197:19 Ezr 5:14; Yer 27:22Mataji yaliyokuwa juu ya nguzo kwenye baraza, yalikuwa katika umbo la yungiyungi, kimo chake ni dhiraa nne7:19 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8. 207:20 Ezr 6:4; 1Kor 4:1-2Juu ya mataji ya zile nguzo mbili, juu ya ile sehemu yenye umbo kama bakuli, karibu na ule wavu, kulikuwa na yale makomamanga 200 katika safu kuzunguka pande zote. 217:21 Ezr 4:16-20; 5:3-6Hiramu akasimamisha nguzo kwenye baraza ya Hekalu. Nguzo ya upande wa kusini akaiita Yakini,7:21 Yakini maana yake Mungu atafanya imara. na ile ya upande wa kaskazini Boazi.7:21 Boazi maana yake Ndani ya Mungu kuna nguvu. 22Mataji yaliyokuwa juu yalikuwa na umbo la yungiyungi. Hivyo kazi ya nguzo ikakamilika.

237:23 Ezr 6:10; Isa 60:12; Yer 12:14; Za 68:29; 1Tim 2:1-2Hiramu akasubu Bahari ya chuma, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Mzunguko wake ulikuwa dhiraa thelathini. 247:24 Ezr 4:13; 8:36Chini ya ukingo, ilizungukwa na maboga, kumi kwenye kila dhiraa moja. Maboga yalikuwa yamesubiwa katika safu mbili ili kuwa kitu kimoja na hiyo bahari.

257:25 Kut 18:21-26; 16:18; Za 19:7; Kol 1:28; Kum 16:18; 2Nya 17:7; Mal 2:7; Mt 13:52Bahari iliwekwa juu ya mafahali kumi na wawili, watatu wakielekea kaskazini, watatu wakielekea magharibi, watatu wakielekea kusini na watatu wakielekea mashariki. Bahari iliwekwa juu yao na sehemu zao za nyuma zilielekeana. 267:26 Eze 6:11Ilikuwa na unene wa nyanda nne7:26 Nyanda nne ni sawa na sentimita 32. Nyanda moja ni sawa na upana wa kiganja kimoja, ambacho ni sawasawa na sentimita 8. na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 2,000.7:26 Bathi 2,000 ni sawa na lita 40,000.

277:27 Ezr 6:22; 1Nya 29:12; Neh 2:12; 2Kor 8:16; Flp 4:10; Mit 16:7Pia akatengeneza vitako kumi vya shaba vinavyoweza kuhamishika, kila kimoja kilikuwa na urefu wa dhiraa nne, upana dhiraa nne na kimo chake dhiraa tatu7:27 Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35. 287:28 2Fal 25:28; Ezr 5:5; 9:9; Neh 1:11Hivi ndivyo vile vitako vilivyotengenezwa: Vilikuwa na mbao za pembeni zilizoshikamanishwa na mihimili. 29Juu ya mbao kati ya hiyo mihimili kulikuwa na simba, mafahali na makerubi, pia kwenye mihimili yake. Juu na chini ya simba na mafahali kulikuwa kumesokotewa taji za kufuliwa. 30Kila kitako kilikuwa na magurudumu manne ya shaba, na vyuma vya katikati vya kuyazungusha hayo magurudumu na kila kimoja kilikuwa na sinia kwenye vishikizo vinne vya taji iliyosubiwa kila upande. 31Ndani ya kitako kulikuwa na nafasi ya wazi iliyokuwa na umbile la mviringo lenye kina cha dhiraa moja.7:31 Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45. Nafasi hii ya wazi ilikuwa ya mviringo, pamoja na kitako chake ilikuwa dhiraa moja na nusu.7:31 Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5. Kuzunguka huo mdomo wake kulitiwa nakshi. Papi za vitako zilikuwa mraba na si za mviringo. 32Magurudumu manne yalikuwa chini ya papi, na vyuma vya katikati vya kuzungushia magurudumu hayo vilikuwa vimeunganishwa kwenye kitako. Kipenyo cha kila gurudumu kilikuwa dhiraa moja na nusu. 33Magurudumu yalitengenezwa kama ya magari ya vita ya kukokotwa, vyuma vya katikati vya magurudumu, duara zake, matindi yake na vikombe vyake vyote vilikuwa vya kusubu.

34Kila kitako kilikuwa na mikono minne, moja kwenye kila pembe, ukitokeza kutoka kwenye kitako. 35Juu ya kitako kulikuwepo na utepe wa mviringo wenye kina cha nusu dhiraa. Vishikio na papi vilishikamana upande wa juu wa kitako. 36Alitia nakshi za makerubi, simba na miti ya mitende juu ya uso wa vishikio na juu ya papi, katika kila nafasi iliyopatikana, pamoja na mataji yaliyosokotwa kuzunguka pande zote. 37Hivi ndivyo Hiramu alivyotengeneza vile vitako kumi. Vyote vilikuwa vya kusubu kwenye kalibu za kufanana kwa vipimo na kwa umbo.

38Kisha akatengeneza masinia kumi ya shaba, kila moja likiwa na ujazo wa bathi arobaini,7:38 Bathi 40 ni sawa na lita 800. yakiwa na kipenyo cha dhiraa nne7:38 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8. kila sinia moja kwa kila kimoja ya vile vitako kumi. 39Aliweka vitako vitano upande wa kusini wa Hekalu na vingine vitano upande wa kaskazini. Akaweka ile bahari upande wa kusini, katika pembe ya kusini ya Hekalu. 40Pia akatengeneza masinia, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi zote katika Hekalu la Bwana kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:

41nguzo mbili;

mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo;

nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo;

42makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu, yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);

43vitako kumi pamoja na masinia yake kumi;

44ile Bahari ya chuma na yale mafahali kumi na wawili chini yake;

45masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

Vyombo hivi vyote ambavyo Huramu alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la Bwana vilikuwa vya shaba iliyongʼarishwa. 46Mfalme akaamuru wavisubu katika kalibu ya udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani ulio kati ya Sukothi na Sarethani. 47Solomoni akaviacha vitu hivi vyote bila kupima uzani wake, kwa sababu vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.

48Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Bwana:

madhabahu ya dhahabu;

meza ya dhahabu za kuweka mikate ya Wonyesho;

49vinara vya taa vya dhahabu safi (vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto, mbele ya Patakatifu pa Patakatifu);

kazi ya maua ya dhahabu na taa na makoleo;

50masinia ya dhahabu safi, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, vyano na vyetezo;

na bawaba za dhahabu kwa ajili ya milango ya chumba cha ndani sana, yaani Patakatifu pa Patakatifu, na pia kwa ajili ya milango ya ukumbi mkuu wa Hekalu.

51Hivyo Mfalme Solomoni alipomaliza kazi ya Hekalu la Bwana, akaviingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa ameviweka wakfu: yaani fedha, dhahabu na samani; kisha akaviweka katika hazina za Hekalu la Bwana.