Aberante:
1Maba me turo mu, me nuabea, mʼayeforo;
maboaboa me kurobow ne me nnuhuam ano.
Madi me wokyɛm ne ɛwo;
manom me bobesa ne me nufusu.
Nnamfonom:
Nnamfonom, munnidi na monnom;
Adɔfonom, monnom nea ɛbɛmee mo dɔ.
Ababaa:
2Medae, nanso me koma anna.
Tie! me dɔfo rebɔ pon no mu;
“Bue me, me nuabea, me dɔ,
mʼaborɔnoma, a ne ho nni dɛm.
Obosu afɔw me tirim,
anadwo mu bosu afɔw me nwi.”
3Maworɔw mʼatade,
mensan mfa nhyɛ ana?
Mahohoro mʼanan ase,
memma ho nyɛ fi bio ana?
4Me dɔfo yɛɛ sɛ ɔrebue pon no
me koma fii ase bɔɔ kim kim wɔ me mu.
5Mesɔree sɛ merekobue me dɔfo,
na me nsa ho kurobow
ne me nsateaa ho aduhuam,
yɛɛ korɔkorɔ no nsa ho.
6Mibue maa me dɔfo no,
nanso na ɔkɔ.
Ne kɔ no maa me ho dwiriw me.
Mehwehwɛɛ no nanso manhu no baabiara.
Mefrɛɛ no nanso wannye me so.
7Awɛmfo no huu me
bere a wɔrebɔ aporɔw wɔ kuropɔn no mu.
Wɔbobɔɔ me pirapiraa me;
woyii mʼatade kɔe;
saa awɛmfo a wɔwɛn afasu no!
8Yerusalem mmabea, mehyɛ mo,
sɛ muhu me dɔfo no a,
asɛm bɛn na mobɛka akyerɛ no?
Monka nkyerɛ no se ɔdɔ ama matɔ beraw.
Nnamfonom:
9Dɛn na wo dɔfo de sen afoforo,
mmea ahoɔfɛfo mu ahoɔfɛ?
Dɛn na wo dɔfo de sen afoforo a
enti wohyɛ yɛn sɛɛ?
Ababaa:
10Me dɔfo ho twa na ogyigye,
wɔfa mpem du a, ɔyɛ sononko.
11Ne ti yɛ sikakɔkɔɔ ankasa;
ne ti so nwi yɛ kuhaa,
na ɛyɛ tuntum sɛ kwaakwaadabi.
12Nʼaniwa aba te sɛ aborɔnoma a
ogyina asuwa bi ho;
ɛte sɛ nea wɔde nufusu aguare no,
na etuatua hɔ sɛ abohemaa.
13Nʼafono te sɛ pɛprɛ a wɔasɛw no kɛtɛ.
Ɛho hua te sɛ aduhuam.
Nʼanofafa te sɛ sukooko
a ɛsosɔ kurobow.
14Nʼabasa te sɛ sikakɔkɔɔ abaa
a wɔde sikabereɛbo asisi mu.
Ne nipadua te sɛ asonse a wɔatwiw ho
na wɔde hoabo adura ho.
15Nʼanan te sɛ abohemaa afadum a
esisi sikakɔkɔɔ ankasa nnyinaso so.
Ne bɔbea te sɛ Lebanon a
ɔyɛ sononko sɛ ne sida.
16Nʼano te sɛ ɔdɛ ankasa;
ɔkwan biara so, ne ho yɛ fɛ.
Me dɔfo ni, mʼadamfo ni,
Yerusalem mmabea.
Mpenzi
15:1 Yoe 3:18; Wim 4:12; 4:16; Isa 55:1Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu,
bibi arusi wangu;
nimekusanya manemane yangu pamoja
na kikolezo changu.
Nimekula sega langu la asali na asali yangu;
nimekunywa divai yangu na maziwa yangu.
Marafiki
Kuleni, enyi marafiki, mnywe;
kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.
Shairi La Nne
Mpendwa
25:2 Efe 5:275:2 Mit 8:4; Wim 6:9; 4:7; 1:15Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho.
Sikiliza! Mpenzi wangu anabisha:
“Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu,
hua wangu, asiye na hitilafu.
Kichwa changu kimeloa umande,
na nywele zangu manyunyu ya usiku.”
3Nimevua joho langu:
je, ni lazima nivae tena?
Nimenawa miguu yangu:
je, ni lazima niichafue tena?
4Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo;
moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili yake.
5Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu,
mikono yangu ikidondosha manemane,
vidole vyangu vikitiririka manemane,
penye vipini vya komeo.
65:6 Wim 6:1-2; 3:15:6 Hos 5:15; Mao 3:8Nilimfungulia mpenzi wangu,
lakini mpenzi wangu alishaondoka;
alikuwa amekwenda zake.
Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake.
Nilimtafuta lakini sikumpata.
Nilimwita lakini hakunijibu.
75:7 Wim 3:3Walinzi walinikuta
walipokuwa wakifanya zamu za ulinzi mjini.
Walinipiga, wakanijeruhi,
wakaninyangʼanya joho langu,
hao walinzi wa kuta!
85:8 Wim 2:7; 1:14; 2:5Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza:
kama mkimpata mpenzi wangu,
mtamwambia nini?
Mwambieni ninazimia kwa mapenzi.
Marafiki
9Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani,
wewe uliye mzuri kupita wanawake wote?
Je, mpendwa wako ni mzuri kuliko wengine, namna gani,
hata unatuagiza hivyo?
Mpendwa
105:10 Za 45:2Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu,
wa kuvutia miongoni mwa wanaume kumi elfu.
11Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote,
nywele zake ni za mawimbi
na ni nyeusi kama kunguru.
125:12 Mwa 49:12; Wim 1:15Macho yake ni kama ya hua
kandokando ya vijito vya maji,
aliyeogeshwa kwenye maziwa,
yaliyopangwa kama vito vya thamani.
13Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo
yakitoa manukato.
Midomo yake ni kama yungiyungi
inayodondosha manemane.
145:14 Ay 28:6Mikono yake ni fimbo za dhahabu
iliyopambwa kwa krisolitho.
Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyongʼarishwa
iliyopambwa na yakuti samawi.
155:15 1Fal 4:33; Wim 7:4Miguu yake ni nguzo za marmar
zilizosimikwa katika vitako vya dhahabu safi.
Sura yake ni kama Lebanoni,
bora kama miti yake ya mierezi.
165:16 Wim 4:3; 7:9; Yer 31:3; Rum 8:35Kinywa chake chenyewe ni utamu,
kwa ujumla yeye ni wa kupendeza.
Huyu ndiye mpenzi wangu, huyu ndiye rafiki yangu,
ee binti za Yerusalemu.