Исаия 53 – CARS & NEN

Священное Писание

Исаия 53:1-12

1Кто поверил слышанному от нас,

и кому открылась сила Вечного?

2Он пророс перед Ним, как нежный побег

и как корень из сухой земли.

Не было в Нём ни красы, ни величия,

чтобы нам смотреть на Него;

не было в Его облике ничего,

что привлекло бы нас.

3Он был презрен и отвергнут людьми,

человек скорбей, знакомый с недугом.

Как тот, от кого прячут лица, Он был презираем,

и мы ни во что не ставили Его.

4Но Он взял на Себя наши немощи

и понёс наши болезни.

Мы же думали: разит Его Всевышний

за Его собственные грехи,

бьёт Его – вот Он и мучается.

5А Он был изранен за наши грехи,

сокрушаем за наши беззакония;

Он понёс наказание, чтобы мы получили мир,

и ранами Его мы исцелились.

6Все мы, как овцы, сбились с пути,

каждый из нас пошёл своей дорогой,

но на Него Вечный возложил

все грехи наши.

7Он был угнетаем и мучим,

но уст Своих не открывал.

Как ягнёнок, Он был ведён на заклание,

и как овца перед стригущими безмолвна,

так и Он не открывал уст Своих.

8Он был арестован и несправедливо судим.

Но кто из Его поколения подумал,

что53:8 Или: «Но кто может понять Его происхождение?»; или: «Разве Он оставил после Себя потомков?» Он был отторгнут от земли живых

за преступления Моего народа,

которому причиталась эта кара?

9Могилу Ему отвели с нечестивыми,

но Он был похоронен у богатого,

потому что Он не был жесток,

и в устах Его не было никакой лжи.

10Но Вечному было угодно сокрушить Его и предать мучению.

Когда же Его жизнь станет приношением за грех,

Он увидит Своё потомство и продлит Свои дни;

и свершится через Него воля Вечного.

11После страданий Своих Он увидит свет жизни

и порадуется.

Через познание Его53:11 Или: «Своим знанием». Мой праведный Раб многих оправдает

и понесёт их грехи.

12Поэтому Я дам Ему удел с великими,

и добычу разделит Он с сильными,

потому что Себя Он предал на смерть

и был причислен к преступникам,

тогда как Он понёс грех многих

и за преступников ходатайствовал.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Isaya 53:1-12

153:1 Isa 28:9; Yn 12:38; Rum 10:16; Za 98:1; Isa 30:30Ni nani aliyeamini ujumbe wetu,

na mkono wa Bwana umefunuliwa kwa nani?

253:2 Mk 9:12; Isa 52:14; 2Fal 19:26; Ay 14:7; Isa 4:2; 11:10Alikua mbele yake kama mche mwororo

na kama mzizi katika nchi kavu.

Hakuwa na uzuri wala utukufu wa kutuvutia kwake,

hakuwa na chochote katika sura yake cha kutufanya tumtamani.

353:3 Ebr 4:15; Mt 16:21; 27:29; 1Sam 2:30; Za 69:29; Kut 1:10; Lk 18:31-33Alidharauliwa na kukataliwa na wanadamu,

mtu wa huzuni nyingi, ajuaye mateso.

Kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao,

alidharauliwa, wala hatukumhesabu kuwa kitu.

453:4 Mt 8:17; Zek 13:7; Yn 19:7; Kum 5:24; Ay 4:5; Yer 23:5-6; Eze 34:23-24; Mik 5:2Hakika alichukua udhaifu wetu

na akajitwika huzuni zetu,

hata hivyo tulidhania kuwa amepigwa na Mungu,

akapigwa sana naye, na kuteswa.

553:5 Kum 32:39; Yn 3:17; 1Pet 2:24-25; 2Nya 7:14; Rum 4:25; 1Kor 15:3; Ebr 9:8; Kut 28:38Lakini alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu,

alichubuliwa kwa ajili ya maovu yetu;

adhabu iliyotuletea sisi amani ilikuwa juu yake,

na kwa majeraha yake sisi tumepona.

653:6 Za 119:176; 1Pet 2:25Sisi sote, kama kondoo, tumepotea,

kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe,

naye Bwana aliweka juu yake

maovu yetu sisi sote.

753:7 Mdo 8:32; Mk 14:61; 1Pet 2:23; Isa 49:26; Mt 27:31; Yn 1:29; Za 44:22Alionewa na kuteswa,

hata hivyo hakufungua kinywa chake;

aliongozwa kama mwana-kondoo

apelekwaye machinjoni,

kama vile kondoo anyamazavyo mbele ya wao wamkataye manyoya,

hivyo hakufungua kinywa chake.

853:8 Za 88:5; Dan 9:26; Mdo 8:32-33; Za 39:8; Mk 14:49Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa.

Nani awezaye kueleza kuhusu kizazi chake?

Kwa maana alikatiliwa mbali na nchi ya walio hai,

alipigwa kwa ajili ya makosa ya watu wangu.

953:9 Mk 15:43-46; Lk 23:50-53; Isa 42:1-3; Ay 16:17; Ufu 14:5; Yn 19:19, 38-41Wakamfanyia kaburi pamoja na waovu,

pamoja na matajiri katika kifo chake,

ingawa hakutenda jeuri,

wala hapakuwa na hila kinywani mwake.

1053:10 2Kor 5:21; Mwa 12:17; Za 22:30; Mdo 2:23; Isa 46:10; Law 5:15; Yn 3:17Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Bwana

kumchubua na kumsababisha ateseke.

Ingawa Bwana amefanya maisha yake

kuwa sadaka ya hatia,

ataona uzao wake na kuishi siku nyingi,

nayo mapenzi ya Bwana yatafanikiwa mkononi mwake.

1153:11 Yn 10:14-18; Rum 5:18-19; Ay 33:30; Isa 20:3; Mdo 7:52; Yn 1:29; Rum 4:24; Mdo 10:43Baada ya maumivu ya nafsi yake,

ataona nuru ya uzima na kuridhika;

kwa maarifa yake, mtumishi wangu mwenye haki

atawafanya wengi kuwa wenye haki,

naye atayachukua maovu yao.

1253:12 Flp 2:9; Mt 26:28, 38; 27:38; Lk 23:34; Kut 15:9; Za 119:162; Ebr 9:28; Isa 59:19; Rum 8:34; Mk 15:27; Lk 22:37Kwa hiyo nitamgawia sehemu miongoni mwa wakuu,

naye atagawana nyara pamoja na wenye nguvu,

kwa sababu aliyamimina maisha yake hadi mauti,

naye alihesabiwa pamoja na wakosaji.

Kwa kuwa alichukua dhambi za wengi,

na kuwaombea wakosaji.