Genesis 8 – APSD-CEB & NEN

Ang Pulong Sa Dios

Genesis 8:1-22

Ang Pag-undang sa Lunop

1Wala kalimti sa Dios si Noe ug ang iyang kauban nga mga mananap sulod sa arka. Busa gipahuyop niya ang hangin diha sa kalibotan ug nagahinay-hinay ug hubas ang tubig. 2Gisampongan niya ang mga tuboran ug gipaundang ang ulan. 3Padayon nga mihubas ang tubig sulod sa 150 ka adlaw. 4Ug sa ika-17 nga adlaw sa ikapito nga bulan, nahitungtong ang arka sa Bukid sa Ararat. 5Padayon nga mihubas ang tubig. Ug sa unang adlaw sa ika-10 nga bulan, nakita na ang tumoy sa mga bukid.

6Paglabay sa 40 pa gayod ka adlaw, giablihan ni Noe ang bintana sa arka 7ug gibuhian ang usa ka uwak. Mibalik-balik ra ug lupad ang uwak hangtod nga mihubas ang tubig. 8Unya gibuhian ni Noe ang usa ka salampati aron mahibaloan niya kon mihubas na ang tubig, 9apan walay matugdonan ang salampati tungod kay nalukop pa sa tubig ang tibuok kalibotan. Busa mibalik ang salampati kang Noe sa arka. Gipatugdon ni Noe ang salampati sa iyang kamot ug gisulod kini pagbalik sa arka. 10Gipalabay pa ni Noe ang pito ka adlaw ug unya gibuhian niya pag-usab ang salampati. 11Pagkakilomkilom, mibalik ang salampati nga nagatangag ug lunhawng dahon sa olibo. Busa nahibaloan ni Noe nga mihubas na ang tubig. 12Gipalabay pa ni Noe ang laing pito ka adlaw ug gibuhian niya pag-usab ang salampati, apan wala na kini mobalik.

13Sa unang adlaw sa unang bulan, mihubas na gayod ang tubig. Nagaedad na si Noe ug 601 ka tuig. Giablihan ni Noe ang tabon sa arka ug nakita niya nga mala na ang yuta. 14Sa ika-27 nga adlaw sa ikaduha nga bulan mala na gayod ang yuta sa tibuok kalibotan.

15Unya miingon ang Dios kang Noe, 16“Gawas na kamong tanan sa arka. 17Ug pagawasa usab ang tanang mga mananap aron mosanay sila ug malukop nila ang tibuok kalibotan.” 18Busa migawas si Noe uban sa iyang asawa, mga anak nga lalaki ug mga umagad. 19Migawas usab ang tanang mga mananap: ang nagalakaw, nagalupad, ug nagakamang. Nanggawas sila sumala sa ilang matang.

Naghalad si Noe

20Nagbuhat si Noe ug halaran alang sa Ginoo. Unya mikuha siya ug usa sa matag matang sa hinlo8:20 hinlo: Ang buot ipasabot, mahimo nga ihalad o kan-on. nga mananap apil usab sa matag matang sa langgam nga hinlo ug gisunog niya kini sa halaran ingon nga halad sa Ginoo. 21Sa dihang napanimahoan sa Ginoo ang kahumot niini, miingon siya sa iyang kaugalingon, “Dili ko na gayod tunglohon pag-usab ang yuta tungod sa binuhatan sa tawo. Bisan pa ug daotan siya sukad pa sa iyang pagkabata, dili ko na gayod laglagon pag-usab ang tanang may kinabuhi sama sa akong gibuhat. 22Samtang anaa pa ang kalibotan, kanunayng may panahon sa tingtanom ug ting-ani, may tingtugnaw ug ting-init, may tinghulaw ug ting-ulan, ug may adlaw ug gabii.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Mwanzo 8:1-22

Mwisho Wa Gharika

18:1 Mwa 9:15; 19:29; 21:1; 30:22; Kut 2:23-24; Ay 12:15; 14:13; Rut 4:13; Nah 1:4; 1Sam 1:11, 19; 2Fal 20:3; 1Nya 16:15; Neh 1:8; 5:19; 13:11-31; Hes 10:9; Za 66:6; 105:42; 106:4; Lk 1:54, 72; Kut 14:21; Yos 2:10; 3:16; Isa 11:15; 44:27Mungu akamkumbuka Noa na wanyama wote wa porini na wa kufugwa waliokuwa naye ndani ya safina, akatuma upepo ukavuma katika dunia, nayo maji yakaondoka. 28:2 Mwa 7:4, 11Zile chemchemi zilizo chini sana ya ardhi pamoja na malango ya mafuriko ya mbinguni yakawa yamefungwa nayo mvua ikawa imekoma kunyesha kutoka angani. 38:3 Mwa 7:24Maji yakaendelea kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho wa siku ya 150, maji yalikuwa yamepungua, 48:4 Mwa 7:11, 20; 2Fal 19:37; Yer 51:27katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati. 5Maji yakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, na siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima vikaonekana.

6Baada ya siku arobaini Noa akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina 78:7 Amu 11:15; Kum 14:14; 1Fal 17:4-6; Ay 38:41; Za 147:9; Mit 30:17; Isa 34:11; Lk 12:24na akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi. 88:8 Ay 30:31; Za 55:6; 74:19; Wim 2:12-14; Isa 38:14; 59:11; 60:8; Yer 48:28; Eze 7:16; Nah 2:7; Hos 7:11; 11:11; Mt 3:16; 10:16; Yn 1:32Kisha akamtoa hua ili aone kama maji yameondoka juu ya uso wa ardhi. 9Lakini hua hakupata mahali pa kutua kwa kuwa maji yalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyo akarudi kwa Noa ndani ya safina. Noa akanyoosha mkono akamchukua yule hua akamrudisha ndani ya safina. 10Noa akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina. 11Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule! Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu ya uso wa dunia. 12Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Noa.

138:13 Mwa 5:32Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa, maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noa akafungua mlango wa safina akaona ya kuwa uso wa ardhi ulikuwa umekauka. 148:14 Mwa 7:11Katika siku ya ishirini na saba ya mwezi wa pili dunia ilikuwa imekauka kabisa.

15Ndipo Mungu akamwambia Noa, 168:16 Mwa 7:13“Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao. 178:17 Mwa 1:22Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”

188:18 1Pet 3:20; 2Pet 2:5Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja na mkewe, wanawe na wake zao. 19Wanyama wote na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi na ndege wote, kila kitu kiendacho juu ya nchi, aina moja baada ya nyingine vikatoka katika safina, kila aina ya kiumbe, kimoja baada ya kingine.

Noa Atoa Dhabihu

208:20 Mwa 12:7-8; 13:18; 22:9; 26:25; 33:20; 35:7; 7:8; 22:2-13; Kut 17:15; 24:4; 10:25; 20:24; 40:29; Ay 42:8; Law 1:3; 4:29; 6:8-13; Hes 6:11; Amu 6:26; 11:31; 1Sam 20:29Kisha Noa akamjengea Bwana madhabahu, akachukua baadhi ya wale wanyama na ndege wote walio safi, akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu. 218:21 Kut 29:18, 25; Law 1:9, 13; 2:9; 4:31; Hes 15:3, 7; 2Kor 2:15; Mwa 3:17; 6:5; 9:11-15; Yer 17:9; Za 51:5; Mt 15:19; Rum 1:21; Yer 44:11; Isa 54:9Bwana akasikia harufu nzuri ya kupendeza, naye akasema moyoni mwake, “Kamwe sitailaani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, hata ingawa kila mwelekeo wa moyo wake ni mbaya tangu ujana. Kamwe sitaangamiza tena viumbe hai vyote kama nilivyofanya.

228:22 Yos 3:15; Za 67:6; 74:17; Yer 5:24; Zek 14:8; Mwa 1:14“Kwa muda dunia idumupo,

wakati wa kupanda na wa kuvuna,

wakati wa baridi na wa joto,

wakati wa kiangazi na wa masika,

usiku na mchana

kamwe havitakoma.”