Esters Bog 3 – BPH & NEN

Bibelen på hverdagsdansk

Esters Bog 3:1-15

Hamans plan om at udrydde jøderne

1Kort tid efter forfremmede kong Xerxes en mand ved navn Haman3,1 Teksten tilføjer: „søn af agagitten Hammedata”. Sandsynligvis er Haman efterkommer af amalekitternes kong Agag (1.Sam. 15), som igen nedstammer fra Esau. Amalekitterne havde altid været fjender af Israels folk, og den sidste rest af dem blev åbenbart udryddet nu. til premierminister, og han blev således den øverste mand i riget næst efter kongen. 2Alle kongens ansatte knælede ned og hyldede ham, når han gik forbi, for det havde kongen befalet. Men Mordokaj nægtede at gøre det, fordi han var jøde.

3-4„Du må hellere adlyde kongens befaling!” sagde de andre ansatte til ham gang på gang. Men Mordokaj var ubøjelig. Til sidst fortalte de Haman, at Mordokaj ikke ville knæle ned for ham. 5-6Haman blev rasende, men i stedet for kun at hævne sig på Mordokaj bestemte han sig for at udrydde alle jøder fra det persiske rige, fordi Mordokaj var jøde.

7I den første måned, der hed nisan, i kong Xerxes’ 12. regeringsår søgte Haman ved at kaste lod om dage og måneder at finde det gunstigste tidspunkt til at gøre det af med jøderne. Loddet traf den trettende dag i den 12. måned, som hed adar.

8Haman sagde derpå til kongen: „Der findes et særligt folk blandt undersåtterne i kongens rige, som har deres egne love og traditioner og nægter at overholde perserrigets love. Derfor må det være i kongens interesse, at dette folk bliver udryddet. 9Hvis det behager kongen, bør der udsendes en befaling til alle rigets provinser om, at jøderne skal udryddes. Jeg anslår, at kongens embedsmænd på den måde kan indsamle 10.000 sække med sølv3,9 Ordret: „10,000 talenter”, ca. 345 tons sølv. til rigets skatkammer.”

10Kongen gik ind på Hamans forslag og rakte ham sin signetring. 11„Du må gøre, som du vil, med jøderne, og sølvet må du gerne selv beholde,” sagde han.

12På den 13. dag i den første måned samlede Haman kongens sekretærer, som efter hans diktat nedskrev brevet til guvernørerne på alle de forskellige sprog, der taltes i riget. Derefter blev brevene underskrevet med kongens navn, forseglet med kongens signetring 13og sendt ud til alle rigets provinser. I brevet stod der, at alle jøder, unge og gamle såvel som kvinder og børn, skulle slås ihjel den 13. dag i den 12. måned, og at deres ejendom skulle konfiskeres. 14Brevets indhold skulle bekendtgøres som lov, så folk i hver eneste provins kunne være parat til at udføre ordren på den fastsatte dag. 15På kongens befaling blev bestemmelsen først offentliggjort i regeringsbyen Susa, hvorefter sendebudene skyndte sig af sted til alle rigets provinser. Kongen og Haman satte sig derefter til at drikke. Men jøderne i Susa var rædselsslagne.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Esta 3:1-15

Hila Ya Hamani Kuwaangamiza Wayahudi

13:1 Hes 24:7; 1Sam 14:48; Hes 24:7; 1Sam 14:48Baada ya matukio haya, Mfalme Ahasuero alimheshimu Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, akampandisha na kumpa kiti chake cha heshima cha juu sana kuliko wakuu wengine wote. 23:2 Dan 3:12Maafisa wote wa mfalme waliokaa langoni mwa mfalme walipiga magoti na kumpa Hamani heshima, kwa kuwa mfalme alikuwa ameamuru hili kuhusu Hamani. Lakini Mordekai hakumpigia magoti wala kumheshimu.

3Kisha maafisa wa mfalme waliokuwa langoni mwa mfalme walimuuliza Mordekai, “Kwa nini hutii agizo la mfalme?” 43:4 Mwa 39:10Siku baada ya siku walizungumza naye lakini hakukubali. Kwa hiyo walimweleza Hamani kuona kama tabia ya Mordekai itaweza kuvumiliwa, kwa maana alikuwa amewaambia kuwa yeye ni Myahudi.

5Wakati Hamani alipoona kuwa Mordekai hampigii magoti wala kumpa heshima alighadhibika. 63:6 Mit 16:25; Za 74:8Hata hivyo baada ya kujulishwa watu wa Mordekai ni akina nani, alibadili wazo la kumuua Mordekai peke yake. Badala yake Hamani alitafuta njia ya kuwaangamiza watu wote wa Mordekai, yaani, Wayahudi, walio katika ufalme wote wa Ahasuero.

73:7 Es 9:24, 26; 1Sam 10:21Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Mfalme Ahasuero, katika mwezi wa kwanza uitwao Nisani, walipiga puri (yaani kura) mbele ya Hamani ili kuchagua siku na mwezi. Kura ikaangukia kwenye mwezi wa kumi na mbili, yaani Adari.

83:8 Mdo 16:20-21; Ezr 4:15Kisha Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero, “Wako watu fulani wameenea na kutawanyika miongoni mwa watu katika majimbo yote ya ufalme wako, ambao desturi zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatii sheria za mfalme. Haifai mfalme kuwavumilia watu hawa. 9Kama inampendeza mfalme, itolewe amri kuwaangamiza, nami nitaweka talanta 10,0003:9 Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 340. za fedha katika hazina ya mfalme kwa ajili ya watu watakaoshughulikia jambo hili.”

10Basi mfalme alichukua pete yake ya muhuri kutoka kwenye kidole chake na kumpa Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, adui wa Wayahudi. 11Mfalme akamwambia Hamani, “Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo.”

123:12 Neh 13:24; Mwa 38:18Kisha siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza waandishi wa mfalme waliitwa. Wakaandika barua kwa kila jimbo na katika kila lugha ya watu kama agizo la Hamani lilivyotoka kwa mfalme, kwa watawala wa majimbo mbalimbali, na wakuu wa watu mbalimbali. Hizi ziliandikwa kwa jina la Mfalme Ahasuero mwenyewe na kutiwa muhuri wa pete yake mwenyewe. 133:13 Es 8:11Barua zilipelekwa na tarishi katika majimbo yote ya mfalme zikiwa na amri ya kuharibu, kuua na kuangamiza Wayahudi wote, wadogo kwa wakubwa, wanawake na watoto wadogo, siku moja, yaani siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, ndio mwezi wa Adari, na pia kuteka nyara vitu vyao. 14Nakala ya andiko la amri ilipaswa kutolewa kama sheria katika kila jimbo, na kufahamishwa kwa watu wa kila taifa ili waweze kuwa tayari kwa siku ile.

153:15 Es 8:15Kwa kuharakishwa na amri ya mfalme, matarishi walikwenda na andiko lilitolewa katika mji wa ngome ya Shushani. Mfalme na Hamani waliketi na kunywa, lakini mji wa Shushani ulifadhaika.