Amos 6 – AKCB & NEN

Akuapem Twi Contemporary Bible

Amos 6:1-14

1Nnome nka mo a mugye mo ho di wɔ Sion,

ne mo a mo asom adwo mo wɔ Samaria bepɔw so,

mo atitiriw a mowɔ ɔman a edi kan mu,

a Israelfo ba mo nkyɛn!

2Monkɔ Kalne nkɔhwɛ hɔ.

Na mumfi hɔ nkɔ Hamat kɛse mu,

munsian nkɔ Gat a ɛwɔ Filistia.

Woye sen mo ahemman abien no?

Wɔn asase no so sen mo de no ana?

3Mutu da bɔne hyɛ da

na motwe atemmuda bɛn.

4Modeda asonse mpa so

mugye mo ahome wɔ mo nnae mu,

na mowe nguantenmma ne

nantwimma a wɔadodɔ srade nam.

5Mode mo sankuten to ahuhunnwom,

na mobɔ mo tirim yɛ nnwom wɔ

mo nnwontode so te sɛ Dawid.

6Monom nsa wɔ nkora mu

na mode sradehuam papa yɛ mo ho,

na munni awerɛhow wɔ Yosef sɛe ho.

7Ɛno nti, mobɛka wɔn a wodi kan twa wɔn asu no ho;

na mo aponto ne mo ahomegye to betwa.

Awurade Kyi Israel Ahomaso

8Otumfo Awurade aka ne ho ntam

na nea Asafo Awurade Nyankopɔn se ni:

“Mikyi Yakob ahomaso

na mempɛ nʼaban;

mede kuropɔn no bɛma

ne nea ɛwɔ mu nyinaa.”

9Sɛ wogyaw nnipa du wɔ ofi baako mu a, wɔn nso bewuwu. 10Na sɛ obusuani a ɔrebɛhyew awufo no ba sɛ ɔrebɛfa wɔn afi fie hɔ na obisa obi a wakɔtɛw se, “Obi ka wo ho ana?” Na obua se, “Dabi” a, afei ɔbɛka se, “Mua wʼano!” Ɛnsɛ sɛ wɔbɔ Awurade din.

11Na Awurade ahyɛ mmara

na obebubu afi akɛse no mu asinasin

ne afi nketewa no nso mu nketenkete.

12Apɔnkɔ tu mmirika wɔ abotan a apaapae so ana?

Na obi de nantwi funtum hɔ ana?

Nanso moadan atɛntrenee ayɛ no awuduru.

Na trenee nso ayɛ nwenweenwen.

13Mo a mo ani gye Lo-debar nkogu ho,

na mubisa se, “Ɛnyɛ yɛn ahoɔden na yɛde dii Karnaim so ana?”

14Nea Asafo Awurade Nyankopɔn se ni: “Mɛhwanyan ɔman bi abetia mo, Israelfo,

nea ɔbɛhyɛ mo so afi Lebo Hamat akosi Araba bon mu.”

Kiswahili Contemporary Version (Neno: Bibilia Takatifu)

Amosi 6:1-14

Ole Kwa Wanaoridhika

16:1 Lk 6:24; Isa 32:9-11; Ay 24:23; Sef 1:12; Amo 3:9Ole wenu ninyi mnaostarehe na kuridhika katika Sayuni,

na ninyi mnaojisikia salama juu ya Mlima Samaria,

ninyi watu mashuhuri wa taifa lililoendelea kuliko mataifa mengine,

ambao watu wa Israeli wanawategemea!

26:2 2Fal 17:24; Yer 49:23; Isa 10:9; 2Fal 14:25; Hes 34:8; Mwa 10:10; 2Nya 26:6; Yos 11:22Nendeni Kalne mkaone kutoka huko;

mwende hadi Hamathi iliyo kuu,

kisha mshuke hadi Gathi ya Wafilisti.

Je, wao ni bora kuliko falme zenu mbili?

Je, nchi yao ni kubwa kuliko yenu?

36:3 Isa 47:7; 56:12; Eze 12:22, 27; Mhu 8:11; Amo 5:18; 9:10Mnaiweka mbali siku iliyo mbaya

na kuleta karibu utawala wa kuogofya.

46:4 Isa 1:11; Eze 34:2-3; Amo 3:12; Mit 3:12; 7:17; Es 1:6Ninyi mnalala juu ya vitanda vilivyofunikwa kwa pembe za ndovu,

na kujinyoosha juu ya viti vya fahari.

Mnajilisha kwa wana-kondoo wazuri

na ndama walionenepeshwa.

56:5 Isa 5:12; 14:11; Za 137:2; Amo 5:23; 1Nya 15:16Ninyi mnapiga vinubi kama Daudi,

huku mkitunga nyimbo za vinanda mbalimbali.

66:6 Isa 28:1; Amo 2:8; Eze 9:4; 16:49Mnakunywa mvinyo kwa bakuli zilizojazwa,

na mnajipaka mafuta mazuri,

lakini hamhuzuniki kwa maangamizi ya Yosefu.

7Kwa hiyo mtakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kwenda uhamishoni;

karamu zenu na kustarehe kutakoma.

Bwana Anachukia Kiburi Cha Israeli

86:8 Mwa 22:16; Ebr 6:13; Law 26:19, 30; Za 47:4; Kum 32:19; Yer 12:8; Amo 4:2Bwana Mwenyezi ameapa kwa nafsi yake mwenyewe: Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema:

“Nachukia kiburi cha Yakobo,

nachukia ngome zake;

nitautoa mji wao na kila kitu

kilichomo ndani mwake.”

9Kama watu kumi watabaki katika nyumba moja, wao pia watakufa. 106:10 1Sam 31:12; Amo 8:3Kama jamaa ambaye atachoma miili akija ili kuitoa nje ya nyumba, na kumuuliza yeyote ambaye bado anajificha humo, “Je, yuko mtu yeyote pamoja nawe?” Naye akisema, “Hapana,” ndipo atakaposema, “Nyamaza kimya! Haturuhusiwi kutaja jina la Bwana.”

116:11 Amo 3:15; Isa 55:11; 34:5Kwa kuwa Bwana ameamuru,

naye atabomoa jumba kubwa vipande vipande

na nyumba ndogo vipande vidogo vidogo.

126:12 Hos 10:4; Isa 1:21; Amo 5:7; 3:10Je, farasi waweza kukimbia kwenye miamba mikali?

Je, aweza mtu kulima huko kwa maksai?

Lakini mmegeuza haki kuwa sumu

na matunda ya uadilifu kuwa uchungu:

136:13 Ay 13:8; 8:15; Isa 28:14-15ninyi mnaoshangilia kushindwa kwa Lo-Debari

na kusema, “Je, hatukuteka Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”

146:14 Yer 5:15; Hes 13:21; 1Fal 8:65; Amo 3:11Maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema,

“Nitainua taifa dhidi yenu, ee nyumba ya Israeli,

nalo litawatesa kuanzia Lebo-Hamathi

hadi Bonde la Araba.”