Hiob 26 – AKCB & NEN

Akuapem Twi Contemporary Bible

Hiob 26:1-14

Hiob Kyerɛ Nyankopɔn Kɛseyɛ

1Na Hiob kasaa bio se,

2“Woaboa nea onni tumi!

Woagye basa a enni ahoɔden!

3Woatu nea onnim nyansa fo!

Na woada nhumu pa ara adi!

4Hena na ɔboaa wo ma wokaa saa nsɛm yi?

Hena honhom na ɛkasa faa wo mu?

5“Awufo wɔ ahoyeraw kɛse mu,

wɔn a wɔwɔ nsu ase ne nea ɛte mu nyinaa.

6Asaman da adagyaw Onyankopɔn anim;

Ɔsɛe nso nni nkataso.

7Ɔtrɛw wim atifi fam kata nea ɛda mpan so;

na ɔde asase sensɛn ohunu so.

8Ɔbɔ nsu boa hyɛ ne omununkum mu,

nanso nsu no mu duru ntumi mpae no.

9Ɔtrɛw ne omununkum mu

de kata ɔsram ani.

10Ɔhyɛ agyirae wɔ nsu so

de to ɔhye wɔ hann ne sum ntam.

11Ɔsoro nnyinaso wosow,

na nʼanimka ma wɔn ho dwiriw wɔn.

12Ɔde ne tumi wosow po

ne nyansa mu, otwitwaa Rahab mu asinasin.

13Ɔde ne home maa wim tewee;

na ne nsa wɔɔ ɔwɔ a ɔrewea.

14Eyinom yɛ ne nnwuma kakraa bi;

ne tumi kakraa bi kɛkɛ!

Na hena na obetumi ate ne tumi mmubomu no ase?”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Ayubu 26:1-14

Hotuba Ya Tisa Ya Ayubu

Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki

1Kisha Ayubu akajibu:

226:2 Ay 6:12; 4:3; Za 71:9; Mit 25:11“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!

326:3 Ay 34:35Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!

426:4 1Fal 22:24Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?

526:5 Za 88:10; Isa 14:9“Wafu wako katika maumivu makuu,

wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.

626:6 Za 139:8; Mit 15:11; Ebr 4:13; Amo 9:2Mauti26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol. iko wazi mbele za Mungu;

Uharibifu26:6 Kwa Kiebrania ni Abadon. haukufunikwa.

726:7 Ay 9:826:7 Ay 8:22; 31:35Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.

826:8 Mit 30:4; Za 147:8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.

926:9 2Sam 22:10; Za 97:2Huufunika uso wa mwezi mpevu,

akitandaza mawingu juu yake.

1026:10 Mit 8:27; Isa 40:22; Ay 28:3Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

ameweka mpaka wa nuru na giza.

1126:11 2Sam 22:8Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

zinatishika anapozikemea.

1226:12 Isa 51:15; Kut 14:21; Yer 31:35; Ay 12:13; Kut 14:21; Ay 12:13; 9:13Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

kwa hekima yake alimkata Rahabu26:12 Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa. vipande vipande.

1326:13 Za 33:6; Isa 27:1Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.

1426:14 Ay 9:6; 36:29Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake;

tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu!

Ni nani basi awezaye kuelewa

ngurumo za nguvu zake?”