Езекиил 38 – CARS & NEN

Священное Писание

Езекиил 38:1-23

Пророчество о Гоге

1Было ко мне слово Вечного:

2– Смертный, обрати лицо к Гогу в земле Магог, верховному правителю38:2 Верховному правителю – или: «правителю Роша»; так же в ст. 3 и 39:1. Мешеха и Тувала. Пророчествуй против него 3и скажи: Так говорит Владыка Вечный: «Я – твой враг, о Гог, верховный правитель Мешеха и Тувала. 4Я поверну тебя обратно, продену в твои челюсти крюки, выведу тебя и твою рать: коней, всадников во всеоружии и огромное полчище с большими и малыми щитами – всех, владеющих мечом, 5а с ними Персию, Эфиопию и Ливию38:5 Букв.: «Пут»., всех со щитами и в шлемах, 6Гомера с его воинами и Бет-Тогарму с окраин севера с её воинами – многие народы с тобою.

7Готовься и снаряжайся, ты сам и все полчища, которые собрались к тебе. Встань во главе их. 8Спустя много дней тебя позовут действовать. В последние годы ты вторгнешься в страну, которая оправилась после войны, чей народ был собран к горам Исраила из рассеяния среди многих народов, и которая долго находилась в запустении. Её обитатели были уведены от других народов и теперь живут в безопасности. 9Ты со своими воинами и многими народами поднимешься и придёшь, словно смерч; ты будешь как туча, что закрывает землю».

10Так говорит Владыка Вечный: «В тот день тебя одолеют плохие мысли, и ты задумаешь коварный план. 11Ты скажешь: „Пойду на край неограждённых селений. Нападу на мирный народ, который живёт безопасно: они живут без стен, нет у них ни засовов, ни ворот. 12Буду грабить и расхищать; обращу руку против вновь заселённых развалин и против народа, вернувшегося из рассеяния и ныне богатого скотом и добром и живущего посреди земли“. 13Шева и Дедан, купцы и все молодые воины38:13 Или: «молодые львы». Фарсиса спросят тебя: „Ты пришёл грабить? Ты собрал полчища, чтобы расхищать, уносить золото и серебро, отнимать скот и добро и брать богатую добычу?“»

14Поэтому, смертный, пророчествуй и скажи Гогу: Так говорит Владыка Вечный: «В день, когда Мой народ Исраил будет жить в безопасности, разве ты не узнаешь об этом? 15Ты выйдешь из своих мест, что на окраине севера, ты сам и многие народы с тобой, что ездят на конях и составляют огромное полчище, могучую рать. 16Ты двинешься на Мой народ Исраил подобно туче, что закрывает землю. В будущие дни, Гог, Я пошлю тебя на Мою землю, чтобы народы познали Меня, когда Я явлю через тебя Мою святость у них на глазах».

17Так говорит Владыка Вечный: «Разве не о тебе Я издревле говорил через Моих рабов, пророков Исраила? Они годами пророчествовали в те времена о том, что Я нашлю тебя на них. 18Вот что случится в этот день: когда Гог нападёт на Исраил, Мой пылающий гнев вспыхнет, – возвещает Владыка Вечный. – 19В ревности и пылающем гневе Своём Я возвещаю: в это время в земле Исраила произойдёт страшное землетрясение. 20Рыбы в морях, птицы в небе, звери в лесу, всякое пресмыкающееся, что ползает по земле, и все люди на земле затрепещут предо Мной. Горы рухнут, скалы низвергнутся, и всякая стена повалится на землю. 21Я призову меч сражаться против Гога на всех Моих горах, – возвещает Владыка Вечный. – Каждый его воин обнажит меч на соратника. 22Я покараю его мором и кровопролитием. Я обрушу на него, на его воинства и многие народы неистовый ливень, град и горящую серу. 23Я явлю Своё величие и святость и откроюсь многим народам. Тогда они узнают, что Я – Вечный».

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ezekieli 38:1-23

Unabii Dhidi Ya Gogu

1Neno la Bwana likanijia kusema: 238:2 Mwa 10:2; Eze 27:13; Ufu 20:8; Eze 39:11“Mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya Gogu, katika nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali, tabiri dhidi yake 338:3 Eze 39:1na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee Gogu, mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali. 438:4 2Fal 19:28; Isa 43:17; Dan 11:40; Eze 23:12; 29:4; 39:2Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukutia ndoana kwenye mataya yako na kukutoa nje wewe pamoja na jeshi lako lote, yaani, farasi wako, wapanda farasi wako waliojiandaa tayari kwa vita, pamoja na kundi kubwa la wajeuri wakiwa na ngao na vigao, wote wakipunga panga zao. 538:5 Eze 27:10-14; Mwa 10:6Uajemi, Kushi38:5 Kushi ni Ethiopia. na Putu watakuwa pamoja nao, wote wakiwa na ngao na kofia za chuma, 638:6 Mwa 10:2-3; Eze 32:30pia Gomeri pamoja na vikosi vyake vyote, na Beth-Togarma kutoka kaskazini ya mbali pamoja na vikosi vyake vyote, mataifa mengi wakiwa pamoja nawe.

738:7 Isa 8:9; 8:10; Yer 46:3, 4, 14; 51:12“ ‘Jiandae, uwe tayari, wewe na makundi yako yote ya wajeuri yaliyokusanyika pamoja nawe, nawe waamrishe. 838:8 Isa 11:11; 24:22; Kum 4:30; Yer 23:6; Yoe 3:1; Eze 28:26Baada ya siku nyingi utaitwa vitani. Katika miaka ijayo, utaivamia nchi ile ambayo imepona kutoka vita, ambayo watu wake walikusanywa kutoka mataifa mengi kuja katika milima ya Israeli, ambayo kwa muda mrefu ilikuwa imeachwa ukiwa. Wameletwa kutoka mataifa na sasa wote wanaishi katika hali ya salama. 938:9 Isa 25:4; 28:2; Yer 4:13; Yoe 2:2; Ufu 20:8Wewe na vikosi vyako vyote na mataifa mengi yaliyo pamoja nawe mtapanda juu, mtawazoa kama tufani na kuifunika nchi kama wingu.

1038:10 Yer 17:10; Za 36:4; Mik 2:1“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mawazo yataingia moyoni mwako nawe utapanga mipango mibaya. 1138:11 Yer 49:31; Zek 2:4; Amu 18:7-27; Mwa 34:25Utasema, “Nitapigana vita na nchi ambayo vijiji vyake havina maboma. Nitawashambulia watu wanaoishi kwa amani na wasiotarajia vita: wote wanaishi bila maboma na bila malango na makomeo. 12Nitateka mateka na kuchukua nyara mali za wale waliorudi kuishi katika mahame na wale watu waliokusanywa kutoka kwa mataifa, ambao sasa wana mifugo na mali nyingi, wanaoishi katikati ya nchi.” 1338:13 Mwa 10:7; Eze 27:22; Isa 33:23; Yer 15:13; Mwa 25:3; Isa 10:6Sheba na Dedani pamoja na wafanyabiashara wa Tarshishi na vijiji vyake vyote watakuambia, “Je, umekuja kuteka mateka? Je, umekusanya makundi yako ya wajeuri ili kuchukua nyara mali, kutwaa fedha na dhahabu, kutunyangʼanya mifugo na mali na kuteka nyara nyingi zaidi?” ’

1438:14 Law 25:18; Yer 16:15; Zek 2:5“Kwa hiyo, mwanadamu, tabiri na umwambie Gogu: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile, watu wangu Israeli watakapokuwa wanaishi salama, Je, wewe mwenyewe hutalijua hilo? 1538:15 Eze 39:2; Ufu 20:8; Eze 32:30Utakuja kutoka kwako huko kaskazini ya mbali, ukiwa pamoja na mataifa mengi, wote wakiwa wamepanda farasi, kundi kubwa, jeshi kuu. 1638:16 Eze 38:9; 38:8; Kut 14:4; Eze 36:23; 39:21Utakuja dhidi ya watu wangu Israeli kama wingu lifunikavyo nchi. Siku zijazo, ee Gogu, nitakuleta wewe dhidi ya nchi yangu, ili kwamba mataifa wapate kunijua Mimi nitakapojionyesha mtakatifu kwa kukupitia wewe mbele ya macho yao.

17“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Je, wewe si yule niliyenena juu yako katika siku za zamani kwa kupitia kwa watumishi wangu manabii wa Israeli? Wakati ule walitabiri kwa miaka mingi kwamba ningekuleta upigane nao. 18Hili ndilo litakalotokea katika siku ile: Gogu atakaposhambulia nchi ya Israeli, hasira yangu kali itaamka, asema Bwana Mwenyezi. 1938:19 Za 18:7; Hag 2:6, 21; Isa 29:23; Yoe 3:11; Law 10:3Katika wivu wangu na ghadhabu yangu kali ninasema kuwa wakati ule patakuwepo tetemeko kuu katika nchi ya Israeli. 2038:20 Za 76:8; Yer 4:24; Kut 15:14; Isa 42:15; Ay 14:18; Hos 4:3Samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kondeni, kila kiumbe kitambaacho ardhini, na watu wote walio juu ya uso wa nchi watatetemeka mbele zangu. Milima itapinduka, majabali yatapasuka na kila ukuta utaanguka chini. 2138:21 Isa 66:16; Kut 9:18; Ufu 16:21; Yer 25:31; Amu 7:22; 1Sam 14:20; Hag 2:22Nitaita upanga vita dhidi ya Gogu juu ya milima yangu yote, asema Bwana Mwenyezi. Upanga wa kila mtu utakuwa dhidi ya ndugu yake. 2238:22 Yer 25:31; Eze 36:5; 14:19; Kut 9:18; Za 18:12; Ufu 16:21Nitatekeleza hukumu juu yake kwa tauni na kwa umwagaji wa damu. Nitaifanya mvua ya mafuriko kunyesha, mvua ya mawe na moto wa kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya mataifa mengi walio pamoja naye. 2338:23 Eze 20:42; 36:23; 37:6Nami hivyo ndivyo nitakavyoonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu, nami nitajijulisha mbele ya macho ya mataifa mengi. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’