1 Berɛsosɛm 1 – ASCB & NEN

Asante Twi Contemporary Bible

1 Berɛsosɛm 1:1-54

Ɛfiri Adam So Kɔsi Noa Mma So

1Adam asefoɔ yɛ Set, Enos,

2Kenan, Mahalalel, Yared,

3Henok, Metusela, Lamek,

4Noa mma ne, Sem, Ham, ne Yafet.

Yafet Asefoɔ

5Na Yafet asefoɔ ne Gomer, Magog, Media, Yawan, Tubal, Mesek ne Tiras.

6Na Gomer asefoɔ ne Askenas, Rifat ne Togarma.

7Na Yawan asefoɔ ne Elisa, Tarsis, Kitim ne Rodanim.

Ham Asefoɔ

8Na Ham asefoɔ ne Kus, Misraim, Put ne Kanaan.

9Na Kus asefoɔ ne Seba, Hawila, Sabta, Raama ne Sabteka. Na Raama asefoɔ yɛ Saba ne Dedan. 10Kus woo Nimrod. Na Nimrod bɛyɛɛ ɔkofoɔ kɛseɛ wɔ asase so.

11Misraim yɛ tete agya ma

Ludfoɔ, Anamfoɔ, Lehabfoɔ, Naftuhfoɔ, 12Patrusfoɔ, Kasluhfoɔ ne Kaftorfoɔ a wɔn ase na Filistifoɔ firi.

13Na Kanaan abakan din de

Sidon a na ɔyɛ Sidonfoɔ tete agya. Na Kanaan nso yɛ Hetifoɔ, 14Yebusifoɔ, Amorifoɔ, Girgasifoɔ, 15Hewifoɔ, Arkifoɔ, Sinifoɔ, 16Arwadfoɔ, Semarifoɔ ne Hamatifoɔ tete agya.

Sem Asefoɔ

17Na Sem asefoɔ yɛ Elam, Asur, Arfaksad, Lud ne Aram.

Aram asefoɔ ne Us, Hul, Geter ne Mas.

18Na Arfaksad woo Sela na Sela woo Eber. 19Eber woo mmammarima baanu. Abakan no din de Peleg a asekyerɛ ne “nkyekyɛmu” ɛfiri sɛ, ne berɛ so na nnipa a wɔwɔ ewiase mu kyekyɛ kɔɔ kasa ahodoɔ mu na wɔbɔ hweteeɛ. Nʼakyiri ba no din de Yoktan.

20Yoktan woo Almodada, Selef, Hasarmawet, Yera, 21Hadoram, Usal, Dikla, 22Obal, Abimael, Seba, 23Ofir, Hawila ne Yobab. Yeinom nyinaa yɛ Yoktan asefoɔ.

24Ɛno enti, yei ne abusuadua a ɛfiri Sem: Arfaksad, Sela, 25Eber, Peleg, Reu, 26Serug, Nahor, Tera, 27ne Abram a akyire yi, wɔfrɛɛ no Abraham no.

Abraham Asefoɔ

28Abraham mmammarima yɛ Isak ne Ismael.

29Na Ismael mmammarima nso ne

Nebaiot a ɔyɛ nʼabakan, Kedar, Adbeel, Mibsam, 30Misma, Duma, Masa, Hadad, Tema, 31Yetur, Nafis ne Kedema.

Yeinom ne Ismael mmammarima.

32Na Abraham mpena Ketura mmammarima ne Simran, Yoksan, Medan, Midian, Yisbak ne Sua.

Na Yoksan asefoɔ yɛ Seba ne Dedan.

33Na Midian mmammarima ne Efa, Efer, Henok, Abida ne Eldaa.

Yeinom nyinaa yɛ Abraham ne ne mpena Ketura mmammarima.

Isak Asefoɔ

34Abraham woo Isak. Isak mmammarima yɛ Esau ne Israel.1.34 Israel: Yei ne edin a Onyankopɔn de too Yakob

Esau Asefoɔ

35Na Esau mmammarima yɛ Elifas, Reuel, Yeus, Yalam ne Kora.

36Na Elifas mmammarima yɛ Teman, Omar, Sefi, Gatam, Kenas, Timna ne Amalek.

37Na Reuel mmammarima yɛ Nahat, Serah, Sama ne Misa.

Edomfoɔ Abɔseɛ

38Na Seir mmammarima yɛ Lotan, Sobal, Sibeon, Ana, Dison, Eser ne Disan.

39Na Lotan mmammarima yɛ Hori ne Homam. Na Lotan nuabaa din de Timna.

40Na Sobal mmammarima yɛ Alian, Manahat, Ebal, Sefi ne Onam.

Sibeon mmammarima yɛ Aya ne Ana.

41Na Ana babarima yɛ Dison.

Na Dison mma yɛ Hemdan, Esban, Yitran ne Keran.

42Na Eser mmammarima yɛ Bilhan, Saawan ne Akan.

Na Disan mmammarima yɛ Us ne Aran.

Edom Sodifoɔ

43Yeinom ne ahemfo a wɔdii Edom so ansa na Israelfoɔ renya ahemfo:

Beor babarima Bela, a ɔtenaa kuropɔn Dinhaba so dii ɔhene.

44Na Bela wuiɛ no, Serah babarima Yobab a ɔfiri Bosra bɛdii nʼadeɛ sɛ ɔhene.

45Na Yobab wuiɛ no, Husam a ɔfiri Teman asase so bɛdii nʼadeɛ sɛ ɔhene.

46Husam owuo akyi Hadad a ɔyɛ Bedad babarima a ɔkɔdii Midian so nkonim wɔ Moab asase so no na ɔdii nʼadeɛ sɛ ɔhempɔn. Wɔtoo nʼahenkuro no edin Hawit.

47Hadad wuiɛ no, Samla a ɔfiri Masreka kuropɔn mu bɛyɛɛ ɔhene.

48Samla wuiɛ no, Saulo a ɔfiri Rehobot a ɛda asuo Eufrate ho no bɛdii ɔhene.

49Na Saulo wuiɛ no, Akbor babarima Baal-Hanan bɛdii ɔhene.

50Baal-Hanan wuiɛ no, Hadad tenaa kuropɔn Pai mu dii ɔhene. Na ne yere a wɔfrɛ no Mehetabel no yɛ Matred babaa ne Me-Sahab nso nana. 51Na Hadad nso wuiɛ.

Na Edom mmusua no ntuanofoɔ ne

Timna, Alwa, Yetet, 52Oholibama, Ela, Pinon, 53Kenas, Teman, Mibsar, 54Magdiel ne Iram.

Yeinom na na wɔyɛ Edom mmusua ntuanofoɔ.

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

1 Nyakati 1:1-54

Kumbukumbu Za Historia Kuanzia Adamu Hadi Abrahamu

(Mwanzo 5:1-32; 10:1-32; 11:10-26)

Adamu Hadi Wana Wa Noa

11:1 Mwa 5:1-32; Lk 3:36-38Adamu, Sethi, Enoshi, 21:2 Mwa 5:9; 5:12; 5:15Kenani, Mahalaleli, Yaredi, 31:3 Mwa 5:18; Yud 14; Mwa 5:21; 5:25; 5:29Enoki, Methusela, Lameki, Noa.

41:4 Mwa 6:10; 10:1; 5:32Wana wa Noa walikuwa:

Shemu, Hamu na Yafethi.

Wana Wa Yafethi

5Wana wa Yafethi walikuwa:

Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.

6Wana wa Gomeri walikuwa:

Ashkenazi, Rifathi na Togarma.

7Wana wa Yavani walikuwa:

Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.

Wana Wa Hamu

81:8 Mwa 16:10Wana wa Hamu walikuwa:

Kushi, Misraimu,1:8 Yaani Misri. Putu na Kanaani.

9Wana wa Kushi walikuwa:

Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa:

Sheba na Dedani.

101:10 Mwa 10:8, 13Kushi akamzaa

Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.

11Misraimu akawazaa:

Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi, 121:12 Mwa 10:14; Kum 2:23; Yer 47:4; Amo 9:7Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.

13Wana wa Kanaani walikuwa:

Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi, 14Wayebusi, Waamori, Wagirgashi, 15Wahivi, Waariki, Wasini, 16Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.

Wana Wa Shemu

171:17 Mwa 9:23-26; 10:22; 11:10Wana wa Shemu walikuwa:

Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.

Wana wa Aramu walikuwa:

Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

18Arfaksadi akamzaa Shela,

Shela akamzaa Eberi.

19Eberi alipata wana wawili:

Mmoja wao aliitwa Pelegi,1:19 Pelegi maana yake Mgawanyiko. kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.

20Wana wa Yoktani walikuwa:

Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera, 21Hadoramu, Uzali, Dikla, 22Obali, Abimaeli, Sheba, 23Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.

241:24 Mwa 10:21-29; Lk 3:34-36Wana wa Shemu walikuwa Arfaksadi, Shela,

251:25 Mwa 11:15; Hes 24:24; Lk 3:35Eberi, Pelegi, Reu,

26Serugi, Nahori, Tera,

271:27 Mwa 17:5; 2Nya 20:7; Isa 41:8; 51:2; Rum 4:16Tera akamzaa Abramu (yaani, Abrahamu).

Jamaa Ya Abrahamu

281:28 Mwa 21:2-3; 16:11, 15Abrahamu alikuwa na wana wawili:

Isaki na Ishmaeli.

Wazao Wa Hagari

(Mwanzo 25:12-16)

291:29 Mwa 25:13-26Hawa ndio waliokuwa wazao wa Hagari:

Nebayothi mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Kedari, Adbeeli, Mibsamu, 30Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

Wazao Wa Ketura

321:32 Mwa 22:24; 10:7Wana waliozaliwa na Ketura suria wa Abrahamu walikuwa:

Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

Wana wa Yokshani walikuwa:

Sheba na Dedani.

33Wana wa Midiani walikuwa:

Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa.

Wote hao walikuwa wa uzao wa Ketura.

Wazao Wa Sara

341:34 Lk 3:34; Mwa 21:2-3; Mdo 7:8; Mwa 18:5; 25:25-26Abrahamu alikuwa baba wa Isaki.

Wana wa Isaki walikuwa:

Esau na Israeli.

Wana Wa Esau

(Mwanzo 36:1-19)

351:35 Mwa 36:19; 36:4; Kum 2:22; Rum 9:13; Ebr 12:16; Mal 1:2-3Wana wa Esau walikuwa:

Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.

361:36 Kut 17:14; Mwa 36:11Wana wa Elifazi walikuwa:

Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi;

Elifazi kwa Timna akamzaa Amaleki.

371:37 Mwa 36:17Wana wa Reueli walikuwa:

Nahathi, Zera, Shama na Miza.

Watu Wa Seiri Waliokuwa Edomu

(Mwanzo 36:20-30)

381:38 Mwa 36:20Wana wa Seiri walikuwa:

Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.

391:39 Mwa 36:22Wana wa Lotani walikuwa wawili:

Hori na Homamu. Lotani alikuwa na dada yake aliyeitwa Timna.

401:40 Mwa 36:2Wana wa Shobali walikuwa:

Alvani,1:40 Maandishi ya Kiebrania yanamwita Alian. Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

Wana wa Sibeoni walikuwa:

Aiya na Ana.

411:41 Mwa 36:25-26Mwana wa Ana alikuwa:

Dishoni.

Nao wana wa Dishoni walikuwa:

Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

42Wana wa Eseri walikuwa:

Bilhani, Zaavani na Akani.

Wana wa Dishani walikuwa:

Usi na Arani.

Watawala Wa Edomu

(Mwanzo 36:31-43)

431:43 Mwa 36:31; 49:10Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli:

Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.

44Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

451:45 Mwa 36:11Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

461:46 1Fal 11:14Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

47Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

481:48 Mwa 36:37Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati, akawa mfalme baada yake.

49Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

501:50 Mwa 36:39Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu. 511:51 Mwa 36:40; Kut 15:15Naye Hadadi pia akafa.

Wakuu wa Edomu walikuwa:

Timna, Alva, Yethethi, 52Oholibama, Ela, Pinoni, 53Kenazi, Temani, Mibsari, 54Magdieli na Iramu. Hao ndio wakuu wa makabila ya Edomu.