Dwom 123
Ɔsoroforo dwom.
1Mema mʼani so kyerɛ wo,
wo a wʼahengua si ɔsoro.
2Sɛnea nkoa ani hwɛ wɔn wura nsa no,
sɛnea afenaa ani hwɛ nʼawuraa nsa no no,
saa ara na yɛn ani hwɛ Awurade, yɛn Nyankopɔn
kosi sɛ obehu yɛn mmɔbɔ.
3Hu yɛn mmɔbɔ, Awurade, hu yɛn mmɔbɔ,
na wɔabu yɛn animtiaa bebree.
4Ahomasofo fɛwdi ama yɛabrɛ dodo,
ahantanfo animtiaabu afono yɛn.
Zaburi 123
Kuomba Rehema
Wimbo wa kwenda juu.
1123:1 Za 68:5; Isa 6:1; 63:15Ninayainua macho yangu kwako,
kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.
2123:2 Za 25:15Kama vile macho ya watumwa
yatazamavyo mkono wa bwana wao,
kama vile macho ya mtumishi wa kike
yatazamavyo mkono wa bibi yake,
ndivyo macho yetu yamtazamavyo Bwana Mungu wetu,
mpaka atakapotuhurumia.
3Uturehemu, Ee Bwana, uturehemu,
kwa maana tumevumilia dharau nyingi.
4Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi,
dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.