2 Летопись 16 – CARS & NEN

Священное Писание

2 Летопись 16:1-14

Аса просит защиты у сирийцев

(3 Цар. 15:17-22)

1На тридцать шестом году правления Асы, царя Иудеи, Бааша, царь Исраила, выступил против Иудеи и укрепил город Раму, чтобы никто не мог ни войти во владения Асы, ни покинуть их. 2Тогда Аса взял серебро и золото из сокровищниц храма Вечного и своего дворца и послал царю Сирии Бен-Ададу16:2 Это Бен-Адад I. Примерные даты его правления: с 900 по 860 гг. до н. э., который правил в Дамаске, сказав:

3– Пусть между мной и тобой будет союз, как он был между нашими отцами. Вот я посылаю тебе серебро и золото. Расторгни же свой союз с Баашей, царём Исраила, чтобы он отступил от меня.

4Бен-Адад согласился с предложением царя Асы и послал своих военачальников против городов Исраила. Они захватили города Ион, Дан, Авель-Бет-Мааху16:4 Букв.: «Авель-Маим» – другое название Авель-Бет-Маахи (см. 3 Цар. 15:20). и все города для припасов в земле Неффалима. 5Услышав об этом, Бааша перестал укреплять Раму и бросил работу. 6А царь Аса привёл весь народ Иудеи, и они вынесли из города Рамы камни и дерево, которыми строил Бааша. Он укрепил ими города Геву и Мицпу.

Пророчество Ханани

7В то время к Асе, царю Иудеи, пришёл провидец Ханани и сказал ему:

– Так как ты положился на царя Сирии, а не на Вечного, твоего Бога, войско царя Сирии спаслось от твоей руки. 8Разве эфиопы и ливийцы не были могучим войском с огромным числом колесниц и всадников? Но когда ты положился на Вечного, Он отдал их в твои руки. 9Ведь глаза Вечного осматривают всю землю, чтобы укреплять тех, чьи сердца всецело преданы Ему. Ты сделал глупость, и отныне у тебя постоянно будут войны.

10Аса разгневался за это на провидца. Он был в такой ярости, что бросил его в темницу. В это же время Аса жестоко обошёлся с некоторыми людьми из народа.

Смерть Асы

(3 Цар. 15:23-24)

11События царствования Асы, от первых до последних, записаны в «Книге царей Иудеи и Исраила». 12На тридцать девятом году правления у Асы началась тяжёлая болезнь ног, но даже в болезни он не искал Вечного, а понадеялся на помощь лекарей. 13Аса упокоился со своими предками, скончавшись на сорок первом году своего правления. 14Его похоронили в могильной пещере, которую он вытесал для себя в Городе Давуда. Его положили на смертное ложе, наполненное разными благовониями, и развели в его честь огромный поминальный костёр.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

2 Nyakati 16:1-14

Miaka Ya Mwisho Ya Mfalme Asa

(1 Wafalme 15:17-24)

116:1 Yer 41:9; 2Nya 15:9; 1Fal 15:17Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.

2Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu kutoka hazina ya Hekalu la Bwana na kutoka jumba lake mwenyewe la kifalme na kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye alikuwa anatawala huko Dameski. 316:3 2Nya 20:35; 25:7Akasema, “Pawepo na mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”

4Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Wakashinda Iyoni, Dani, Abel-Maimu na miji yote ya hazina ya Naftali. 5Baasha aliposikia jambo hili, akasimamisha kujenga Rama na kuacha kazi yake. 6Ndipo Mfalme Asa akawaleta watu wote wa Yuda, nao wakachukua mawe na miti ambayo Baasha alikuwa anavitumia huko Rama. Kwa vitu hivyo akajenga Geba na Mispa.

716:7 1Fal 16:1; 2Nya 19:2; 20:34; Za 146:3-6; Isa 31:1; Yer 17:5Ikawa wakati huo mwonaji Hanani akamjia Mfalme Asa wa Yuda na kumwambia: “Kwa sababu ulimtegemea mfalme wa Aramu nawe hukumtegemea Bwana Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limeponyoka mkononi mwako. 816:8 Mwa 10:6-9; 2Nya 13:16; 14:9; 12:3Je, hukumbuki lililotendeka kwa Wakushi na Walibia, hawakuwa jeshi lenye nguvu na magari mengi ya vita na wapanda farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea Bwana yeye aliwatia mkononi mwako. 916:9 Ay 24:23; 1Sam 13:13; Za 33:13-15; Yer 5:21; 32:19; 1Kor 15:36; 2Nya 6:20; Ay 34:21; Yer 16:17; Zek 4:10; Ebr 4:13; 1Pet 3:12; 1Nya 21:8; Mt 5:22; 1Fal 15:32Kwa kuwa macho ya Bwana hukimbiakimbia duniani kote ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita.”

1016:10 2Nya 18:26; Yer 20:2; Mt 14:3Asa akamkasirikia mwonaji kwa sababu ya jambo hili. Alikuwa ameghadhibika sana hata akamweka gerezani. Wakati huo huo Asa akaanza kuwatesa na kuwaonea baadhi ya watu kwa ukatili.

11Matukio ya utawala wa Asa, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli. 1216:12 Yer 17:5-6; Kum 28:22Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipatwa na ugonjwa kwenye miguu yake. Ingawa ugonjwa wake ulimzidia sana, hata katika kuugua kwake hakutafuta msaada kutoka kwa Bwana bali kwa matabibu tu. 13Katika mwaka wa arobaini na moja wa utawala wa Asa, alikufa na kulala na baba zake. 1416:14 Mwa 50:2; Yn 19:39-40; Mk 16:1; 2Nya 21:19; Yer 34:5Nao wakamzika katika kaburi lile alilokuwa amejichongea mwenyewe katika Mji wa Daudi. Wakamzika kwa jeneza lililowekwa vikolezi na mchanganyiko wa manukato ya aina mbalimbali yaliyotengenezwa kwa utaalamu wa mtengeneza marashi, nao wakawasha moto mkubwa kwa heshima yake.