Nnwom 39 – AKCB & NEN

Akuapem Twi Contemporary Bible

Nnwom 39:1-13

Dwom 39

Dawid dwom.

1Mekae se, “Mɛhwɛ mʼakwan yiye

na mamfa me tɛkrɛma anyɛ bɔne;

mɛto mʼano nnareka

bere a amumɔyɛfo bɛn me yi.

2Enti meyɛɛ komm

a manka asɛm papa biara mpo

nanso mʼapinisi mu yɛɛ den.

3Me koma ho guan no wɔ me mu.

Midwinnwen no, ogya dɛwee;

afei mede me tɛkrɛma kasae se:

4Awurade, ma minhu me nkwa awiei

ne me nna dodow;

ma minhu sɛnea me nkwa si twa mu ntɛm so.

5Woayɛ me nna sɛ nsateaa baako pɛ;

na me mfe dodow nyɛ hwee wɔ wʼani so.

Onipa nkwa yɛ ɔhome bi kɛkɛ.

6Onipa redi akɔneaba nyinaa no, ɔte sɛ sunsuma bi kwa;

ɔhaw ne ho nanso ɔyɛ kwa;

ɔboa ahonya ano na onnim nea ɛbɛyɛ ne de.

7“Afei Awurade, dɛn na merehwehwɛ?

Mʼanidaso wɔ wo mu.

8Gye me fi me bɔne nyinaa mu;

mma mennyɛ nkwaseafo aserewde.

9Meyɛɛ komm, na mammue mʼano,

efisɛ wo na woayɛ eyi.

10Yi wʼasotwe fi me so;

wo nsa ano amanehunu amene me.

11Woka nnipa anim, na wotwe wɔn aso wɔ wɔn bɔne ho;

wosɛe wɔn ahonya te sɛ nwewee;

onipa biara yɛ ɔhome kɛkɛ.

12Awurade, tie me mpaebɔ,

tie me sufrɛ;

nsiw wʼaso wɔ me su ho.

Me ne wo te hɔ sɛ ɔnanani,

sɛnea na mʼagyanom nyinaa te no.

13Yi wʼani fi me so na manya nkwa bio,

ansa na mafi ha a mente ase bio.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Zaburi 39:1-13

Zaburi 39

Maombi Ya Mtu Anayeteseka

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.

139:1 1Fal 2:4; Kol 4:5; Ebr 2:1; Ay 1:22; 6:24; Yak 1:26; 3:2; Za 34:13; 119:9, 59; Mit 4:26, 27; 20:11Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu

na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi;

nitaweka lijamu kinywani mwangu

wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”

239:2 Za 6:3; 25:17; 39:9; 77:4; 31:10; Ay 31:34Lakini niliponyamaza kimya na kutulia,

hata pasipo kusema lolote jema,

uchungu wangu uliongezeka.

339:3 Yer 20:9; Lk 24:32; Za 1:2; 119:15; Yer 5:14; 20:9; 23:29Moyo wangu ulipata moto ndani yangu,

nilipotafakari, moto uliwaka,

ndipo nikasema kwa ulimi wangu:

439:4 Ay 14:5; 14:2; 7:7; Mwa 47:9“Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu

na hesabu ya siku zangu;

nijalie kujua jinsi maisha yangu

yanavyopita upesi.

539:5 Ay 10:20; 7:7; Za 62:9; 90:4; 89:45; 102:23Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi;

muda wangu wa kuishi ni kama

hauna thamani kwako.

Maisha ya kila mwanadamu

ni kama pumzi.

639:6 Ay 8:9; 27:17; Mhu 6:12; Lk 12:20; Yak 4:14; 1:11; Za 102:11; 127:2Hakika kila binadamu ni kama njozi

aendapo huku na huko:

hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili;

anakusanya mali nyingi,

wala hajui ni nani atakayeifaidi.

739:7 Za 9:18“Lakini sasa Bwana, nitafute nini?

Tumaini langu ni kwako.

839:8 Isa 53:5, 8, 10; 43:28; Kum 28:37; Za 69:7; 51:1, 14; 32:1; 6:4; 79:4; Dan 9:16Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote,

usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.

939:9 Za 38:13; Isa 38:15Nilinyamaza kimya,

sikufumbua kinywa changu,

kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.

1039:10 2Nya 21:14; Eze 7:9; 24:16; Kut 9:3Niondolee mjeledi wako,

nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.

1139:11 Kum 28:20; Isa 26:16; 51:8; 66:15; Eze 5:15; 2Pet 2:16; Za 94:10; 90:7; Ay 7:7; 13:28; Lk 12:33; Yak 5:2Unakemea na kuadhibu wanadamu

kwa ajili ya dhambi zao;

unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo:

kila mwanadamu ni kama pumzi tu.

1239:12 Za 17:1; 1Nya 29:15; Ebr 11:13; Law 25:23; Kum 1:45; 2Fal 20:5; Mwa 23:4; 47:9“Ee Bwana, usikie maombi yangu,

usikie kilio changu unisaidie,

usiwe kiziwi kwa kulia kwangu.

Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni,

kama walivyokuwa baba zangu wote,

1339:13 Ay 10:20, 21Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena

kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”