Исход 11 – CARS & NEN

Священное Писание

Исход 11:1-10

Предсказание десятого наказания

1Вечный сказал Мусе:

– Я покараю фараона и Египет ещё лишь раз. После этого он отпустит вас и не просто отпустит, а выгонит. 2Скажи народу, чтобы мужчины и женщины попросили у соседей серебряных и золотых вещей.

3(Вечный расположил сердца египтян к народу Исраила, самого же Мусу приближённые фараона и народ считали великим человеком в Египте.)

4Муса передал фараону:

– Так говорит Вечный: «Около полуночи Я пройду по Египту, 5и все первенцы в Египте умрут – от первенца фараона, наследника престола, до первенца рабыни у жерновов. Умрёт даже первородный приплод скота. 6По всему Египту будет громкий плач, подобного которому не бывало прежде и не будет впредь. 7Но на исраильтян и на их скот даже собака не залает». Тогда вы увидите, какое различие делает Вечный между Египтом и Исраилом. 8Твои приближённые придут, поклонятся мне и скажут: «Уходи ты и весь народ, который следует за тобой!» После этого я уйду, – и Муса в гневе вышел от фараона.

9Вечный сказал Мусе:

– Я сделаю так, что фараон не станет слушать тебя, и тогда Я покажу Египту ещё больше чудес.

10Муса и Харун сотворили перед фараоном все эти чудеса, но Вечный сделал сердце фараона упрямым, и он не отпустил исраильтян из своей страны.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Kutoka 11:1-10

Pigo La Kumi: Kuuawa Wazaliwa Wa Kwanza

111:1 Kut 3:20; 6:1Basi Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa. 211:2 Kut 3:21-22Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.” 311:3 Mwa 39:21; Kum 34:11; 2Sam 7:9; 8:13; 22:44; Es 9:4; Za 89:27(Bwana akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)

411:4 Kut 12:29; Ay 34:20; Kut 12:23; Za 81:5Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo Bwana asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri. 511:5 Kut 4:23; Za 78:51; Isa 47:2Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo. 611:6 Kut 12:30; Mit 21:13; Amo 5:17Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena. 711:7 Kut 8:22Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa Bwana huweka tofauti kati ya Misri na Israeli. 811:8 Kut 12:31-33; Ebr 11:27Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.

911:9 Kut 7:4; 3:20Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.” 1011:10 Kut 4:21; Rum 2:5Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.