1. Mosebog 29 – BPH & NEN

Bibelen på hverdagsdansk

1. Mosebog 29:1-35

Jakob hos Laban

1Jakob fortsatte sin rejse og ankom til landet mod øst. 2Der fik han øje på tre fåreflokke, der lå ved en brønd på en mark og ventede på noget vand at drikke. Stenen, som lå over brøndåbningen, var meget stor. 3Når alle fåreflokkene var samlet, ville hyrderne rulle stenen væk fra brøndåbningen og give fårene vand og derefter lægge stenen tilbage over brønden igen.

4„Hvor kommer I fra?” spurgte Jakob hyrderne.

„Fra Karan,” svarede de.

5„Kender I Laban, Nakors sønnesøn?”

„Ja, ham kender vi godt.”

6„Hvordan har han det?”

„Han har det godt. Det er for øvrigt hans datter Rakel, der kommer derovre med fårene.”

7„Hvorfor giver I ikke fårene noget vand, så de kan vende tilbage til deres græsgang?” spurgte Jakob. „Solen står jo endnu højt på himlen, så det er da for tidligt at samle dem.”

8„Vi må vente, til alle hyrderne er her, før vi kan rulle stenen til side og give dem vand.”

9Mens Jakob stod og snakkede med hyrderne, kom Rakel med sin fars får, som hun passede. 10Da Jakob så Rakel, sin morbrors datter, og fårene, gik han hen og væltede stenen til side og hentede vand til sin onkels får. 11-12Derefter gav han Rakel et kindkys og fortalte med tårer i øjnene, at han var søn af hendes faster, Rebekka. Hun løb straks hjem for at fortælle sin far det. 13Så snart Laban hørte, at hans søstersøn Jakob var kommet, løb han ud for at møde ham. Han omfavnede ham, kyssede ham på kinden som hilsen og tog ham med hjem. Dér fortalte Jakob ham hele sin historie. 14Og Laban udbrød: „Tænk engang, det er min egen slægtning, der er kommet.”

Laban bedrager Jakob

Da Jakob havde boet hos sin onkel en måneds tid, 15sagde Laban: „Selv om vi er i familie, er det ikke meningen, at du skal arbejde gratis for mig. Sig mig, hvor meget du vil have i løn.” 16Laban havde to døtre, den ældste hed Lea og den yngste Rakel. 17Lea havde kønne øjne, men Rakel var helt igennem smuk og dejlig. 18Jakob var allerede forelsket i Rakel, så han sagde til Laban: „Jeg vil arbejde for dig i syv år, hvis du vil give mig din yngste datter, Rakel, til kone.”

19„Det er i orden!” sagde Laban. „Jeg vil hellere have, at hun gifter sig med dig end med nogen uden for slægten.”

20Så arbejdede Jakob for Laban i syv år for at få Rakel. Årene fløj af sted, som var de dage—så forelsket var han. 21Da dagen kom, sagde Jakob til Laban: „De syv år er gået, så jeg vil gerne giftes med Rakel nu.”

22Så indbød Laban alle naboerne til en stor bryllupsfest. 23Men da det blev aften, tog han sin datter Lea og gav hende til Jakob, og Jakob lå hos hende. 24Laban gav Lea sin slave Zilpa til tjenestepige. 25Først næste morgen opdagede Jakob, at det var Lea! „Hvor kunne du dog gøre sådan noget imod mig?” råbte han rasende. „Jeg har tjent dig i syv år for Rakel, har jeg ikke? Hvorfor har du så bedraget mig?”

26„Tag det roligt,” forsvarede Laban sig. „Her til lands plejer vi ikke at bortgifte den yngste før den ældste. 27Vent til bryllupsugen med Lea er forbi, så skal jeg nok give dig Rakel—hvis du altså vil arbejde syv år mere for mig!”

28Det gik Jakob så med til. Han fejrede bryllupsugen sammen med Lea, og bagefter gav Laban ham også Rakel til kone. 29Rakel fik Labans slave Bilha til tjenestepige. 30Så lå Jakob hos Rakel, og han elskede hende højere end Lea. Han arbejdede derefter for Laban syv år mere.

Jakobs børn

31Da Herren så, at Lea ikke blev elsket, lod han hende blive gravid, men Rakel kunne ingen børn få. 32Lea fødte en søn, som hun kaldte Ruben.29,32 Et ordspil med „Gud har set min ulykke”. „Herren har set, hvor ulykkelig jeg er,” sagde hun. „Men nu vil min mand sikkert elske mig!” 33Snart efter blev hun igen gravid og fødte en søn til, som hun kaldte Simeon.29,33 Et ordspil med „Herren har hørt”. „Herren har hørt, at jeg blev tilsidesat, og derfor gav han mig en søn mere,” sagde hun. 34Senere blev hun igen gravid og fødte nok en søn, som hun kaldte Levi.29,34 Et ordspil med „hengivenhed”. „Siden jeg nu har født tre sønner,” sagde hun, „må min mand da føle hengivenhed for mig.” 35Så blev hun igen gravid og fødte en søn, som hun kaldte Juda.29,35 Et ordspil med „lovprisning”. „Nu vil jeg prise Herren!” sagde hun. Så fik hun ikke flere børn i nogen tid.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 29:1-35

Yakobo Awasili Padan-Aramu

129:1 Mwa 25:6Kisha Yakobo akaendelea na safari yake na akafika kwenye nchi za mataifa ya mashariki. 2Huko akaona kisima katika shamba, pamoja na makundi matatu ya kondoo yamelala karibu na kisima hicho kwa sababu walikuwa wanakunywa maji kutoka kwenye kisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwa kisima lilikuwa kubwa. 3Wakati kondoo wanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungaji huvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wa kisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima.

429:4 Mwa 42:7; Amu 19:17Yakobo aliwauliza wachungaji, “Ndugu zangu, ninyi mmetoka wapi?”

Wakamjibu, “Tumetoka Harani.”

5Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?”

Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”

629:6 Mwa 30:22-27; Kut 2:16Kisha Yakobo akawauliza, “Je, yeye ni mzima?”

Wakasema, “Ndiyo, ni mzima, na hapa yuaja Raheli binti yake akiwa na kondoo.”

7Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”

8Walijibu, “Haiwezekani, mpaka kondoo wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha kondoo.”

9Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo. 10Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mama yake, pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda na kulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisima na kuwanywesha kondoo wa mjomba wake. 1129:11 Mwa 33:4Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanza kulia kwa sauti. 1229:12 Mwa 24:28; Lk 15:20Yakobo alikuwa amemwambia Raheli kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake, na kwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Raheli alikimbia na kumweleza baba yake.

1329:13 Mwa 24:29; Lk 15:20Mara Labani aliposikia habari kuhusu Yakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakisha kwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusu, halafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakobo akamwambia mambo yote. 1429:14 Amu 9:2; Isa 58:7Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni nyama yangu na damu yangu mwenyewe.”

Yakobo Awaoa Lea Na Raheli

Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima, 15Labani akamwambia, “Kwa vile wewe ni jamaa yangu, ndiyo sababu unifanyie kazi bila ujira? Niambie ujira wako utakuwa nini.”

1629:16 Mwa 30:9; Rut 4:2, 11Labani alikuwa na binti wawili, binti mkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwa Raheli. 17Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura. 1829:18 Mwa 24:67; Hos 12:12Yakobo akampenda Raheli, akamwambia Labani, “Nitakutumikia kwa miaka saba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yako mdogo.”

19Labani akasema, “Ni bora zaidi nikupe Raheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaa pamoja na mimi hapa.” 20Kwa hiyo Yakobo akatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakini ilionekana kwake kama siku chache tu kwa sababu ya upendo wake kwa Raheli.

2129:21 Amu 15:1Ndipo Yakobo akamwambia Labani, “Nipe mke wangu. Muda wangu umekamilika, nami nataka nikutane naye kimwili.”

2229:22 Amu 14:10; Yn 2:1-2Basi Labani akaalika watu wote wa mahali pale na akafanya karamu.

23Lakini ilipofika jioni, akamchukua Lea binti yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutana naye kimwili. 24Naye Labani akamtoa Zilpa, mtumishi wake wa kike, kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.

2529:25 Mwa 12:18; 27:36Kesho yake asubuhi, Yakobo akagundua kuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia Labani, “Ni jambo gani hili ulilonitendea? Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, sivyo? Kwa nini umenidanganya?”

2629:26 1Sam 14:49; 2Sam 6:23Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa. 27Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka mingine saba.”

28Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake. 2929:29 1Nya 5:1; Mwa 16:1Labani akamtoa Bilha mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake. 30Pia Yakobo akakutana na Raheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidi kuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka mingine saba.

Wana Wa Yakobo

3129:31 Kum 21:15-17; Za 127:3Bwana alipoona kwamba Lea hapendwi, akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa. 3229:32 Mwa 30:23; Hes 1:5Lea akapata mimba akazaa mwana. Akamwita Reubeni,29:32 Reubeni maana yake Ona mwana, yaani Yehova ameangalia taabu yangu. kwa maana alisema, “Ni kwa sababu Bwana ameona huzuni yangu. Hakika mume wangu sasa atanipenda.”

3329:33 Kut 6:15; 1Nya 4:24Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Kwa sababu Bwana alisikia kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.” Kwa hiyo akamwita Simeoni.29:33 Simeoni maana yake Anasikia, yaani sasa ataungana nami kama Raheli.

34Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Sasa afadhali mume wangu ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akamwita Lawi.29:34 Lawi maana yake Nimeunganishwa, yaani na mume wangu.

3529:35 Mwa 49:8; Mt 1:2-3Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Wakati huu nitamsifu Bwana.” Kwa hiyo akamwita Yuda.29:35 Yuda maana yake Sifa, yaani Nitamsifu Yehova. Kisha akaacha kuzaa watoto.